Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Tumetoa draw na brum baada ya wao kubebwa na refa kwenye equalising goal lao (offside,handball na foul kwa rio)..Kila timu inapata calls for and against them inategemea unatumiaje hizo calls. Kuhusu mechi na spurs whether nani angefunga au asingefunga spurs wasingesawazisha ndio maana walikaa kimya baada ya mechi..point hapa ni kuwa mmetoa draw na 10-man inferior team.Which two wrongs? These are the same referees who operates with same rules unless its your team then its right. You drew at St. Andrews same as us its not that we lost a match, (i.e lost two points but the difference is that the referee favoured Wigan) I'm just pointing out to you that there isn't any justice in so many times when your team is involved but you turn a blind eye when its on our side.
Kuwahi kutufunga sio tatizo kwani Arsenal hajawahi kuwafunga? Take your pills mate!