Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asenyoo ya cku hizi kuna wachezaji wa hovyo hovyo eti mchezaji anaitwa willock cjui sakatonge cjui nngetiwa yule alioingia sub kwann msitiwe goli
 
Asenyoo ya cku hizi kuna wachezaji wa hovyo hovyo eti mchezaji anaitwa willock cjui sakatonge cjui nngetiwa yule alioingia sub kwann msitiwe goli
Nyumbu unapata wapi ujasiri wa kuisema Arsenal
 
Ile Party ya Ubingwa (Liverpool) si ndo hii sasa. Ni pale Mercury Park Magomeni siku ya Jmosi tarehe 11/7/2020, ataliwa ng'ombe mzima buuureee. Tutakunywa supu, tutachoma nyama na kula pilau kwa ushiriki wa Jezi yako tu. Kama uko Dar ndiyo fursa sasa. Thibitisha Ushiriki wako kwa kunitumia jina lako kupitia 0716109169 ama 0755057229.
IMG_20200708_110026_048.jpg
 
Ile Party ya Ubingwa (Liverpool) si ndo hii sasa. Ni pale Mercury Park Magomeni siku ya Jmosi tarehe 11/7/2020, ataliwa ng'ombe mzima buuureee. Tutakunywa supu, tutachoma nyama na kula pilau kwa ushiriki wa Jezi yako tu. Kama uko Dar ndiyo fursa sasa. Thibitisha Ushiriki wako kwa kunitumia jina lako kupitia 0716109169 ama 0755057229.View attachment 1500848
Tutajamaliza nyama zenu nyie jezi ntaazima tu
 
Ila makocha at times wanaua viwango vya wachezaji, hivi kwa Circumstance anayopitia lacca afu anaanza kurecover kwa performance yake km ya jana na unamtoa dk70, huoni unamuunderstimate na kufanya ajifeel low,??? Afu unatoa lacca unaingiza mtoto wa mama Nketiah

Jana wakumtoa alikuwa Auba
Maana kila mpira alikuwa anaharibu sema tu ndo the best player tutafanyaje sasa.
 
Ila makocha at times wanaua viwango vya wachezaji, hivi kwa Circumstance anayopitia lacca afu anaanza kurecover kwa performance yake km ya jana na unamtoa dk70, huoni unamuunderstimate na kufanya ajifeel low,??? Afu unatoa lacca unaingiza mtoto wa mama Nketiah

Jana wakumtoa alikuwa Auba
Maana kila mpira alikuwa anaharibu sema tu ndo the best player tutafanyaje sasa.
Acha kujadili hicho kikundi cha kikoba
 
Kuna mkuu mmoja huko juu kazungumza udhaifu wa kocha wetu kwenye game management nakubali kwa 100%, ila kwenye tactical approach he is the master class, ile pressing tunapiga ni hatari asee.

Wasiwasi wangu tunaweza sajili the best players lakini kina Willock wakaendelea kupata game time kuliko the most talented players
 
Mishipa inawatoka kama mna team kumbe takataka
Usipoteze muda wako humu pasipo na timu mkuu, nenda kwenye timu ukajadili vitu vya msingi, unless tutakuona nawe kiazi tu km mbatata.
 
Eti kuna mtu alisema kuna wakati liverpool inakuwa kama arsenal iliyochangamka
 
Back
Top Bottom