Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Mechi nyingi tumepoteza kwa sababu ya discipline issues(red card)
Hao masista wanashindwa kushinda mechi zao mpaka westham wanawabokoa ,wanatutegemea sisi tushinde ili wao wakae 3rdIla wamekusaidia, maana wamekuacha kwenye namba 3.





Wewe westham walikupigia nini?Mnapigiwa pasi na Leicester kweli.!!!!

Hao masista wanashindwa kushinda mechi zao mpaka westham wanawabokoa ,wanatutegemea sisi tushinde ili wao wakae 3rd
Pambav sana wakaze makalio washinde game zao,kila mtu ashinde game zake![]()
Wewe nyumbu unaichekaje Asenali sasaAise kuisupport arsenal ni kazi ngumu. Dkk 90 tuu sina hamu.
Hongeren mashabiki wa arsenal
We kweli kichwa maji, yaani Chelsea ategemee takataka kama hii


westham hao

Leo walikuwa wanabana kendez muda wotektk game yao na palace,Hahaha, wasamehe bro.
Kila siku wanapiga makelele eti wametupa ubingwa huku wao kujisaidia hawawezi.


pia walikuwa wanaomba sisi tusifungwe,wanatutegea hahahahaaaaArteta anauwezo mdogo sana wa kusoma mchezo Ile substitute aliyomfanyia Lacazette ndio iliimaliza team,Lacazette ndio alikuwa anaifanya Defence ya Leicester iwe kwenye Hard time muda wote
No Excuse ni Arteta fault na sio mechi hii tu ni mechi nyingi Arteta amekuwa anafanya Childish substitute anaiua mechi kwa himself
True, game ya leo Laca alijitahidi kuwaweka bize kina evance na soyuncu ila arteta ni kama baba yake tu wao sub zao wanatoka nazo nyumbani, yaani game haijaanza yeye kashapanga dakika flani ataingiza mtu flani,Wenger alikuwa ananikera sana na haka katabia kakeArteta anauwezo mdogo sana wa kusoma mchezo Ile substitute aliyomfanyia Lacazette ndio iliimaliza team,Lacazette ndio alikuwa anaifanya Defence ya Leicester iwe kwenye Hard time muda wote
No Excuse ni Arteta fault na sio mechi hii tu ni mechi nyingi Arteta amekuwa anafanya Childish substitute anaiua mechi kwa himself
Kama westham alivyokushikisha bombaMnashikwa makalio na watoto takataka nyie
Uwa sielewagi arteta anaona nini kwa willock afadhali nelson ana msuli kidogoI still don’t understand, what do you people see in willock that I don’t see?
Kwahiyo baba yako takataka?hivi nyie watoto mmekuwaje siku hizi?We kweli ni takataka nani akutegemee wewe, timu lenyewe limejaa matakataka tu. Haya tulikuwa tunakutegemea umeishia wapi sasa?
Na bournamouth je?Ndio maana nyie ni takataka
Hapo ulipo ushamtengea nyumbuKasome msimamo
aje amalize....
"I'm extremely proud of our team and the way we played against this type of opposition with how dominant we were in the first half. But clearly, we should've gone three or four-nil up and killed the game. That's what you have to do with this type of opposition."


Nadhani leo amejifunza, sub zake huwa km yupo bias, hivi hawa kina Willock wanatumia dawa gani jama?Arteta nae ni Unai aliyechangamka, wee Lacazette aliyekua anasumbua beki unamfanyia sub dk 70 kisha unaingiza vidigidigi vile utarajie upate ushindi, huwa sielewi sub zake kabisa aisee....
Arteta anataka kulazimisha vitu,Nadhani leo amejifunza, sub zake huwa km yupo bias, hivi hawa kina Willock wanatumia dawa gani jama?