Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwani nimebisha mkuu,sema huku ukijipigapiga kifuani "SISI LIVERPOOL TUNAKARIBIA KUBEBA UBINGWA WA KWANZA WA EPL TOKA DUNIA IUMBWE,NA TUTAJITAHIDI KUWAFUKUZIA WALIOTANGULIA ILI TUWE NAO SAWA,HAIJALISHI TUTATUMIA MIAKA 90 AU 180"

Unakaribishwa kwenye sherehe, wewe kama mmoja ya wanafamilia wa Liverpool HALISI.
 
UKWELI NI KWAMBA ARTETA KAZI YAKE YA UKOCHA ARSENAL IMEINGILIWA NA UONGOZI WA CLUB. ARTETA ANAFANYA KAZI CHINI YA MAELEKEZO YA VIONGOZI WA CLUB.

UJIO WA ARTETA TULIPATA MATUMAINI KWAMBA INAENDA KUJENGWA ARSENAL MPYA YENYE WACHEZAJI WA VIWANGO VIKUBWA.

LAKINI HUU MWELEKEO TUNAOKWENDA NAIONA ARSENAL NI ILE ILE ISIYOKUWA NA MALENGO YA KUJENGA TIMU NA KUTWAA MAKOMBE BALI NI ILE ARSENAL INAYOPAMBANIA TOP 4 ISHIRIKI MASHINDANO YA UEFA

KITUKO KINGINE CLUB INASHINDWA KISAJILI WACHEZAJI WA VIWANGO VYA JUU BALI INAENDELEA KUKUMBATIA MATAKATAKA.

UONGOZI HAKUNA CHA MAANA WANACHOJADILI ZAIDI YA PUMBA TUU NA KULIPANA MISHAHARA MIKUBWA NA KUISHIA KUIJEUZA ARSENAL UNDERDOG KWA TIMU ZA TOP 6.
Mzee kwani uliwahi kuwa Arsenal?
 
Huyo ni Arsenal fan, mashabiki wetu wamejaa sana huko,siku timu ikikaa sawa watarudi tu nyumbani
Nyie Arsenal mmejaa Sana huko Barca sio Chelsea Wala Hakuna connection yoyote Kati ya Arsenal na Chelsea.
 
London is Red wanafahamu na wanajua ila wanakakamaza skul,

Chelsea ni upcoming kama City na Spurs
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hiyo jeuri ya kusema Chelsea Ni upcoming umeipatia wapi?wewe mpaka leo huna uefa hata dalili ya kuchukua epl tu kwa miaka 20 ijayo huna alafu unan'gan'gania kusema London is red hiv uoni Kama unajichekesha mwenyewe.
DullyJr
 
Southampton XI: McCarthy, Valery, Stephens, Bednarek, Bertrand, Armstrong, Ward-Prowse, Hojbjerg, Obafemi, Redmond, Ings.

Subs: Gunn, Vestergaard, Long, Adams, Romeu, Walker-Peters, Smallbone, Vokins, Tella.

Arsenal XI: Martinez, Bellerin, Mustafi, Holding, Tierney, Pepe, Ceballos, Xhaka, Saka, Nketiah, Aubameyang

Subs: Macey, Sokratis, Lacazette, Ozil, Maitland-Niles, Nelson, Willock, Kolasinac, Smith
 
1st goal. Nketiah
1593106786562.gif
 
Daah inauma sana kuquotiwa na kutolewa mapovu yasiyonihusu. Tolerance ni kitu kidogo ila chenye maana kubwa sana.
Haya majamaa yanajifanya hayafuatilii timu yao, yakishinda hii mechi utayaona yanakuja hapa kufanya analysis za uongo na kweli na muendelezo wa vitetesi uchwara.

Mkishinda Mmbaki huko huko tuachieni jukwaa tutawale.

Sent using Fly in any Weather.
 
Back
Top Bottom