Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,203
- 2,064
baada ya bodi yetu kuwa seriousFeelings walizokuwa nazo fans wa Liverpool sijui ni lini na sisi tutazipata
baada ya bodi yetu kuwa seriousFeelings walizokuwa nazo fans wa Liverpool sijui ni lini na sisi tutazipata
Feelings za kupata ubingwa baada ya miaka 30 ama sijakuelewa mkuu?Feelings walizokuwa nazo fans wa Liverpool sijui ni lini na sisi tutazipata
Naongelea feelings zao leo imagine sisi ndio tumebeba ndoo ya EPL miaka 17 hadi sasa sio mchezo na mtoto wa miaka 17 atafanya National Exams NovemberFeelings za kupata ubingwa baada ya miaka 30 ama sijakuelewa mkuu?
Mimi mwenyewe sijamuelewa kabisa huyodauFeelings za kupata ubingwa baada ya miaka 30 ama sijakuelewa mkuu?
Hata kama tuje kubeba miaka 5 ijayo feeling zetu haziwezi fanana,maana wao hawajawahi shuhudia kabisa timu yao ikibeba hilo kombe,sisi atleast generation yetu imeshuhudia hilo....kwahiyo hakuna mfanano hapoIshu sio miaka 30 kwani sisi si tuna miaka 17 sasa?ndio tunaelekea huko huko na kwa bodi hii ambayo ina maneno matamu ila vitendo sifuri hata miaka 50 inaweza ikafika kama the blues bila EPL na for sure in 5 years to come kwa timu hii ya kina willock Matteo tutaendelea kushuhudia makombe yanaenda kwa Majirani
Naongelea feelings zao leo imagine sisi ndio tumebeba ndoo ya EPL miaka 17 hadi sasa sio mchezo na mtoto wa miaka 17 atafanya National Exams November
Tutakapobeba UEFA labda,lakini sio hii EPL ambayo tunayo tayariFeelings walizokuwa nazo fans wa Liverpool sijui ni lini na sisi tutazipata
Tutakapobeba UEFA labda,lakini sio hii EPL ambayo tunayo tayari
Tuiwazie kwanza EPL ni miaka 17 now, huko UEFA kwa Arsenal hii tunayoijua sitaki kusema mengi
Hahahahaha kupata vichekesho kama hivi piga *147*89# nenda namba tisa.Tutakapobeba UEFA labda,lakini sio hii EPL ambayo tunayo tayari
Baba ako jana kaendeleza ubabe wa London ..muheshimu usije pata laana..wakati wewe una miaka 17 huyo aliyebeba leo kakaa 30years bado unataka kulinganisha vibes?na kuna jitu lilikaa 50years! so kuwa mpole mkuu hii ni football.
Dhahabu inapita katika moto mkali sana ili ing'ae mzee



Mlikuwa mnagombania nini?Baba ako jana kaendeleza ubabe wa London ..muheshimu usije pata laana..
Unamwita baba ako jitu??
CFC![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Nyie marehemu hamjambo kweli.!!!???
Hapo ulipo una stress za maisha yako ukichanganya na stress za Arsenal unayafanya maisha yako yawe mafupi si Bora tu uamie team nyingine.Moja ya makosa makubwa yatakayofanyika under arteta's stewardship ni kuondoka kwa Guendouzi.
Hii itakuwa ni sawa na ishu ya Gnabry au ox.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, ni Guendouzi ndio ameuambia uongozi wa Arsenal kwamba hatoiacha offer itakayokuja. Na wala sio Gunners kumwambia au hata kuonesha ishara kwamba hana nafasi Arsenal.
Guendouzi ameona sera za timu hazina mashiko kwenye mpira wa sasa na wala hana haja ya kupoteza muda wake Arsenal.
One of the very talented midfielder of the current time.