Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sio suala la kumpenda na kutompenda, ni suala la atakuwepo tu, period!!!!
Tena asijiloge akakubali kubaki na uhakika Arteta akipewa fungu la kutosha la kusajili ataishia kuwa benchi au kukaa nyumbani kabisa mtu unalipwa 350K halafu una assist 1 na 1 goal karibia mechi 30 hata Auba halipwi hyo pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi ichi kikundi cha wanywa bongo wa kule buza bado kipo?

Hahaha nyie ndo mulisemaga tutaishia nafasi ya kumi..

Haha imekuwaje tena ..yule Pepe wa pound 80mil yuko wapi? Kwanz mumemaliza kulipa?

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo hatujacheza vizuri, ila points tatu tumepata.

Sent using Jamii Forums mobile app
kuanzia tarehe 2 February dhidi ya Burnley hadi mechi ya leo ni dhidi ya newcastle pekee, tena second half ndo tuliupiga Mwingi sana ,ila point tunazipata kiubishi ubishi mpaka filimbi ilie ndo moyo unatulia,kama filimbi haijalia unakuwa hauna uhakika na point 3 hii inanipa mashaka sana dhidi ya Manchester City j5 kama tukiamka vizuri,hata point 1 tutapata ilimradi tumepata point 3 basi hilo ni la kushukuru sisi huwa tunamiliki mpira ila kwenye attempts na on Target huwa tunaachwa mbali sasa Manchester City ambao muda wote wanakushambulia sijui itakuwaje ngoja j5 ifike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom