Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati uo mpira hakuna cha offside akuna cha nini ..ivyo walikuwa wanacheza bila mwelekeo wowote angalia mpira wa sasa ..ndo maana timu kama Arsenal mifumo ya uendeshaji ilivyobalika zikaanza kupoteana ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ule hakuna offside mbona nyinyi mlishindwa kufunga mabao ya kutosha!.. Tena enzi tunamaliza msimu bila kufungwa nyinyi level yenu ilikuwa kama Aston villa sasa hivi!. Yaani mlikuwa hovyoooooooo! Hata big four mlikuwa mnaiona kwenye karatasi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo Wenger alibeba kipind hamna sheria za offside ivyo alikuwa anashinda shinda tu kimazabe ..lakin baada ya sheria kuanza angalia alipoteana hadi leo arsenal inaenda kuwa kma Bolton

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ya Offside ipo tangu mwaka 1863 na imekuwa ikifanyiwa mabadiliko mara kwa mara kama ambavyo inataka kufanyiwa maboresho mwaka huu.

Za kusikia vijiweni changanya na zako mkuu.
 
Sheria ya Offside ipo tangu mwaka 1863 na imekuwa ikifanyiwa mabadiliko mara kwa mara kama ambavyo inataka kufanyiwa maboresho mwaka huu.

Za kusikia vijiweni changanya na zako mkuu.
Duh nilikuwa sijui ii issue aise..

Sasa mbona makipa walikuwa wananyang'anywa mpira Kila wakidaka? Unakuta Kila kadaka alafu muchezaji anamunyang'anya ili afunge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Training: 1/3/2020

Martínez

Tierney, Sokratis, Holding, Mustafi, Marí, Luiz

Ceballos, Özil, Torreira, AMN, Willock, Guendouzi, Xhaka

Lacazette, Aubameyang, Pépé, Nelson, Nketiah, Martinelli, Saka

#AFC #FACup
 
Wakati uo mpira hakuna cha offside akuna cha nini ..ivyo walikuwa wanacheza bila mwelekeo wowote angalia mpira wa sasa ..ndo maana timu kama Arsenal mifumo ya uendeshaji ilivyobalika zikaanza kupoteana ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo ww umezaliwa miaka ya 2000,taja kikosi cha arsenal invincible
tapatalk_1580122722782.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zanguni kumbe Leo tunacheza FA nlikuwa sijui maana juzi nilivurugwa sikutaka kusikia habari za mpira,kuna updates zozote zile kuhusu timu yetu ,naona tumeamua kukaa kimya kabisa baada ya matokeo ya Alhamisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu leo tunacheza na Portsmouth FA cup round ya 5, mechi itaanza saa tano kasoro robo usiku saa za Africa mashariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu leo tunacheza na Portsmouth FA cup round ya 5, mechi itaanza saa tano kasoro robo usiku saa za Africa mashariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nione kikosi kitakuwaje ila naona hii mechi imepoteza mvuto kwa mashabiki wenzangu maana ,leo washkaji zangu karibia 6 the gunners wenzangu nikiwauliza mnacheki game,wanadai wanalala na hata humu sioni watu kuizungumzia au sababu ya kutolewa Alhamisi Europa inaweza ikawa morali ya kufuatilia timu imeshuka au tunaidharau Portsmouth na hata Mimi binafsi sikujua kama Leo tunacheza hadi nlivyoangalia fixtures za Leo ndo nkaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Starting XI: Martinez, Sokratis, Luiz, Mari, Saka, Guendouzi, Torreira, Nelson, Willock, Martinelli, Nketiah.
 
Back
Top Bottom