Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa sasa wengi tunajua tunaanza upya next season ila shda nayoiona ni kuwa tumepishana point 6 pekee na Aston Villa ya 17 sasa na tabia hii ya sare sare na kiwango kushuka ni tatizo kwa EPL inabidi dawa itafutwe mapema sana hao ambao wapo chini ni wabaya sana mechi za mwisho na wengi hatujacheza nao na kuna ambao wanagombania top 4 pia bado hatujacheza nao ni hatari sana kwa timu mwanzoni hatukutegemea Leo mambo yatakuwa hivi ila kadri muda unavyoenda tusipobadilika na dawa kutafutwa mapema tutapishana point 3 na Norwich
ARTETA yeye ndo Mwalimu hii tabia ya sare sare itatuzamisha majini aiangalie mapema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa uelewa wangu licha sio kocha Pepe alitakiwa aingie dk hata ya 60 then laca aende nje na AUBA angekaa centre pepe kulia martinelli kushoto hili lilitakiwa lifanyike mapema sana
Nketiah jana hakustahili kuingia then pepe awe nje kama nlivyooanisha hapo juu Sema ARTETA kwa hili inabidi ajirekebishe la sivyo mambo yatakuwa magumu EPL kwa upande wa mashabiki na yeye mwenyewe cha kushukuru bado tupo top 10 ila tungepigwa jana nakwambia hata hizi kauli zingebadilika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo katika vilaza ongeza

Mount
Odoi
Abraham
Tomori

Tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe unavyoenda kuushika ukuta wa mererani hivi karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeelewa hoja yako kaka!.. Ngoja tusubiri tuone hii mechi inayofuata hali itakuwaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeelewa hoja yako kaka!.. Ngoja tusubiri tuone hii mechi inayofuata hali itakuwaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kitu kingine ambacho nakiona na hiki ni Wachezaji wenyewe ndo wanatakiwa kukifanya na kukiondoa ni kuwa sasa hivi tuna udhaifu mkubwa sana wa kimwili na kiakili kwa wachezaji na bahati mbaya sijui kwa nini wanashindwa kufight kuepukana na hali hii na NEWCASTLE na EVERTON wametupania wanajua huu muda timu imeyumba watakuja na spirit ya ajabu kama tutashindwa kupambana na kusema we are ARSENAL sisi ni BIG club itatuwia vigumu sana kupata matokeo mfano wapinzani wetu wote ni wachovu kama Mancity nae ni yule yule ndo maana kafungwa game 6 kama sisi ila utofauti wao na sisi wao huwa wanapambana na akianza kukufunga hutoki ila sisi karibia mechi 4 za EPL ukiacha ya CHELSEA ya marudiano chini ya ARTETA unakuta tunaongoza goli 1 ila mechi inaisha sare hapa ni Wachezaji kutambua thamani yao ila kila nkiangalia sijui kama watakuja kubadilika ngoja tusubiri hizo 2 next matches zinazokuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…