Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah kipindi cha kwanza tumecheza vibaya sana sana hapa anahitajika torreira kati sababu tunawaachia jamaa wanakuja tu kizembezembe na kupiga mipira mirefu bila sababu na pepe anahitajika kwa haraka sababu mbele hatuwasumbui kabisa jamaa beki zao za kati kila saa zimekuwa washambuliaji kwetu ila pia tukubali tukatae OZIL anatusindikiza hana jipya wala maajabu labda labda second half abadilike ila arteta asipofanya mabadiliko weekend mapema itaishia kuwa chungu na ndefu kwetu na Lacazette dah huyu hata sijui nimuongelee vipi yaani kila mechi yupo poor poor

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu Arteta awe kocha sikuwahi kuangalia mechi za Arsenal chini yake

Leo nimebahatika naangalia hapa, huo mpira mzuri Aaron anaosemaga hapa Arsenal wanaucheza mbona sijauona?

Naona Burley ndio wametawala dimba.

Sent using Cash Money Wings
Mkuu ni leo tu na kwa kikosi kilichoanza sioni ajabu ya kinachochezwa nlivyoona tu list nkajua apa hamna kitu
 
Dah kipindi cha kwanza tumecheza vibaya sana sana hapa anahitajika torreira kati sababu tunawaachia jamaa wanakuja tu kizembezembe na kupiga mipira mirefu bila sababu na pepe anahitajika kwa haraka sababu mbele hatuwasumbui kabisa jamaa beki zao za kati kila saa zimekuwa washambuliaji kwetu ila pia tukubali tukatae OZIL anatusindikiza hana jipya wala maajabu labda labda second half abadilike ila arteta asipofanya mabadiliko weekend mapema itaishia kuwa chungu na ndefu kwetu na Lacazette dah huyu hata sijui nimuongelee vipi yaani kila mechi yupo poor poor

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani toreira ana injury au shida nini?
 
Hii mechi tukitoka salama sijui mpaka dk ya 60 tunacheza poor poor tunazurura tu tuendelee kusubiri dk 90 ila Burnley anastahili kufunga goli tumezidiwa sana sana Arteta next time awe makini na kuchagua wachezaji wa kuanza na pia aache kuwachukia ceballos na pepe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arteta bado ana kazi ya kuitengeneza hii timu. Hizi sub za Willock zinatakiwa zisiwepo kabisa. Aendelee kuleta wachezaji watakaoendena na Falsafa yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lacca ana series ya poor form lakini ni striker mzuri tu, hiyo inamtokea kila mchezaji.
 
@milangomitatu karibu tena mkuu.
Milangomitatu atakuja kututukana ila ukweli anaongeaga sasa ona tunavyocheza yaani tunakoswakoswa tuombe mechi iishe salama

Pepe na ceballos ni watu ambao wangeweza kubadili matokeo badala yake unamuingiza willock tena tushazidiwa sasa kwa nini anaonyesha Chuki za wazwaz kwa hawa watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milangomitatu atakuja kututukana ila ukweli anaongeaga sasa ona tunavyocheza yaani tunakoswakoswa tuombe mechi iishe salama

Pepe na ceballos ni watu ambao wangeweza kubadili matokeo badala yake unamuingiza willock tena tushazidiwa sasa kwa nini anaonyesha Chuki za wazwaz kwa hawa watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Namuona Pepe tofauti kabisa na mnabyomuona. He's not good enough, "habadiliki na hafundishiki", hata Emery amelisema hilo.
 
Back
Top Bottom