Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

acha wakale maisha tu hakuna namna
Hahaha mkuu unanichekesha hahahaha halafu kwa sasa tukubali Lacazette na Aubameyang hawawezi kucheza pamoja hili inabidi tukubaliane kama tunataka ushindi lazima Aubameyang awe centre hapo bila hvyo tutaishia kila weekend kuzivua jezi kwa kuona aibu

Nafuraha Leo bado tupo top 10 hii ndo furaha sababu ilikuwa tufungwe Leo ila tumejaliwa kupata sare ila najiuliza bado tuna mechi 13 kuna wolves man city liverpool Leicester spurs bado hatujacheza nao na matokeo na poor poor performance ndo hii kweli tutanusurika?hali ni mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu aisee... mechi 9, win 01.
Screenshot_20200202-191255.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho tukishinda , matokeo ya man u na wolves yakibaki sare ,

Kutokana na fixture ilivyo baada ya mech 3 tutaongea mengine

Msimamo usikutishe wengi wamefungana point

Kesho tukishinda mtu wa 5 atakuwa katuacha point 3

Then Chelsea aliye nafas ya 4 ana fixture tata pamoja na man u
Unavyosema "mkishinda" kama vile mna bonge la timu la maajabu. Kumbe ndo hii ya kina Lacazette, Ozil mliyekuwa mnamlilia, Gunduzi, Willock etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaron alikuwa anasifia hapa timu inacheza mpira mzuri sana sana chini ya Arteta.

Leo nikasema wacha nione huo mpira mtamu dah ghafla movie ikabadilika kuwa ya mazombie

Sent using Cash Money Wings
Mkuu kiukweli kwa gemu zilizopita mpira ulikua unapigwa mwingi mabeki ndio walikua wanatukosti ila leo Arteta sijui ameamkaje akaamua kuanzisha watu wa ajabu matokeo yake hakuna mpira mzuri wala point tatu
 
Manina kabisa dah tumeponea chupuchupu halafu cha kushangaza wapinzani wapo vibaya sana sana ila upande wetu sijui niseme tupoje?nashindwa kuelezea ukiangalia nafasi ya 4 kwa chelsea hajashinda mechi 3 mfululizo ila bado tumeshindwa kumkaribia dah Manina kweli
Arteta acha Chuki kwa ceballos na pepe tena ya waziwazi kabisa una hao watu wawili ila kamuona willock na nketiah ambaye hata leeds hakuweza kupata namba ndo wanaweza kubadilisha matokeo ya mechi ambayo tulishazidiwa Leo ndo nimeamini watu wa catalunya wana roho na Chuki Kali akikuchukia utaipata hii game tumezidiwa sababu ya Arteta hata shearer anashangaa timu ina wapambanaji ila Msimu mzima tumeshinda mechi 6 pekee?Norwich na watford ndo timu pekee ambazo zimeshinda mechi chache hadi Aston villa katupita kwa kushinda?dah itabidi twende Highbury tukachomoe vitu ambavyo Maadui zetu walifukia kiwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuicheza Chelsea kwenye vitu vya kipuuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ozil mia ceballos mmoja..,mi nachukua ceballos mmoja... Huwa nakereka tu nikimuona ozil anaanza halafu una miguu ya dhahabu benchi....Na nilichefuka zaidi niliposoma arteta kamkumbatia ozil halafu watu wameleta dau.., $ema nilipocheki jukwaa nikaona linaenda vzr nikasema wacha nisichefue watu... Ila kwa hili arteta kafeli(kazingua).
 
Leo namlaumu ARTETA yeye ndo kaanza kuonyesha Chuki za waziwazi na nimemuona ana roho mbaya sana sana yaani tumezidiwa unamuingiza willock(hakuna shabiki wa Arsenal anayempenda jamaa) huku ceballos mtaalamu yupo nje then unamuingiza nketiah ambaye hata leeds hakuweza kupata namba unamuacha pepe nje dah Leo ndo nimeamini wacatalunya wana roho mbaya na ngumu sana na akiendelea na hii tabia hata hizi mechi zijazo zote tunacheza home hatutapata matokeo
Kazi ya willock ni kutema mate tu uwanjani mpira haujui ila kocha sababu anamchukia ceballos anaona ni bora huyu acheze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo namlaumu ARTETA yeye ndo kaanza kuonyesha Chuki za waziwazi na nimemuona ana roho mbaya sana sana yaani tumezidiwa unamuingiza willock(hakuna shabiki wa Arsenal anayempenda jamaa) huku ceballos mtaalamu yupo nje then unamuingiza nketiah ambaye hata leeds hakuweza kupata namba unamuacha pepe nje dah Leo ndo nimeamini wacatalunya wana roho mbaya na ngumu sana na akiendelea na hii tabia hata hizi mechi zijazo zote tunacheza home hatutapata matokeo
Kazi ya willock ni kutema mate tu uwanjani mpira haujui ila kocha sababu anamchukia ceballos anaona ni bora huyu acheze

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha daahh

Arteta ni fundi ila leo kazingua point tatu zilikua muhimu sana ila akaamua kuanzisha wachezaji anaowaamini lakin wameshindwa kumpatia matokeo
 
Ozil mia ceballos mmoja..,mi nachukua ceballos mmoja... Huwa nakereka tu nikimuona ozil anaanza halafu una miguu ya dhahabu benchi....Na nilichefuka zaidi niliposoma arteta kamkumbatia ozil halafu watu wameleta dau.., $ema nilipocheki jukwaa nikaona linaenda vzr nikasema wacha nisichefue watu... Ila kwa hili arteta kafeli(kazingua).
Uyu Ozil angeenda tu

Wazee kuhusu swala la lacazete nadhani ni mda sasa umefika akae benchi aangalie wengine wakipambana sijui kwanini Arteta kaamua kumng'ang'ania kumuanzisha kila gemu
 
Back
Top Bottom