Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daahh ****e wallahi yani timu hii imefikia mahali sare ndio ushindi

Tukachimbue tu hivyo vilivyofukiwa tuachane na maswala ya "security reasons"
 
Kesho tukishinda , matokeo ya man u na wolves yakibaki sare ,

Kutokana na fixture ilivyo baada ya mech 3 tutaongea mengine

Msimamo usikutishe wengi wamefungana point

Kesho tukishinda mtu wa 5 atakuwa katuacha point 3

Then Chelsea aliye nafas ya 4 ana fixture tata pamoja na man u

Mipango siyo matumizi.

Droo ya kwanza hii kati ya point 9 mlizo project.
 
Manina kabisa dah tumeponea chupuchupu halafu cha kushangaza wapinzani wapo vibaya sana sana ila upande wetu sijui niseme tupoje?nashindwa kuelezea ukiangalia nafasi ya 4 kwa chelsea hajashinda mechi 3 mfululizo ila bado tumeshindwa kumkaribia dah Manina kweli
Arteta acha Chuki kwa ceballos na pepe tena ya waziwazi kabisa una hao watu wawili ila kamuona willock na nketiah ambaye hata leeds hakuweza kupata namba ndo wanaweza kubadilisha matokeo ya mechi ambayo tulishazidiwa Leo ndo nimeamini watu wa catalunya wana roho na Chuki Kali akikuchukia utaipata hii game tumezidiwa sababu ya Arteta hata shearer anashangaa timu ina wapambanaji ila Msimu mzima tumeshinda mechi 6 pekee?Norwich na watford ndo timu pekee ambazo zimeshinda mechi chache hadi Aston villa katupita kwa kushinda?dah itabidi twende Highbury tukachomoe vitu ambavyo Maadui zetu walifukia kiwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manina kabisa dah tumeponea chupuchupu halafu cha kushangaza wapinzani wapo vibaya sana sana ila upande wetu sijui niseme tupoje?nashindwa kuelezea ukiangalia nafasi ya 4 kwa chelsea hajashinda mechi 3 mfululizo ila bado tumeshindwa kumkaribia dah Manina kweli
Arteta acha Chuki kwa ceballos na pepe tena ya waziwazi kabisa una hao watu wawili ila kamuona willock na nketiah ambaye hata leeds hakuweza kupata namba ndo wanaweza kubadilisha matokeo ya mechi ambayo tulishazidiwa Leo ndo nimeamini watu wa catalunya wana roho na Chuki Kali akikuchukia utaipata hii game tumezidiwa sababu ya Arteta hata shearer anashangaa timu ina wapambanaji ila Msimu mzima tumeshinda mechi 6 pekee?Norwich na watford ndo timu pekee ambazo zimeshinda mechi chache hadi Aston villa katupita kwa kushinda?dah itabidi twende Highbury tukachomoe vitu ambavyo Maadui zetu walifukia kiwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
Daahh ****eee hahaha huu msimu tuko vibaya kuliko misimu yote yaani hamna kitu kabisa
 
Leo hamna kitu kimefanyika

sijui Arteta ameshakubaliana na hali kwamba hamna sehemu timu inaweza kufika kwa msimu huu maana kikosi kilichoanza leo selection ilikua mbovu

Huwa namwona Aaron akiwa ana calculate points za Arsenal nasema ngoja nisubiri matokeo.

Maana unaweza kujua hii timu nayo ni kama Liverpool ukikuta anakupigia points za kutofungwa mechi kadhaa zijazo
 
Back
Top Bottom