Unai Emery
Member
- Nov 19, 2019
- 79
- 62
Coquelin siwezi mzingatia sana, ila Paulista walimuuza lakini hakukuwa na udhaifu wa kushindwa kumvumilia,mbona Mustafi anavumiliwa!!.Jana niliangalia game ya Valencia na Barcelona beki wetu wa zamani Gabriel was superb, alifanya interception na kuokoa magoli mengi sana, pia alifunga goli lililokataliwa bila sababu ya kueleweka.
Sijui ni game ya jana tu, ila alikuwa na kiwango kuliko beki yetu yeyote ya sasa.
Pia kiungo wetu Coquline alikuwa kwenye ubora mzuri sana akishirikiana na Kondogbia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliangalia alipocheza na Liverpool au umesimuliwa kuwa beki ni mbovu?nimeangalia crip zake uyo jamaa daaah ki ukweli hamna beki humo jamaa ni mzito hana stamina speed rate 0 bora mustafi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana niliangalia game ya Valencia na Barcelona beki wetu wa zamani Gabriel was superb, alifanya interception na kuokoa magoli mengi sana, pia alifunga goli lililokataliwa bila sababu ya kueleweka.
Sijui ni game ya jana tu, ila alikuwa na kiwango kuliko beki yetu yeyote ya sasa.
Pia kiungo wetu Coquline alikuwa kwenye ubora mzuri sana akishirikiana na Kondogbia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ni timu Madrid etiMpaka muda huu sijui ni kwa nini lile goli lilikataliwa and corner retaken. Sikujua kama hispania bado kuna marefu wapumbavu
Humu kwema kabisa, toka tukufukuze timu yetu ina cheza mpira unaoeleweka, tuna first eleven na sub zinazojulikana. Tunapata matokeo hata mechi za ugenini, tumefufua winning mentality na kujenga umoja ulioubomoa.......kwema humu?
Sina timu HispaniaMkuu wewe ni timu Madrid eti
Ongea na Mod wabadilishe jina , na Uje ujitambulishe......kwema humu?
Anapenda kurudi kasema , ila naona atakuja kurudi akae bench la ufund na rafiki yake ArtetaNasikia Carzola anarudi ni kweli wazee
Kwahiyo sio kwamba anarudi kuchezaAnapenda kurudi kasema , ila naona atakuja kurudi akae bench la ufund na rafiki yake Arteta
Sijajua maana Sijaona interest yoyote Arsenal kumtaka hii JanuaryKwahiyo sio kwamba anarudi kucheza
Yeye mwenyewe Carzola Kasema anatamani kabula hajatundika daluga apate japo mechi moja acheze pale Emirates ili awaage mashabiki. Anasema anajisikia vibaya kwa kuwa aliondoka bila kuwaaga mashabiki.. Huyu ni miongoni mwa wachezaji wanaoipenda sana Arsenal..Kwahiyo sio kwamba anarudi kucheza
Ni mzuri hasa Aerial dualUliangalia alipocheza na Liverpool au umesimuliwa kuwa beki ni mbovu?
Yupo vizuri sana huyo jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
nimemuangalia kweny game hyo hyo vs liva yuko kama per martesacker ni mzur kwa mipra ya juu ila mzito sana yuko slow kama piqueUliangalia alipocheza na Liverpool au umesimuliwa kuwa beki ni mbovu?
Yupo vizuri sana huyo jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pablo Mari ana mazuri yake;nimemuangalia kweny game hyo hyo vs liva yuko kama per martesacker ni mzur kwa mipra ya juu ila mzito sana yuko slow kama pique
Sent using Jamii Forums mobile app