Daah!.. Mbona unanitisha!
Sent using
Jamii Forums mobile app
Pablo mari historia yake Fupi ameanza maisha ya mpra Mallorca kacheza Giaminstic Deportivo La coluna
Alisajiliwa na Man CTY mwaka 2016
July 2019 alijiunga na Manchester CTY akiwa man CTY hakufanikiwa kucheza mchezo wowote ndani ya man CTY ......
Manchester CTY iliweka kipengele cha buy back clause pamoja na set back walizopata Eneo la ulinzi kuumia kwa laporte ,walihusihswa kumnunua lakini hawakufanya hivyo.........maana laporte amepona
Ubora wa Pablo mari ni mzuri kwenye mpira ya juuu vision
Ya kupga pass lakin hana kasi, ni like per merteseker hivi ,au gerlad pique,
Pablo mari ni aina ya wachezaji kama Gerrad pique hawana kasi ila ni wana uwezo wa kumsoma mpinzani na kufanya interception na tacking ........., kaangalie. ..mech yao na Liverpool fainal club world cup ,
Sio usajili wa kutisha acha tuone Arteta atamtumia vipi
Naaamini Arteta amehusika hapa alikuwa naye Manchester City
Anatumia mguu wa kushoto anatokea Flamengo ya Brazil