Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nikitulia nitagoogle nimchek vzr!.. Kumbe jamaa anataka kutulisha matango pori hapa!.. Pia kwa vile anakuja kwa mkopo, akiunderperform atarudi kwao!. Nashukuru Mungu tunasajili hata kama ni mikopo

Sent using Jamii Forums mobile app
me nimezungumzia vile nilivyomuona mtazamo wangu sio sheria, Vardy akimtangulizia mpira hatua moja tu yule jamaa afati hata kidgo kamuangalie utaleta mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wazee wangu hivi Deal ya Kurzawa imebuma mbona naona kama anaenda Juve.
Alikubaliana na Arsenal , ila Arsenal haikukubalina na PSG

PSG wanataka wapate angalau hela kidogo, Arsenal walikuwa wanamvizia summer wambebe bure ,PSG kaamua kufanya biashara January hii na Juve asipate hasara
 
Flamengo president has confirmed that Arsenal are buying Mari, not a loan. English media really don’t have a clue.
 
Arsenal wameanza kumshawish kurzawa akatae kwenda juve ili ajoin arsenal kwenye dirisha kubwa
 
Flamengo’s President has said in a WhatsApp group that the English reports of Pablo Mari signing on loan with an option to buy are incorrect and it will be a standard transfer.

He knows better than anyone else, so it’s fair to say we’ve all got it wrong. #AFC
 
naipenda sana. Silaha yangu

Sent using Cash Money Wings
SILAHA ZANGU.
1_GettyImages-1195207990.jpeg
74417130_442974276630898_8889691881802413265_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prove

£8m=£85m hapo ndipo utajua uchawi wa Mathematics.....

Nimemkumbuka Mwl.Masemele

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo mzee lazima ufanye mafekeche!! dy/dx lazima ihusike!! Unapiga mnyoka mkuuubwa una let maguire equal to leicester city pablo iko to flamengo! Unapiga intergral moja matata mpaka unapata 8=85

Shikamoo mathematics!!🤣
 
Arteta (Martinelli)


"I heard a lot of things about Gabi before I joined but the moment I saw him training I was confirmed with all the things I was told before. The way he competes and how brave he is in every decision he makes in the pitch is very unusual for an 18-year-old.”
IMG_20200124_211021.jpeg
 
FRANCIS CAGIGAO : ARSENAL HEAD OF INTERNATIONAL SCOUTING

Francis Cagigao ni jina maarufu ndani ya Arsenal akiwa kama Mkuu wa kimataifa wa skauti ya kusaka vipaji , amefanya kazi na Arsene Wenger kwa muda mrefu , Asili yake ni muhispania , kwasasa ana miaka 50.

Kazi zake ambazo zimedhihirisha uwezo wake ndani ya Arsenal , ni kama Kufanya skauti ya kumpata Cesc Fabregas , Hector bellerin , Lauren Mayer , Robin van Persie , Santiago Carzola, Jose Antonio Reyes (R.I.P) , Emi marinez , Pia kushauri Arsenal imlete Alexis Sanchez , hata Usajiri wa Arteta kuja Arsenal kama mchezaji ilikuwa ushauri wake baada ya scouting


Mwaka Juzi 2018 alifanya Skauti ya kumfatilia kinda Gabriel Martinel ambaye Alishafanya Majaribio zaidi ya Mara 2 katika klabu ya Man utd ,na Barcelona ambapo kote huko walisema Amefeli .


Mwaka 2019 akaja na Majibu na kuishauri Bodi ya Arsenal imnunue Kinda huyu kwa £6m sawa na Billion 18 za kitanzania .

Bodi ya Arsenal ikamsikiliza na kulipa kiasi hicho , Huu ndio usajiri wake mwingine Unaotajwa Kulipa siku za usoni .

Scouting zake karibu zote zilileta matokeo chanya . ...Lauren Mayer, Cesc Fabregas, Reyes, Cazorla, Monreal, Arteta, Emi Martinez, Xhaka, Alexis Sanchez, Vela,Hector Bellerin, Van Persie


A true unsung hero behind the scenes, the experienced recruiter should be looking to establish himself as one of the key men in Arsenal’s revolution.

After all, he has the necessary qualities.

images%20(4).jpeg
 
Jana niliangalia game ya Valencia na Barcelona beki wetu wa zamani Gabriel was superb, alifanya interception na kuokoa magoli mengi sana, pia alifunga goli lililokataliwa bila sababu ya kueleweka.

Sijui ni game ya jana tu, ila alikuwa na kiwango kuliko beki yetu yeyote ya sasa.
Pia kiungo wetu Coquline alikuwa kwenye ubora mzuri sana akishirikiana na Kondogbia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana niliangalia game ya Valencia na Barcelona beki wetu wa zamani Gabriel was superb, alifanya interception na kuokoa magoli mengi sana, pia alifunga goli lililokataliwa bila sababu ya kueleweka.

Sijui ni game ya jana tu, ila alikuwa na kiwango kuliko beki yetu yeyote ya sasa.
Pia kiungo wetu Coquline alikuwa kwenye ubora mzuri sana akishirikiana na Kondogbia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Paulista sahivi yupo vizuri kwanza sura ya utoto ishamtoka kabisa.
 
Back
Top Bottom