Pablo Mari is heading to London for his Arsenal medical. [@pedroivoalmeida]
Arsenal ya London imefika makubaliano na Flamengo
Juu ya usajili wa Beki wa Kati Pablo Mari Villar mwenye miaka 26 .......
Atawasili London Kufanyiwa vipimo na atasain mkataba wa kuitumikia .......Arsenal ya London
Ada ya uhamisho haijawekwa wazi ila kulingana na ripoti haitavuka pauni 8m .......
Pablo mari historia yake Fupi ameanza maisha ya mpra Mallorca kacheza Giaminstic Deportivo La coluna
Alisajiliwa na Man CTY mwaka 2016
July 2019 alijiunga na Manchester CTY akiwa man man CTY hakufanikiwa kucheza mchezo wowote ndani ya man CTY ......
Manchester CTY iliweka kipengele cha buy back clause pamoja na set back walizopata Eneo la ulinzi walihusihswa kumnunua lakini hawakufanya hivyo.........
Ubora wa Pablo mari ni mzuri kwenye mpira ya juuu vision
Ya kupga pass lakin hana kasi Pablo mari ni aina ya wachezaji kama Gerrad pique hawana kasi ila ni wana uwezo wa kumsoma mpinzani na kufanya interception na tacking .........
Sio usajili wa kutisha acha tuone Arteta atamtumia vipi
Naaamini Arteta amehusika hapa alikuwa naye Manchester City
Anatumia mguu wa kushoto anatokea Flamengo ya Brazil
View attachment 1333741