scrappy
JF-Expert Member
- Apr 8, 2019
- 450
- 566
Hahahah... we ongea kufurahisha genge. Ikifika saa moja kasoro mashabiki wa the blues tutakuwa tumejaa kwenye huu uzi kama nyuki.
Hakuna kitakachobadilika. Leo akikaa Kamanda Kova na General Kante basi biashara imeisha.
Kwa beki ipi iliyopo Arsenal? Hii timu inapaswa kujengwa upya tusitarajie kushinda game kirahisi hivyoLeo Arsenal tunashinda, Chelsea ni timu ya kawaida haina uwezo wa kumfunga Arsenal
Kila lakheri chama langu Arsenal.
Hahahaha dah...aiseeeeehh vichezaji vya mkopo ndio unataka kufananisha na Granit Xhaka!!!!!!!
Huyu Kante aliyeassist juzi mkachabangwa goli mbili buyu na wale vitotoHakuna kitakachobadilika. Leo akikaa Kamanda Kova na General Kante basi biashara imeisha.
Kama naona beki za arsenal zikila umeme hivihivi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kiungo... unatokaje hapo kwa mfano?Huyu Kante aliyeassist juzi mkachabangwa goli mbili buyu na wale vitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee baba wewe si kocha.. arteta ndio anajua kila mchezaji strength & weakness zake...Matteo na Nelson first eleven hahahahaha hii timu hii na Arteta naona anajifanya anajua sana pepe nje hahahaha Leo Mungu atulinde
Sent using Jamii Forums mobile app
Washabiki sisi. Kiufupi washabiki wa arsenal tunajua kuliko makocha. This is so surprising jamani.mzee baba wewe si kocha.. arteta ndio anajua kila mchezaji strength & weakness zake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ugonjwa sio wa washabiki wa Arsenal pekee mzee.....huu ugonjwa ni wa wapenda soka duniani kote,Washabiki sisi. Kiufupi washabiki wa arsenal tunajua kuliko makocha. This is so surprising jamani.
Hebu muacheni kocha afanye kazi yake. Huyu arteta si ndio tulimtaka???
Hata mimi ningependa pepe acheze, lakini ule wakati nipo kwenye midaladala ya mwendokasi kuelekea posta kutafuta ugali wangu, ule muda ambao wewe upo stesheni ukisubiria gari za mbagala, ule muda ambao unafanya shughuli zako ndio muda ambao arteta yupo na wataalamu wenzie wa mpira ambao wamekuwa kwenye soka kwa miaka kadhaa wa kadhaa wakiangalia na kuchambua ni mchezaji gani Bora acheze.
Tuacheni ujuaji mwingi wazee
Washabiki sisi. Kiufupi washabiki wa arsenal tunajua kuliko makocha. This is so surprising jamani.
Hebu muacheni kocha afanye kazi yake. Huyu arteta si ndio tulimtaka???
Hata mimi ningependa pepe acheze, lakini ule wakati nipo kwenye midaladala ya mwendokasi kuelekea posta kutafuta ugali wangu, ule muda ambao wewe upo stesheni ukisubiria gari za mbagala, ule muda ambao unafanya shughuli zako ndio muda ambao arteta yupo na wataalamu wenzie wa mpira ambao wamekuwa kwenye soka kwa miaka kadhaa wa kadhaa wakiangalia na kuchambua ni mchezaji gani Bora acheze.
Tuacheni ujuaji mwingi wazee
Ok mkuuHuu ugonjwa sio wa washabiki wa Arsenal pekee mzee.....huu ugonjwa ni wa wapenda soka duniani kote,
Ukienda pale jukwaa la Liver kina Ngwaba na wenzake wanachukia Hendo akipangwa lkn Klopp ndio anayejua....ukija hapo jukwaa la Chelsea nao kila siku wanakosoa plan za kocha....
Hata hao Pundits wa Uingereza pia wanakosoa na kutoa mapendekezo na maoni....
Kwahiyo hilo sio jambo la ajabu ingawa sikupingi sana mzee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si mshabiki wa Arsenal na kama ni Shabiki wa Arsenal haujui Mpira au unataniamzee baba wewe si kocha.. arteta ndio anajua kila mchezaji strength & weakness zake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok mkuuNaujuaji wao huo huo wanapuyanga! Wanaboronga na kufukuzwa!
Kuna vitu huwa viko wazi hata sisi tunakuwa tunaona kuna sub huwa zinafanyika hovyo! Kiasi tunajua jamaa anakosea wapi! Aingie nani mambo yaende sawa!
Tofauti kubwa ya sisi na wao ni presha! Wao wanakuwa wanafanya mambo katika presha! Na ndio maana huwa wanatoa maboko wakati mwingine
Jicho la kuwa mchezaji fulani ni mzuri hata madenge wa kilungule anaweza kuwa nalo!!
Labda kama anataka kumtumia kwa namna nyingine mf. Kama victor moses kwa conte.
Kiuchezaji bila kuongeza mbinu na mikalati ya kocha pepe ni mchezaji mzuri zaidi ya neilson