DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Jamaa kauzu,Klopp met with Arsene Wenger in Qatar. The interview will be out on beIN (should be a great interview) View attachment 1297262
Suti na raba!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kauzu,Klopp met with Arsene Wenger in Qatar. The interview will be out on beIN (should be a great interview) View attachment 1297262
Kutembea Kifua mbele bado sana bro, labda kama Upamecano na Partey watatua januaryAisee mbona hii deal inachukua muda hivyo wafanye maswala tujue kama na sisi tutaanza kutembea vifua mbele au.....
Lakini usifananishe Pep alipoikuta Barcelona au Zidane alipoikuta Madrid ambazo zilisheheni wachezaji mahiri na wakafanikiwa kufanya vyema, hata hivyo Kuna utofauti wa Arsenal hususani wamiliki na board za usajili, kwa Arsenal board and the owner of the biggest shares ni mzigo mabahili kupitiliza, Arsena wachezaji iliyonayo sasa 70% average players, Sasa huyu Arteta anaenda kwenye weak and average team, muda utaongea tu hatukawii kusema afukuzwe maana ameenda kwenye mabosi mabahiliHata guardiola alianzia chini... hakuna kocha aliyeanzia juu.. kuanzia chini ndio maisha halisi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu usajili wamemwambia watampa support....Lakini usifananishe Pep alipoikuta Barcelona au Zidane alipoikuta Madrid ambazo zilisheheni wachezaji mahiri na wakafanikiwa kufanya vyema, hata hivyo Kuna utofauti wa Arsenal hususani wamiliki na board za usajili, kwa Arsenal board and the owner of the biggest shares ni mzigo mabahili kupitiliza, Arsena wachezaji iliyonayo sasa 70% average players, Sasa huyu Arteta anaenda kwenye weak and average team, muda utaongea tu hatukawii kusema afukuzwe maana ameenda kwenye mabosi mabahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri ushuhudie kituko wanaweza kuuza Aubameyang wakaleta Benteke akiwa mchezaji huru Kroenke ni mtu wa kupenda kitonga sanaKuhusu usajili wamemwambia watampa support....
Kesho jamaa Leo alikuwa anawaaga city na kubeba mabegi YAKE
Kila kitu tayari ataanza Ku manage team mechi ya wiki ijayo, wikiend hii atakuwa jukwaani tu
Majirani zetu natamani sana Arteta atue Arsenal. nataka nimuone je pep yuko ndani ya arteta? Ata apply Zile mbinu, skills na mifumo ya pep? Au atakuja na kitu chake kipya.
Changamoto nanayohisi itamkabili Arteta kwamba kama ataamua kufundisha ule mpira wa pep basi atakwama kupata wachezaji wa aina ya pep.
Je Arteta analo jicho la kuona wachezaji wazuri kama pep? Kama hilo jicho hatakuwa nalo basi tutegemee Arteta atakuja na style yake mpya ya ufundishaji mbali na style ya pep.
All in all nadhani Arteta ataifanyia makubwa Arsenal apewe muda ajenge timu, mashabiki kuweni wavumilivu. Mmepata pacha wa pep kazi kwenu kusupport kandanda safi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majirani zetu natamani sana Arteta atue Arsenal. nataka nimuone je pep yuko ndani ya arteta? Ata apply Zile mbinu, skills na mifumo ya pep? Au atakuja na kitu chake kipya.
Changamoto nanayohisi itamkabili Arteta kwamba kama ataamua kufundisha ule mpira wa pep basi atakwama kupata wachezaji wa aina ya pep.
Je Arteta analo jicho la kuona wachezaji wazuri kama pep? Kama hilo jicho hatakuwa nalo basi tutegemee Arteta atakuja na style yake mpya ya ufundishaji mbali na style ya pep.
All in all nadhani Arteta ataifanyia makubwa Arsenal apewe muda ajenge timu, mashabiki kuweni wavumilivu. Mmepata pacha wa pep kazi kwenu kusupport kandanda safi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubir
Kwa wachezaji gani Bukayo Saka atakupa mpira ule wa babu Wenger miaka ya 2006 kushuka chini, Arsenal ilianza kuharibika baada ya Kroenke kununua hisa nyingi, mateso bado yapo palepale yaani kinachofanyika ni Ugonjwa wa kifua kikuu kutulizwa na PanadolIle aseno ya kandanda safi inarudi maana tulikuwa tunaogopa hata kwenda kuangalia mpira Unai Huyu pumbavu zake
Wachezaji wavivu watauzwaArteta ni kocha wa New Arsenal.
Wote na Guadiola wanatoka kwenye kitu chaitwa Catalan Machine yaani kitalu cha wachezaji wote mahiri wa Spain.
Ni Barcelona ambako kuna shule yaitwa La Masia Academy. hatari sana.
Arteta ndiye aliembadilisha Raheem Sterling kuwa mchezaji wa maana wa Man City.
Hivyo tusubiri mabadiliko makubwa Arsenal.
Pamoja na hayo,Kwa wachezaji gani Bukayo Saka atakupa mpira ule wa babu Wenger miaka ya 2006 kushuka chini, Arsenal ilianza kuharibika baada ya Kroenke kununua hisa nyingi, mateso bado yapo palepale yaani kinachofanyika ni Ugonjwa wa kifua kikuu kutulizwa na Panadol
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal inapaswa kupata kocha mzoefu na ambaye ni strong sio Kama kina unai na hawa kina Arteta wa kuokota okota, tunatakiwa kuwa na kocha anaeweza kuitikisa board ya Arsenal na Kroenke wao sio makocha wa majaribio Kama ilivyokuwa kwa Unai EmeryPamoja na hayo,
Unai alikuwa kansa , hivi unajua ndan ya miez 18 kapewa £200m na kakosa hata kupata kikosi cha kwanza