Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

#AFC | Sam Fagbemi, who is being linked to Arsenal alongside Mikel Arteta, has also been at the club before.

Fagbemi was a Video Scout for Arsenal's youth academy between 2015-2017, before taking a lead scout role at Manchester City.
IMG_20191217_222247.jpeg
 
Arsène Wenger, 2018:

‘We want to be a club who gives a chance to somebody who deserves it. To somebody who has a dream & is ready to fight for it. That is initially the most dignified target a club can have: to influence people’s life & to give them the chance to be successful’.
IMG_20191217_231150.jpeg
 
UMUHIMU WA UCL NI MKUBWA SANA

Kila team huwa inatoa details za mapato yake kwa mwaka either wamepata profit au loss hii hujumuisha vyanzo vyote vya mapato ya club

Kwa mwaka 2018/2019 arsenal wametangaza overall income( revenue) kuwa ni £ 367.5m per annual( before_tax) lakini je hii ni profit au loss

Miezi 12 nyuma means mwaka 2017/2018 club ilitangaza mapato £ 388.6m per annual ikiwa ni faida ya £ 97m kulinganisha na mwaka uliokuwa umepita ( 2016/2017)

Tuje sasa je kutoka 388.6m -367.5m= £ 21.1m Ni kwa hesabu nimejaribu kupiga hii ni loss

Sababu kuu ni kushuka kwa players sales income kulingana na taarifa zao average revenue ya player sales ni £ 34m

Lakini pia kucheza europa mfululizo mapato hupungua sababu ,UCL kuna gawio kubwa kulinganisha na europa ambapo tupo

Je kwa mazingira haya tunaweza invest kiasi gani kwa usajili kama mapato ni £ 367.5 m kumbuka hapa ni pre tax ( kabla ya kodi)

Team ina project nyingi ikiwepo misharaha ya wachezaji na wafanyakazi wengine uboreshaji wa miundo mbinu kwa mazingira haya sioni fungu kubwa kama tunavyodhani kusajiri wachezaji zaidi ya kumi tena expensive

FFP ipo pia kuguide tutumie kulingana tulichoingiza ili kuepuka hasara kupelekea ban na arsenal hierarchy wanaheshimu sana hizi sheria .

Arteta anakuja lakini inasemekana ameahidiwa Signing kadhaa January ,na nyingi ni Summer .

Ok ni mapito tu tutatoka hapa nafikiri tumeona umuhimu pia wa UCL

We are the arsenal

Hatukoki_hatuhami
IMG_20191217_122249.jpeg
 
UMUHIMU WA UCL NI MKUBWA SANA

Kila team huwa inatoa details za mapato yake kwa mwaka either wamepata profit au loss hii hujumuisha vyanzo vyote vya mapato ya club

Kwa mwaka 2018/2019 arsenal wametangaza overall income( revenue) kuwa ni £ 367.5m per annual( before_tax) lakini je hii ni profit au loss

Miezi 12 nyuma means mwaka 2017/2018 club ilitangaza mapato £ 388.6m per annual ikiwa ni faida ya £ 97m kulinganisha na mwaka uliokuwa umepita ( 2016/2017)

Tuje sasa je kutoka 388.6m -367.5m= £ 21.1m Ni kwa hesabu nimejaribu kupiga hii ni loss

Sababu kuu ni kushuka kwa players sales income kulingana na taarifa zao average revenue ya player sales ni £ 34m

Lakini pia kucheza europa mfululizo mapato hupungua sababu ,UCL kuna gawio kubwa kulinganisha na europa ambapo tupo

Je kwa mazingira haya tunaweza invest kiasi gani kwa usajili kama mapato ni £ 367.5 m kumbuka hapa ni pre tax ( kabla ya kodi)

Team ina project nyingi ikiwepo misharaha ya wachezaji na wafanyakazi wengine uboreshaji wa miundo mbinu kwa mazingira haya sioni fungu kubwa kama tunavyodhani kusajiri wachezaji zaidi ya kumi tena expensive

FFP ipo pia kuguide tutumie kulingana tulichoingiza ili kuepuka hasara kupelekea ban na arsenal hierarchy wanaheshimu sana hizi sheria .

Arteta anakuja lakini inasemekana ameahidiwa Signing kadhaa January ,na nyingi ni Summer .

Ok ni mapito tu tutatoka hapa nafikiri tumeona umuhimu pia wa UCL

We are the arsenal

Hatukoki_hatuhamiView attachment 1295972
Aaron hii post umeandika ki-layman, hapana shaka wewe sio mhasibu. Profit au loss hazikokotelewi kihivyo.
hayo tuyaache, arteta is coming, ila timu inahitaji major overhaul. kama mchezaji hajitumii uuza au gawa bure, kubali hasara; asikae kwenye timu kuwafundisha ujinga wengine
 
Aaron hii post umeandika ki-layman, hapana shaka wewe sio mhasibu. Profit au loss hazikokotelewi kihivyo.
hayo tuyaache, arteta is coming, ila timu inahitaji major overhaul. kama mchezaji hajitumii uuza au gawa bure, kubali hasara; asike kwenye timu kuwafundisha ujinga wengine
Hatutoki, hatuhami!.. Hata iweje!.. We are the gunners forever!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIKEL ARTETA NDO JINA LINALOTAWALA SASA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA INASEMEKANA USIKU HUU YUPO NA KIKAO CHA MWISHO NA JOSH KREONKE KUFIKIA MAKUBALIANO KUINOA ARSENAL

Kwa upande wangu Arteta sio chaguo baya na nadhani hawezi kukubali kutia sign kama hajafikia makubaliano ya kupewa fungu nono la usajili kuanzia january

Japo watu wengi wanaona Arsenal ya sasa hata apewe nani itaharibu hii ni kweli..!! Unai Emery destroyed our culture tunahitaji mtu ambae atapigwa kwa ajili ya kujenga timu na Arteta akija atapigika haswa but kutakua na plans behind hatokubali kuja kuaibika lazima ataahidiwa pesa na atapewa

Kroenke sio bahili ila tajiri huogopa kutoa pesa yake kutokana na watumiaji kutotendea haki pesa yake

Mimi ni mfuasi wa Arteta 100% wampe timu sasa hivi achakazwe mpaka achakae lakini ikifika kwenye usajili nina imani ataanza kuijenga timu

Arsenal ya sasa haihitaji mafanikio inahitaji kujengwa Arsenal imebomoka sana

Arteta atafanikiwa sana Arsenal kama akipewa Misimu miwili ya kujenga timu

At least atatuletea vitu hivi vinne

-mfumo wa kuheshimika
-Hardworking Players
-Kujitambua kwa wachezaji
-Mpira mtamu wa Ki Arsenal, Arsenal

Jamaa sio mpole kama watu wanavyomdhania, alisikika Leroy Sane akisema wachezaji wanamuogopa Arteta kuliko Guardiola na yeye ndo uti wa mgongo wa timu kwa sasa

Ni mtu ambae wachezaji wanafuata amri yake mara moja bila kufokafoka

Kwanini Arteta miaka mitatu aliyokaa pale City tayari kuna debe linapigwa aje kumrithi Guardiola..!? Huitaji degree kujua kwanini

There is something in Arteta , jamaa Hajawai kuwa legend wa Arsenal but he is a leader

Arteta hacheki hovyo jamaa yupo serious sana

Arteta tayari ameshajua how to deal with big players

Aguero, De bruyne, silva , sterling na wengineo wamepitia chini yake

Amecheza Barcelona na Arsenal na Amefundisha man city kama msaidizi nadhani ni sahihi maana asilimia kubwa ya maisha yake ameishi kwenye timu zinazohusiana na zenye culture moja na Arsenal

Apewe misimu miwili na kujenga timu then msimu wa tatu tumdai makombe, hakika subira ni muhimu

Hata kama hatotupa kombe but atatuacha pazuri

Guardiola amejifunza kwa Johan Cruyff na leo hii Arteta amejifunza kwa mwanafunzi wa Johan Cruyff, ujuzi unarithishwa

He is our main man kama atafanikiwa

Nina imani Arteta hatokubali ku sign kama hajaahidiwa fungu la pesa

Sijui kama atakuja but moyo wangu umejenga imani nae

He knows our culture nina imani timu itapambana law ajili yake nina imani tutakuwa na watu wanaopambana
KAMA ARTETA AKIPEWA TIMU BASI APEWE NA MUDA WA KUJENGA TIMU


DONDOO MUHIMU


“My philosophy will be clear, I want the football to be expressive, entertaining. I cannot have a concept of football where everything is based on the opposition.”

- Mikel Arteta in his philosophy


At the end of his career at Arsenal, Arsene Wenger allowed Arteta to lead training sessions on numerous occasions after impressing him with “his eye for small details”. Even Arsenal-players, staff members and the club board were convinced that Arteta had a big future as a coach.


According to reports, Arteta impressed Wenger, Arsenal-players, staff members and the club board to such an extent that he was immediately considered as one of the favourites to lead a post-Wenger Arsenal. Arsenal were keen to hold on to him once he announced his retirement.


Mikel Arteta’s reputation as a promising young coach, however, got the new City-manager at the time, Pep Guardiola, interested in bringing him to City as part of his coaching staff. Arteta knew that this was a fantastic opportunity to learn from one of the best managers.



Pep Guardiola on Arteta’s impact on Raheem Sterling:

“Mikel Arteta is working many, many hours and days after training specifically about the last action on the pitch – that control in the last moment to make the right movement in the final three or four metres.

#COYGView attachment 1294535
Daa aje basi asee, vipi bado hakuna breaking news hu
Arsene Wenger:


“Once they make the decision in an objective way, I will support him (Arteta). Overall, he has all the qualities, he knows the club, he was captain of the club, a leader who has passion for the game - so why not?” View attachment 1294628

o?
 
Pochettino: “Mikel Arteta has the capacity to be one of the greatest coaches in football”

Wenger: "For Arteta, does he have all the qualities to do the job? Yes"

Pep: "I said after a few months together he would be a manager. He is already a manager - he behaves like a manager"View attachment 1294221
Mzee Wenger ni mtu muungwana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIKEL ARTETA NDO JINA LINALOTAWALA SASA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA INASEMEKANA USIKU HUU YUPO NA KIKAO CHA MWISHO NA JOSH KREONKE KUFIKIA MAKUBALIANO KUINOA ARSENAL

Kwa upande wangu Arteta sio chaguo baya na nadhani hawezi kukubali kutia sign kama hajafikia makubaliano ya kupewa fungu nono la usajili kuanzia january

Japo watu wengi wanaona Arsenal ya sasa hata apewe nani itaharibu hii ni kweli..!! Unai Emery destroyed our culture tunahitaji mtu ambae atapigwa kwa ajili ya kujenga timu na Arteta akija atapigika haswa but kutakua na plans behind hatokubali kuja kuaibika lazima ataahidiwa pesa na atapewa

Kroenke sio bahili ila tajiri huogopa kutoa pesa yake kutokana na watumiaji kutotendea haki pesa yake

Mimi ni mfuasi wa Arteta 100% wampe timu sasa hivi achakazwe mpaka achakae lakini ikifika kwenye usajili nina imani ataanza kuijenga timu

Arsenal ya sasa haihitaji mafanikio inahitaji kujengwa Arsenal imebomoka sana

Arteta atafanikiwa sana Arsenal kama akipewa Misimu miwili ya kujenga timu

At least atatuletea vitu hivi vinne

-mfumo wa kuheshimika
-Hardworking Players
-Kujitambua kwa wachezaji
-Mpira mtamu wa Ki Arsenal, Arsenal

Jamaa sio mpole kama watu wanavyomdhania, alisikika Leroy Sane akisema wachezaji wanamuogopa Arteta kuliko Guardiola na yeye ndo uti wa mgongo wa timu kwa sasa

Ni mtu ambae wachezaji wanafuata amri yake mara moja bila kufokafoka

Kwanini Arteta miaka mitatu aliyokaa pale City tayari kuna debe linapigwa aje kumrithi Guardiola..!? Huitaji degree kujua kwanini

There is something in Arteta , jamaa Hajawai kuwa legend wa Arsenal but he is a leader

Arteta hacheki hovyo jamaa yupo serious sana

Arteta tayari ameshajua how to deal with big players

Aguero, De bruyne, silva , sterling na wengineo wamepitia chini yake

Amecheza Barcelona na Arsenal na Amefundisha man city kama msaidizi nadhani ni sahihi maana asilimia kubwa ya maisha yake ameishi kwenye timu zinazohusiana na zenye culture moja na Arsenal

Apewe misimu miwili na kujenga timu then msimu wa tatu tumdai makombe, hakika subira ni muhimu

Hata kama hatotupa kombe but atatuacha pazuri

Guardiola amejifunza kwa Johan Cruyff na leo hii Arteta amejifunza kwa mwanafunzi wa Johan Cruyff, ujuzi unarithishwa

He is our main man kama atafanikiwa

Nina imani Arteta hatokubali ku sign kama hajaahidiwa fungu la pesa

Sijui kama atakuja but moyo wangu umejenga imani nae

He knows our culture nina imani timu itapambana law ajili yake nina imani tutakuwa na watu wanaopambana
KAMA ARTETA AKIPEWA TIMU BASI APEWE NA MUDA WA KUJENGA TIMU


DONDOO MUHIMU


“My philosophy will be clear, I want the football to be expressive, entertaining. I cannot have a concept of football where everything is based on the opposition.”

- Mikel Arteta in his philosophy


At the end of his career at Arsenal, Arsene Wenger allowed Arteta to lead training sessions on numerous occasions after impressing him with “his eye for small details”. Even Arsenal-players, staff members and the club board were convinced that Arteta had a big future as a coach.


According to reports, Arteta impressed Wenger, Arsenal-players, staff members and the club board to such an extent that he was immediately considered as one of the favourites to lead a post-Wenger Arsenal. Arsenal were keen to hold on to him once he announced his retirement.


Mikel Arteta’s reputation as a promising young coach, however, got the new City-manager at the time, Pep Guardiola, interested in bringing him to City as part of his coaching staff. Arteta knew that this was a fantastic opportunity to learn from one of the best managers.



Pep Guardiola on Arteta’s impact on Raheem Sterling:

“Mikel Arteta is working many, many hours and days after training specifically about the last action on the pitch – that control in the last moment to make the right movement in the final three or four metres.

#COYGView attachment 1294535
Hili bandiko nalihifadhi Kama kumbukumbu, sio kwa praise hizi, eti Arteta hacheki hovyo Hahahha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UMUHIMU WA UCL NI MKUBWA SANA

Kila team huwa inatoa details za mapato yake kwa mwaka either wamepata profit au loss hii hujumuisha vyanzo vyote vya mapato ya club

Kwa mwaka 2018/2019 arsenal wametangaza overall income( revenue) kuwa ni £ 367.5m per annual( before_tax) lakini je hii ni profit au loss

Miezi 12 nyuma means mwaka 2017/2018 club ilitangaza mapato £ 388.6m per annual ikiwa ni faida ya £ 97m kulinganisha na mwaka uliokuwa umepita ( 2016/2017)

Tuje sasa je kutoka 388.6m -367.5m= £ 21.1m Ni kwa hesabu nimejaribu kupiga hii ni loss

Sababu kuu ni kushuka kwa players sales income kulingana na taarifa zao average revenue ya player sales ni £ 34m

Lakini pia kucheza europa mfululizo mapato hupungua sababu ,UCL kuna gawio kubwa kulinganisha na europa ambapo tupo

Je kwa mazingira haya tunaweza invest kiasi gani kwa usajili kama mapato ni £ 367.5 m kumbuka hapa ni pre tax ( kabla ya kodi)

Team ina project nyingi ikiwepo misharaha ya wachezaji na wafanyakazi wengine uboreshaji wa miundo mbinu kwa mazingira haya sioni fungu kubwa kama tunavyodhani kusajiri wachezaji zaidi ya kumi tena expensive

FFP ipo pia kuguide tutumie kulingana tulichoingiza ili kuepuka hasara kupelekea ban na arsenal hierarchy wanaheshimu sana hizi sheria .

Arteta anakuja lakini inasemekana ameahidiwa Signing kadhaa January ,na nyingi ni Summer .

Ok ni mapito tu tutatoka hapa nafikiri tumeona umuhimu pia wa UCL

We are the arsenal

Hatukoki_hatuhamiView attachment 1295972
Hahaha siku izi hauji kabisa jukwaa kile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom