Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,122
- 912
Man city wanakaza aisee anaweza asitambulishwe leoArsenal hope to announce Mikel Arteta's appointment today [Various] AFTV on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi habari nimeziona sehemu nikashindwa kuziamini.Man city wanakaza aisee anaweza asitambulishwe leo
Mkuu wanagoma kwa sababu gani au mgt ya Arsenal hawataki kilipa fidia.Man city wanakaza aisee anaweza asitambulishwe leo
Umenena vyema.ARTETA APEWE MUDA KUPROVE ANA KITU GANI
Note : usajiri wa kocha ni kamari tu kama ulivyo usajiri wa wachezaji success ni majaliwa tu hvyo tusi jurge sana ujio wa arteta kwamba hawezi
Experience ni pamoja na ku learn( kusoma) kwa walio mzidi kakaa na Guadiora 3 years, now natumai kapata kitu atleast ujue huu ni muda mrefu zaidi
Kuliko wa zidane aliokaa kama assitant chini ya ancellot kabla ya mafanikio yake ya UEFA
Nafikiri cha msingi ni support kwa project atakayohitaji kujenga yeye na plan zake kama zitatutoa hapa tulipo kwa sasa
Nakumbuka mpaka sasa rivals kama manchester united tangu 2013 hawajawahi kusajiri kocha asiye na experience as head coach wote walikuwa experienced mfano moyes van gal mourinho
Je ni mafanikio gani makubwa zaidi wamepata ukiacha FA na EUROPA hiiinatupa funzo mafanikio ni process na bahati ya mtu kufanikiwa kwa alichokijenga
Tukipunguza matarajio tutauona ukweli binafsi ntamsupport tu akifail basi atakuja mwingine sio kila doubts ni sahihi
View attachment 1296537
Kumbe deal done?
Duh!!!!Makubaliano ni kwamba Arteta ataanza kazi msimu ujao. Anamalizia msimu huu city
Sent using Jamii Forums mobile app
AlikuwepoAlafu Arteta jana sijamuona katika benchi la ufundi
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Hapana mkuu , anakuja anatambulishwa Leo au keshoMakubaliano ni kwamba Arteta ataanza kazi msimu ujao. Anamalizia msimu huu city
Sent using Jamii Forums mobile app
Fidia arsenal wamekubali kulipa , Na Josh kreonke kashasepa zake U.S.AMkuu wanagoma kwa sababu gani au mgt ya Arsenal hawataki kilipa fidia.
ESPN:
-Arsenal hope to announce Mikel Arteta as manager today.
- Borrel will join him at Arsenal from Man City
- Freddie will be part of Arteta’s staff Osman on TwitterView attachment 1297030
Sent from my SM-G950F using Tapatalk