Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Last seen 2012.....kuna jamaa wanataka kufanana ID itakuwa umemchanganyaWasilianeni na Game theory aliyeuanzisha huu Uzi aibadilishe hii picha.
Anapatikana kwenye Uzi wa Manure.
Last seen 2012.....kuna jamaa wanataka kufanana ID itakuwa umemchanganyaWasilianeni na Game theory aliyeuanzisha huu Uzi aibadilishe hii picha.
Anapatikana kwenye Uzi wa Manure.
Arsenal ina waliowahi kua wachezaji wake ambao ni makocha pia, siyo wasaidizi bali ni makocha kabisa, mfano Vieira na Henry.Jana balague anayekuja ni Former arsenal player
So I guess Arteta
Edu anamtaka Vieira ,but majority wanamuhitaji Arteta ,Arsenal ina waliowahi kua wachezaji wake ambao ni makocha pia, siyo wasaidizi bali ni makocha kabisa, mfano Vieira na Henry.
So labda na hao wamo
Uzuri top 4 ipo open
Aise aje arteta, uyo viera hapana kwa kweli!....maana aliteta alishakaaga kipindi kifupi na wenger, ndo akasepa man cty...uyo viera sijuii falsafa zake uko kwenye maisha yake ya ukocha. namskia skia tu kwa watu.Edu anamtaka Vieira ,but majority wanamuhitaji Arteta ,

[According to @WeberESPN & @standardsport]
Aje artetaAise aje arteta, uyo viera hapana kwa kweli!....maana aliteta alishakaaga kipindi kifupi na wenger, ndo akasepa man cty...uyo viera sijuii falsafa zake uko kwenye maisha yake ya ukocha. namskia skia tu kwa watu.
Mzee unamtukana Lacazette.Pepe , auba na martinel wanaweza tengeneza utatu mmoja mzuri sana
Laca anatabia ya kuhold sana mipira ,anajimwambafai sana akiwa na mpira ,
Faida ya martnel anacheza winger zote na CF , hivo anakuwa fkexible kufanya movement kila upande ,
Auba pia anaweza kutokea pemben , hii inafanya hawa watatu nione wanendana sana kuliko laca akiwepo timu inakosa balance ,
Laca ana demand £200k , itakuwa poa akiuzwa na hela yake iongeze beki,
Madrid nao kama wanamtaka Auba , walete hiyo hela na Jovic ,
ila martinel ni hazina kubwa anajua nn anachokifanya ,
Pale katikati kiungo akicheza xhaka & toreira kinakuwa compact ,
Colum aachwe Kama CB, View attachment 1287402
Ukisema Simeon unamaanisha Diego Simeon?Aje arteta
Bench la ufundi litabaki hili la kina Freddie & per
Head coach atakuwa arteta
Per aliwahi kusema anapenda sana kufanya kazi tena na arteta ,
Ngoja tuone kama Arsenal hawatapiga U turn , kuna kocha mmoja kati ya Simeon au ancelot anatimuliwa wiki hizi zijazo kama wataendelea kukosa matokeo mazuri
Per Mertesacker has opened the door for Mikel Arteta to return to Arsenal as manager.
Arteta, 37, spent five years at the Emirates as a player and captained the club during that time.
View attachment 1287428
Mimi ni mshabiki binafsi wa lacazette ,Mzee unamtukana Lacazette.
Martnell yuko poa tangu day one namuona Europa nilijua ni yuko poa. Lakini kudai Laca aende kisa huyu dogo siyo sahihi.
Lacazette kwa uwezo wake wa kukaa na mpira na nguvu anastahili kua right wing au CF. Martnell anapendeza kua CF kwa sasa, Pepe jana katukosesha goli la nne, bado tumtupe Lacazette?
Mi siamini.
Upo kama mimi, game moja-mbili zisifanye tukasahau wachezaji wetu wenye uwezo mkubwa. Lacca yupo poa sana, nisingependa auzwe unless big offer comes au aonyeshe kuwa big headed(wachezaji wengi wana hii kasumba).Mzee unamtukana Lacazette.
Martnell yuko poa tangu day one namuona Europa nilijua ni yuko poa. Lakini kudai Laca aende kisa huyu dogo siyo sahihi.
Lacazette kwa uwezo wake wa kukaa na mpira na nguvu anastahili kua right wing au CF. Martnell anapendeza kua CF kwa sasa, Pepe jana katukosesha goli la nne, bado tumtupe Lacazette?
Mi siamini.
Hatumbez lacazette ,lkn huu ni ushauri ambao Freddie ameuchukua kumdrop laca , kuna mech hasa big match kuwasumbua mabeki , lkn kuna mech hata za karibun jaribu kumfatilia anavyo hold mipira ,huwa auba na pepe wanakuwa out of position au anaenda kupoteza mpira ,Upo kama mimi, game moja-mbili zisifanye tukasahau wachezaji wetu wenye uwezo mkubwa. Lacca yupo poa sana, nisingependa auzwe unless big offer comes au aonyeshe kuwa big headed(wachezaji wengi wana hii kasumba).
We need to rotate our squad hivyo kuwa na wachezaji wazoefu na makinda kama Martinelli ni muhimu sana.