Nimesema goli la nne. Siyo goli nneMimi ni mshabiki binafsi wa lacazette ,
Ila nilikuja kugundua baada ya muda kuwa Auba ,laca na pepe timu inakosa balance , sio kwamba ni laca ni mbaya no ,ni kutokana na uchezaji wake , ni mtu wa kuhold mipira
Wachezaji kutokuendana haimaanishi ni wabovu,
Mfano Gunduz akicheza na xhaka au gunduz na toreira timu inakosaga balance , lkn sio kama gunduz ni mbaya
Lakin wanapocheza xhaka na toreira timu INA balance
The same Martinel auba pepe wote ni flexible
Ukizingatia laca ana demand 200k per week , let's go
Pepe Jana katukoseshaje goli 4 ?
Yah kuna goli alitukoseshaNimesema goli la nne. Siyo goli nne
Mzee unamtukana Lacazette.
Martnell yuko poa tangu day one namuona Europa nilijua ni yuko poa. Lakini kudai Laca aende kisa huyu dogo siyo sahihi.
Lacazette kwa uwezo wake wa kukaa na mpira na nguvu anastahili kua right wing au CF. Martnell anapendeza kua CF kwa sasa, Pepe jana katukosesha goli la nne, bado tumtupe Lacazette?
Mi siamini.
Ujue hata kipindi cha Emery Pepe alicheza namba ile ile na alikua anajaribu kupiga shots angle ile ile na alikua akikosa.Yah kuna goli alitukosesha
Ila kama umegundua pepe amebadilika ,anamshukuru sana Freddie , Mara nyingi alikuwa akishafanya take ons anashindwa kupiga shuti, au linafeli ,
Pepe anasema chin ya emery hakuwa huru, kwa Freddie kaongezewa kitu
Hii chini ni board ya mazoez , kiukweli Martinel auba pepe tunapata flow nzuri ,
View attachment 1287494
Kweli mkuu,hii haina ubishiBrother muna fixtures ngumu sana
Ili uweze kufunga angle zile inahitaji mazoez, na mwalimu kukuongezea ujuzi, ndicho pepe anachozungumziaUjue hata kipindi cha Emery Pepe alicheza namba ile ile na alikua anajaribu kupiga shots angle ile ile na alikua akikosa.
Yaani alikua anacheza namba sahihi tangu mwanzo. Alivyokua akikosa magoli tukawa tunasema hajazoea ligi, kusema hakua huru na Emery sioni kama ina mantiki. Wote tunajua left footer akitokea kulia anatakiwa afunge, same kwa right footer akitokea kushoto.
Laca ni kama Firmino kwa Liver, unaweza usione umuhimu wake ila uwepo wake unawarahisishia wengine kufungaM mwenyewe nme sikitika mzee siamn kama aroon ndo kaandika hv au labda bado yuko high na ushindi wa jana, laca anae funga katka mazngra magumu leo una mchukulia poa kias hiki siamn
Sasa mkuu huyo jamaa wa chumba cha pembeni hayumo humu JF🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mods toeni picha ya Emery hapo huyo mtu siyo kocha tena Maxence Melo Fang Invisible .
Tukiacha hilo.
We are supposed to play FROM the back not AT the back. Wachezaji hawafocus kupeleka mpira mbele, ni kama mtu anayejifunza kucheza PlayStation mpira. Akili inamwambia namna pekee sitofungwa ni huyu mwenzangu asipopata mpira na ili asiupate inabidi nipige pasi ila nikiwa kwangu.
Hii ni shida as ukicheza na timu yenye washambuliaji wenye nguvu na vishada kama Mane, Messi, Ronaldo, Vardy, Kane n.k. hapo ni kujitafutia matatizo.
Magoli yetu yamepatikana dk ya 60, 66 & 69. Kipindi cha kwanza chote tulitumia kumiliki, yaani kama vile kumiliki ndiyo lengo kuu la timu. Guendouz alipoingia akawa anajaribu kuvunja huo mwiko wa kutopeleka mbele mpira, kama kawaida yake.
Xhaka kapoteza mno mipira. Ni kama vile anatuadhibu kwa kumuamini. Kutokana na hilo tumejikuta West Ham ana attempts 10 na Arsenal 7, ingawa wote tuna on target 4 hii inamaanisha to play AT the back na Xhaka kukosea pasi kumetufikisha hapo.
Anyway, wewe jamaa wa chumba cha pembeni unapiga mno kelele wakati mimi mwanangu anataka kulala. Tuheshimiane, una mabinti wawili, mmoja kamaliza o level mwingine yupo la tano ukiendelea utakuta stori ya mmoja wao kwenye uzi wa tunda kuliwa kimasikhara.
Simchukulii poa ,ila mbelen utakuja kunielewa namaanisha nini,M mwenyewe nme sikitika mzee siamn kama aroon ndo kaandika hv au labda bado yuko high na ushindi wa jana, laca anae funga katka mazngra magumu leo una mchukulia poa kias hiki siamn
Kumbuka firminho alikuwa namba 10 , sio CF asilia ,wakati laca ni CF tu , utofauti unaanzia hapo ,Laca ni kama Firmino kwa Liver, unaweza usione umuhimu wake ila uwepo wake unawarahisishia wengine kufunga
Not too fast broAkiondoka Laca au auba anunuliwe Everton, Zaha au anaother world class winger
Martinelli 9 inamtosha kabisa,
Kwa alivyokua anashangilia zile kosakosa na yale magoli naamini humu yupo maana kuna jamaa hua anaandika kwa mzuka kweli kweliSasa mkuu huyo jamaa wa chumba cha pembeni hayumo humu JF🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Exactly mkuu..Laca ni kama Firmino kwa Liver, unaweza usione umuhimu wake ila uwepo wake unawarahisishia wengine kufunga
Hakuna CF ambaye hawezi kutokea wing ya kushoto au kulia kutegemea na mguu wake.Kumbuka firminho alikuwa namba 10 , sio CF asilia ,wakati laca ni CF tu , utofauti unaanzia hapo ,
Wanataka kuondoka , na mikataba inaelekea mwisho,Not too fast bro
PointLaca ni kama Firmino kwa Liver, unaweza usione umuhimu wake ila uwepo wake unawarahisishia wengine kufunga
Siwez kuamini unachosemaHakuna CF ambaye hawezi kutokea wing ya kushoto au kulia kutegemea na mguu wake.
Benzema alikua anatokea kushoto wakati Ronaldo yupo pale kama CF. Na Bale akawa anatokea kulia. Alipoondoka Ronaldo Benzema karudi kati.
Mandzukic alikua anatokea kushoto na Higuain anaachwa kati.
Kwahiyo Laca kama CF wengine kwake kutokea kushoto siyo shida. Sawasawa na Aubameyang alivyotokea kushoto game ya Europa.