BUSARA ZANGU
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 778
- 1,269
Halafu kuna watu humu wanaamini wana timu nzuri 





Mkuu huyu hata kubeba viatu vya timu haiwezekani.Deschamps uwa yupo sahihi kutomuita kwenye nation team
Mimi msimamo wangu ni kuomba droo. Basi.
Uwezo wa nini haupo mkuu?
Ina maana leicester haiwezi kufungwa au una maana gani?
Kila la kheri arsenal.
Ngoja tuendelee kupata haya matokeo naapa Mimi Mungu yupo game ya Leicester city hatutashinda hatutashinda kama kocha atakuwa ni Unai naapa hatutashinda

Gunyero gunyero!Unasema?
Nyie sio watu wazuri kabisa.....Arsenal nilisema kwenye hizi game zenu mbili Wolves na Leicester mtaambulia point moja tu, ndiyo hii mmeipata leo, next game na Leicester mnakufa
Ngoja tarehe 9 saa 5 kama unai atakuwa kwenye benchi la Arsenal naapa narudia tutarudi humu kuandika kulalamika na matusi juu
EMERY analaumiwa bure tuu wachezaji hakuna kitu.
Arsenal wapuuzi tu. Walikuwa wanaingia Top four kwa nguvu za mzee WengerHana uwezo wa kupata droo pale king power mechi iko wazi kabisa Arsenal anakufa
Ni kichapo tuu hakuna cha draw hapo.Game yetu leo naiona draw kama kawaida.