Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inaonekana bodi haina mpango wa kumuondoa Unai, hana pressure yoyote, maana anajiamini kweli, ana mipango hadi ya December huko itakavyokuwa.
 
Acheni kuwanyanyasa wenzenu! Hawakuandika barua kuomba hizi shida
Sisi pia hatukuandika barua kuomba maneno yao ya kejeli mwanzo wa msimu. Hakuna fans waliokuwa wanaona wame win mwanzo wa msimu kama hawa jamaa. Walijisahaulsha matatizo yao
 
Matokeo yoyote ya Arsenal na Leicester yatamnufaisha Chelsea. Mkishinda tunatinga top 3. Mkifungwa ndo top four kwisha kabisa
 
Sisi pia hatukuandika barua kuomba maneno yao ya kejeli mwanzo wa msimu. Hakuna fans waliokuwa wanaona wame win mwanzo wa msimu kama hawa jamaa. Walijisahaulsha matatizo yao
Hii hali itapita tu , wewe piga kelele humu ,

Ngoja tumuondoe huyu muhind,

Kama mnadhan Chelsea mmemaliza safar , bas ndio mnaianza ,

Ombi letu Leo tupigwe , mech bado ni nyingi ,

Tutaanza kuwafukuzia , sijui kama mtashinda mech zote
 
Arsenal ni kama nyumbu. Wasahaulifu kupitiliza. Msimu ukiisha au ikiingia international break basi wanasahau matatizo yao
 
Hakuna dalili zozote za Arsenal kumfunga Leicester leo.
leicester 3 Arsenal 0.
Moja ya maajabu itakuwa leo kama Arsenal atashinda dhidi ya leicester.

Arsenal hanauwezo wa kumfunga nyumbani leicester.
 
Game yetu leo naiona draw kama kawaida.

Arsenal hana uwezo wa kutoa draw na leicester ,tena pale king power.mara ya mwisho kushinda pale ilikiwa mwaka2015.

Mechi ya mwisho pale king power Arsenal alikufa 3 bila.

Yaani leo Arsenal ni kipigo tu hakuna namna ndio maisha mliochagua hayo.

Full time:Leicester 3 Arsenal 0.
 
Matokeo yoyote ya Arsenal na Leicester yatamnufaisha Chelsea. Mkishinda tunatinga top 3. Mkifungwa ndo top four kwisha kabisa

But muwe wakweli leo munatamani Arsenal ashinde ibaki uo uwezo tu haupo
 
1. Leno
2. Kolasinac
3. Luis
4. Sokratis
5. Bellerin
6. Matteo
7. Torreira
8. Auba
9. Ozil
10. Pepe
11. Laca

kikosi cha leo
 
Unai Emery all but confirms Granit Xhaka may not play for the Gunners at all.
"We need a player like Granit Xhaka. But also, I don't know if he's going to play again. I don't know, because if he is available in his mind to continue helping us and continuing defending the Arsenal shirt, I think the time is giving us that solution."
Earlier, Emery officially confirmed that Granit Xhaka is no longer a captain of Arsenal following Xhaka's outburst during the Crystal Palace clash last month.
All this happened after the Crystal Palace incident. Xhaka was clearly unhappy with his second-half substitution against Palace on October 27, showing his frustration by slowly walking off the pitch.
The reaction angered the fans at the Emirates as the score was tied at 2-2 and they proceeded to jeer the captain, who told them to 'f*** off' in response.
 
1. Leno
2. Kolasinac
3. Luis
4. Sokratis
5. Bellerin
6. Matteo
7. Torreira
8. Auba
9. Ozil
10. Pepe
11. Laca

kikosi cha leo
Hiki kikosi ni official au mapenzi yako?
Maana haiwezekani Unai kupanga kikosi hiki.
 
Shida ya arsenal si team ya mtu mmoja ni team ya watu wengi kwahiyo hadi wakae vikao ndo waamue

Na wakati huo wanawaza tukivunja mkataba na huyu kocha tutapata wapi pesa za kumlipa? Wakati siye wenyewe masikin wa kutupwa

Lakin kwetu Chelsea Roman akiamka tu kama kocha anazingua anamtupia mabeg yake anasepa na pesa analipwa

Hakuna sijui cha upuuz wa bod kuket sijui wanakunywa juice ya miwa
Hahaha leo tuwaunge mkono wanipigie Leicester ...japo naona hata draw awapati ...

Come Leicester

Kila la kheri Arsenal
 
Back
Top Bottom