Mkuu ni kweli kiburi cha Unai kinachagizwa kwa asilimia fulan na Raul , ila ukifatilia waliomleta Unai ni kina Gazid ndiye alikuwa na mamlaka makubwa, Raul alimtaka Enrique maana anamjua toka barca , Gazid alimtaka Arteta na Unai ,
Asilimia 70% ya waliomleta Unai hawapo Arsenal ,
Ukifatilia vzr Utaona Wengi pale Arsenal hawamuelewi Emery , ni swala la muda tu .
Gazid ndiye aliyemfata unai na kumpa dili, kipind kile anafika Kwenye interview alisema jinsi alivyompata huyu muhind
Raul alikosea sehemu ndogo kuondoka kwa Sven. , Dirisha la summer walimsikiliza sana Sven na akaleta watu kama kina Leno, lt11 , auba, Mateo
Dirisha la January , wakamsikiliza unai. ..kuhusu ujio wa Denis Suarez, kitu ambacho Sven alikikataa kabisa
Kuanzia hapa kukawa na maneno, suluhisho ikawa Huwez kumuondoa kocha , wakuondoka ni Sven ,