Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

IMG_2042.JPG
 
Arsenal unlikely to revisit Wilfried Zaha interest as January transfer plans explained (Image: Getty)

Arsenal are not expected to reignite their interest in Wilfried Zaha any time soon, as chiefs outline their plan for the January transfer window.

Arsenal had a £40million bid for Zaha rejected in the summer, with the Gunners falling way short of Crystal Palace’s valuation.

The Ivory Coast international handed in a transfer request as the window drew to a close, with Everton also failing in a £70m bid, but did not seal a move away from Selhurst Park.

Reports linking Zaha to Arsenal have simmered along since the start of the season but Football London report that the north London club have no intention of reigniting their interest in the player.
 
Huyu jamaa ana jichi la tatu linapokuja suala la kupiga free kick. Kuna siku Auba alikuwa anataja kupiga free kick, jamaa alisogea akamnong'oneza akamueleke
Pepe Joins Top Players in History To Have Scored 2 Free Kicks In Only 1 game
1.Cristiano Ronaldo=Champions League
2.Wayne Rooney=Premier League
3.Lionel Messi=La Liga
4.Nicolas Pepe=Europa LeagueView attachment 1243976
Za angle ya kupiga!.. Kweli Auba alivyipiga aka-score, nikabaki nashangaa sana maana Auba si mzuri sana kwenye free Kicks. Na toka siku hiyo nijaanza kumwamini sana huyu Pepe.
 
Huyu jamaa ana jichi la tatu linapokuja suala la kupiga free kick. Kuna siku Auba alikuwa anataja kupiga free kick, jamaa alisogea akamnong'oneza akamuelekeZa angle ya kupiga!.. Kweli Auba alivyipiga aka-score, nikabaki nashangaa sana maana Auba si mzuri sana kwenye free Kicks. Na toka siku hiyo nijaanza kumwamini sana huyu Pepe.
Kipaji cha pepe katika kupiga freekick nilikiona mech za AFCON alipiga faulo mbili zikala nguzo , tokea hapo namuheshimu sana kwenye faulo


Na yeye mwenyewe anasema idol wake ni messi
 
Kipaji cha pepe katika kupiga freekick nilikiona mech za AFCON alipiga faulo mbili zikala nguzo , tokea hapo namuheshimu sana kwenye faulo


Na yeye mwenyewe anasema idol wake ni messi
Jamaa kajitahidi, hasa goli la pili alionesha ufundi wa kupiga free balls ila messi ni hatari mze baba, yule jamaa sijui ana jicho gani kwenye haya mambo
 
Guys let's not carried away na free kicks mbili za Pepe. Tho kusema ukweli Pepe kacheza vizuri hii game na Vitoria na iliyopita ya Sheffield.

Ama moto ndiyo umewaka? Tusubiri na kuona.
Hata ya shefflied alicheza vzr kuliko wote

Huyu jamaa sijawahi kuwa na wasiwasi nae hata kidogo ,ndio maana wanaomponda huwa siwaelewi wanatumia nini kumsema

Pepe ana uwezo wa kutake ons sana

Ana uwezo wa kupiga chenga hata watu wanne bila tatizo

Ana jua kupiga freekick vzr tu

Tatizo lake ambalo naliona ni dogo tu , kwenye kufunga baada ya kufanya yote hayo

Mechi na Liverpool alikuwa anawatoka beki za liver hadi 2 ,kwenye kufunga inakuwa tatizo
 
Ishu ya Zaha kuja Arsenal kama ikitokea kweli, kwa Mourinho anaweza kuwachezesha Laca, Auba, Pepe na Zaha kwa pamoja. Maana kuna siku nlimskia Mou anasema Pepe anaweza kucheza ndani kidogo sio pembeni na akafanya vizuri, ila Kuja kwa Zaha thn kocha ni Unai Emery hiyo itakuwa ni death warrant kwa lacazette.
 
Ishu ya Zaha kuja Arsenal kama ikitokea kweli, kwa Mourinho anaweza kuwachezesha Laca, Auba, Pepe na Zaha kwa pamoja. Maana kuna siku nlimskia Mou anasema Pepe anaweza kucheza ndani kidogo sio pembeni na akafanya vizuri, ila Kuja kwa Zaha thn kocha ni Unai Emery hiyo itakuwa ni death warrant kwa lacazette.
Zaha hastahili kucheza timu kubwa.

Huyu ni mchezaji wa aina ya Iwobi.

Arsenal au timu nyingine kubwa ikijichanganya kumsajili kazi wanayo.
 
Back
Top Bottom