Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zaha hastahili kucheza timu kubwa.

Huyu ni mchezaji wa aina ya Iwobi.

Arsenal au timu nyingine kubwa ikijichanganya kumsajili kazi wanayo.
Unamuhukumu bure zaha , zaha ana tatizo la kufunga tu, ila ni mtu anayeweza kurahisisha wengine wakafunga
 
MOU ALIKUWEPO JANA EMIRATES NA ARSENAL C.E.O RAUL SANHEIL

| #AFC

Jose Mourinho was at The Emirates for Arsenal’s Europa League tie vs Vitoria SC last night with Raul Sanllehi.
IMG_20191025_130434.jpeg
 
Huyu Pepe, Aubameyang na Lacazette wanaangushwa na kiungo kinachopangwa na Emery.
Yaani kuna Eneo flani la namba kumi analochezaga Ozil siku hizi mpira haufiki kabisa pale, hii ndio maana nafasi zinatengenezwa chache sana.

Huwa napata hasira sana nikimwona Xhaka akipata mpira anapiga pembeni, matteo naye vilevile, unajiuliza huyu kwanini anashindwa kuforce King pale katikati, kuchezea mpira lile eneo inahitaji uujue mpira kweli na huwe sharp sio kubahatisha.

Labda tutegemee ceballos na Matteo wakizoea hii game kwa badae, lakini kiukweli Ozil anahitajika sana.
 
Kuna jambo nimeli note , bodi ya Arsenal ni mpya kwa karibu 90% , na toka wameingia wamekuwa wakifanya mambo kwa siri sana

Rejea swala la kuvujisha taarifa kuwa Arsenal itatumia bajeti ya £45m .

Kwasasa Inaonesha dalili za Awali bodi haimuelewi emery , Kuanzia Edu ambaye amekuwa karibu sana na mashabiki kila mechi. Josh ambaye pia kulikuwepo kauli hadharan kuwa bado hamuamini emery.


Siku chache zilizopita David ornstein alisema Iwapo Emery atakuwa sacked , Caretaker ni Freddie ,

Bodies mpya imekuwa ikimtumia wakala Mendez katika dili mbalimbali, Mendez ni wakala wa Mourinho pia ,

Kitendo cha Jana kuonekana kwa mou akiwa na Raul sanheil , ni dhahiri Bodi ya Arsenal bado inamtafutia angle Ya kumfukuza emery .

Na yawezekana wameshaandaa list ya makocha wakumrithi emery ,



IMG_20191025_130434.jpeg
 
Charlie Nicholas:

"Why have Arsenal paid the money for Kieran Tierney & are not playing him, despite getting him fit? Why are you not playing Hector Bellerin when fit? I do not understand why he gets these players fit & doesn’t play them. #AFC
IMG_20191025_142149.jpeg
 
Charlie Nicholas:

"Why have Arsenal paid the money for Kieran Tierney & are not playing him, despite getting him fit? Why are you not playing Hector Bellerin when fit? I do not understand why he gets these players fit & doesn’t play them. #AFC View attachment 1244259
Dogo anajua sana, tangu A cole na clichy waondoke sijawai kua proud na lb wetu tena but this time, this time, this timeee am very proud than never
 
Arsenal will be wearing their brilliant 424 suits for the first time at Sunday’s game. So at least if/when things go wrong they’ll go wrong in style.

Bellerin: As a club, how you behave and look off the pitch is as important as how you act on it”.
IMG_20191025_213527.jpeg
 
Kila siku unampanga Willock ambaye anaishia kufail unamtoa First half, tena mechi ijayo unamrudisha kikosini anashindwa vilevile,unarudia tena na tena... hivi unataka nini ambacho kila siku anashindwa kukupa?

Wengine wana game ya 6 hatuwaoni hata bench, si ujinga huo.!! .
 
Kuna jambo nimeli note , bodi ya Arsenal ni mpya kwa karibu 90% , na toka wameingia wamekuwa wakifanya mambo kwa siri sana

Rejea swala la kuvujisha taarifa kuwa Arsenal itatumia bajeti ya £45m .

Kwasasa Inaonesha dalili za Awali bodi haimuelewi emery , Kuanzia Edu ambaye amekuwa karibu sana na mashabiki kila mechi. Josh ambaye pia kulikuwepo kauli hadharan kuwa bado hamuamini emery.


Siku chache zilizopita David ornstein alisema Iwapo Emery atakuwa sacked , Caretaker ni Freddie ,

Bodies mpya imekuwa ikimtumia wakala Mendez katika dili mbalimbali, Mendez ni wakala wa Mourinho pia ,

Kitendo cha Jana kuonekana kwa mou akiwa na Raul sanheil , ni dhahiri Bodi ya Arsenal bado inamtafutia angle Ya kumfukuza emery .

Na yawezekana wameshaandaa list ya makocha wakumrithi emery ,



View attachment 1244207
Kama hizi tetesi kuhusu Jose Mourinho kuwa mrithi wa Unai Emery hapo Emirates zitakuwa kweli, binafsi nitaunga mkono. Arsenal tunahitaji kocha atakaye rudisha hali ya kujiamini uwanjani, huyu Muhindi kuendelea kumtegemea kuturudisha top 4 ni sawa na kusubiria meli uwanja wa ndege.
 
If possible tungempa kazi hata kocha wa Leicester city huyu Brendan Rodgers, naona yuko vizuri kuliko Unai Emery wetu. Naona Leicester anazidi kuiboresha kila siku, huyu atatufaa sana Arsenal.
 
Mourinho atakuja halafu tutamchukia.

Tuna nini ambacho Madrid haikua nacho?

Huyu jamaa siungi mkono kutua hapo.
 
If possible tungempa kazi hata kocha wa Leicester city huyu Brendan Rodgers, naona yuko vizuri kuliko Unai Emery wetu. Naona Leicester anazidi kuiboresha kila siku, huyu atatufaa sana Arsenal.
Timu zinazokabiliana na leicester city tofaut na zinapokabiliana na arsenal timu ndogo inapocheza na arsenal au timu yoyote ya top 6 umakini huwa wa hali ya juu sana ikiwa pamoja na kupak basi Rogers akija arsenal mtamkataa moja pressure ni kubwa tofaut na alipo kule timu hiz zinahitaj makocha wenye cv kubwa mchezo aliocheza leicester city au sutton hawez kucheza na timu yoyote ya top 6 lazima wanawaza kuziba njia
 
Back
Top Bottom