DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kwahiyo Jones,Maguire,Rojo,Tuanzebe,Young ndio mabeki wa maana????mimi nakwambia bora atucheke mtu leicester city ila sio wewe wa Man utd....Unavyoongea utadhani Arsenal ina wachezaji wa maana, utadhani Torreira ni kiungo wa maana, utadhani Mustafi, Holding na Luiz ni mabeki wa maana
Matatizo ya United yatakwisha kabla ya Arsenal, sababu always Tajiri anaweza kumaliza matatizo yake mapema kuliko masikini asiye na resources za kutosha
PALE EMIRATES MAGOLI YANAINGIA, MASHABIKI WANASHANGILIA KWA NGUVU ZOTE, HALAFU KUNA MTU YUPO TANZANIA ANAJIFARIJI NGOJA TUPIGWE ILI KOCHA AFUKUZWE(Njia bora sana ya kujifariji)
Pipa na mfuniko

Who else?
#afc #arsenal #coyg #gunners #pepe
