Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
Me naomba nitofautiane kidogo na wewe, angalia mpira wanaocheza Leicester then fananisha na huu tunaocheza Arsenal yetu ya Unai.Timu zinazokabiliana na leicester city tofaut na zinapokabiliana na arsenal timu ndogo inapocheza na arsenal au timu yoyote ya top 6 umakini huwa wa hali ya juu sana ikiwa pamoja na kupak basi Rogers akija arsenal mtamkataa moja pressure ni kubwa tofaut na alipo kule timu hiz zinahitaj makocha wenye cv kubwa mchezo aliocheza leicester city au sutton hawez kucheza na timu yoyote ya top 6 lazima wanawaza kuziba njia
Kama unadhani Brendan Rodgers hatoweza ku deliver akiwa Arsenal basi wote Unai Emery na Rodgers ni average Coaches, kwa mbinu za kiuchezaji Emery amezidiwa na Brendan Rodgers mbali sana. Na kuhusu hili utakuja kuona Leicester atakavyo tufunga tutakapokutana epl
