Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Najua ninachoongea, ila kwa kuwa hakikupendezi unajiaminisha kwamba ni boko

Kinachonichekesha ni excuse mnayotumia mashabiki wa Arsenal ku justify kufanya kwenu vibaya. Mara kocha, Mara sijui Guendouzi....... Hahahaa, kuhusu Guendouzi wote mlikuwa hamtaki kumuona akianza lakini Unai akaendelea kumuamini na sasa naona wote mnamuamini

Arsenal kamzidi United kwenye ushambuliaji tu, hamna beki pale. Luiz ni Chelsea reject, hao wengine hata Burnley hawapati namba. Arsenal ana moja kati ya record mbovu za ulinzi pale EPL, nakumbuka Liver alimlamba 4 sijui 5.

Kwahiyo United strength yake ni defense na Arsenal ni forward ndio maana United anaweza kufunga goli moja na akashinda mechi, ila Arsenal anaweza kupata goli 3 na bado akapoteza mechi

Pia, usiogope kuhusu United maana January ana room ya kuimarisha timu ikiwemo safu ya ushambuliaji as long as hela ipo (Ndio uzuri wa kushabikia timu zenye hela)

Kutumia nguvu kusema Arsenal atamaliza juu ya United ni kupoteza muda, maana na mimi naweza kutumia nguvu kusema United atamaliza juu ya Arsenal. Nakumbuka uliwatabiria Chelsea vibaya na sasa hivi utabiri wako unaelekea kukugeuka, hivyo hata huu utabiri juu ya United unaweza kukugeuka

Baki na ushauri wangu, muda ndio jibu la nani atakuwa zaidi msimu huu kati ya United na Arsenal
Haya tusubiri hiyo January isije tokea ukawa bado mpo nafasi ya 20

Ndio maana nilikwambia maswala ya arsenal yaache au uliza

Wanaomkataa Mateo wana sababu na ni za msingi , Mateo akicheza na Xhaka kiungo hakijawahi kuwa stable , japokuwa Mateo ni mzuri kudrive team


Kwahiyo usichanganye mambo ,


Na hizi hoja ni kuanzia kwa watu wakaribu wa arsenal hadi mashabiki , maana anamchezesha Xhaka as DM na kumuacha lt11 au kumchezesha out of position , hivo kufanya comb ya Mateo isiwe bora , kwahiyo waliomkataa Mateo wapo sahihi ,wakihitaji bas awachezeshe LT as DM Na xhaka as CM maana ilionesha ni comb nzuri .




Unasema January mnaleta striker , hatushangai maana hamjaanza Leo , hata hili dirisha simmetumia hela nyingi kuliko timu zote ,still hakuna mabadiliko, unaposema beki za arsenal mbovu sijajua una kigezo gani, kwanza unatakiwa uelewe karibu mabeki wanne hawajacheza hadi sasa na ambao ni first eleven ,na takwimu zinaniambia mmeshapigwa goli 9 hadi sasa , na mna beki imara , lkn cha ajabu bado tupo juu yenu wenye beki imara , ila mpo nafas ya 15 sijui .


Mm nitakukumbusha siku ,man u hii imalize juu yetu itakuwa kichekesho , utabiri wangu kwa Chelsea ni ule ule wala sijaubadilisha , kama utabadirika ni hiki kinachotokea kwa man u yupo nafas za 15 .

Manchester United Goals after their 4:0 win against Chelsea

1 vs wolves
1 vs Crystal Palace
1 vs Southampton
1 vs Leicester
1 vs Astana
0 West Ham
1 Rochdale
1 Arsenal
0 AZ Alkmaar
0 New Castle
1 Liverpool
1 FZ Partizan

Binary Results.
Ole in???

Kwa hali hii Acha niweke akiba ya maneno

Nitakukumbusha Siku moja ,maana UNAI subiri January mumlete veteran mzdukich
 
RVP on Emery (continued): "That is very important. You have to be clear, you have to be the leader and the leader needs to be clear towards his players." #afc
 
MANENO YA BELLERIN

Tunahitaji kukaa na mpira huo ndio utambulisho wetu huo ndio uchezaji wetu

Maneno machache ya bellerin kaongea jambo Zuri sana
IMG-20191025-WA0001.jpeg
 
Pepe usirudie tena ulichokifanya Leo umeharibu hesabu na hesabu ilikuwa inaonesha match na Liverpool ndio ingekuwa mechi ya mwisho ya Emery yaan unachelewesha maiti kwenda kuzikwa we humuoni Lacazette Toreira na Ceballos wanachokifanya

ila Victoria wana beki Fulani hivi anaitwa Tapsoba limetisha vibaya upande ule PEPE.

USIRUDIE TENA ANZA KUMUIGA PIERE WAKIBISHA WEWE SIO WORLD CLASSIC PLAYER TUNAWAJIBU KWA FREE KICKS ZAKO ULIZORUDIA ZAIDI YA MARA MOJA
IMG_20191024_223248.jpeg
 
van Persie on Martinelli: "He's very technical. He looks very good & he is only 18 years old. It's a joy watching him. The moves he makes, he is always looking for space. I was playing on the wing at that age. With time he will get even better" #Arsenal
IMG_20191025_012729.jpeg
 
BELLERIN KAMFUNGUKIA EMERY, ASUBIRI BENCHI HADI AKOME


Bellerín: ‘I think we have to keep the ball better. That’s our trademark, we want to play football. Sometimes you make mistakes but doesn’t mean you stop playing that way. We’re Arsenal, we have a style of play, it’s in our DNA and we want to play like that’.


Hapa kamwambia Unai, sio Xhaka muoga
IMG_20191023_212334.jpeg
 
Unavyoongea utadhani Arsenal ina wachezaji wa maana, utadhani Torreira ni kiungo wa maana, utadhani Mustafi, Holding na Luiz ni mabeki wa maana

Matatizo ya United yatakwisha kabla ya Arsenal, sababu always Tajiri anaweza kumaliza matatizo yake mapema kuliko masikini asiye na resources za kutosha

PALE EMIRATES MAGOLI YANAINGIA, MASHABIKI WANASHANGILIA KWA NGUVU ZOTE, HALAFU KUNA MTU YUPO TANZANIA ANAJIFARIJI NGOJA TUPIGWE ILI KOCHA AFUKUZWE (Njia bora sana ya kujifariji)
Haya tusubiri hiyo January isije tokea ukawa bado mpo nafasi ya 20

Ndio maana nilikwambia maswala ya arsenal yaache au uliza

Wanaomkataa Mateo wana sababu na ni za msingi , Mateo akicheza na Xhaka kiungo hakijawahi kuwa stable , japokuwa Mateo ni mzuri kudrive team


Kwahiyo usichanganye mambo ,


Na hizi hoja ni kuanzia kwa watu wakaribu wa arsenal hadi mashabiki , maana anamchezesha Xhaka as DM na kumuacha lt11 au kumchezesha out of position , hivo kufanya comb ya Mateo isiwe bora , kwahiyo waliomkataa Mateo wapo sahihi ,wakihitaji bas awachezeshe LT as DM Na xhaka as CM maana ilionesha ni comb nzuri .




Unasema January mnaleta striker , hatushangai maana hamjaanza Leo , hata hili dirisha simmetumia hela nyingi kuliko timu zote ,still hakuna mabadiliko, unaposema beki za arsenal mbovu sijajua una kigezo gani, kwanza unatakiwa uelewe karibu mabeki wanne hawajacheza hadi sasa na ambao ni first eleven ,na takwimu zinaniambia mmeshapigwa goli 9 hadi sasa , na mna beki imara , lkn cha ajabu bado tupo juu yenu wenye beki imara , ila mpo nafas ya 15 sijui .


Mm nitakukumbusha siku ,man u hii imalize juu yetu itakuwa kichekesho , utabiri wangu kwa Chelsea ni ule ule wala sijaubadilisha , kama utabadirika ni hiki kinachotokea kwa man u yupo nafas za 15 .

Manchester United Goals after their 4:0 win against Chelsea

1 vs wolves
1 vs Crystal Palace
1 vs Southampton
1 vs Leicester
1 vs Astana
0 West Ham
1 Rochdale
1 Arsenal
0 AZ Alkmaar
0 New Castle
1 Liverpool
1 FZ Partizan

Binary Results.
Ole in???

Kwa hali hii Acha niweke akiba ya maneno

Nitakukumbusha Siku moja ,maana UNAI subiri January mumlete veteran mzdukich
 
Njia nzuri ya kujipa moyo, ni kuzuga unataka ufungwe ili kocha atimuliwe kumbe kimoyo moyo karoho kanauma unapofungwa

Siku za nyuma tumekuwa tukiaminishwa kwamba akicheza Laca, Tierney, Bellarin, Torreira lazima ushindi upatikane lakini leo naona ni yale yale
Vipi hali yko
 
Najua ninachoongea, ila kwa kuwa hakikupendezi unajiaminisha kwamba ni boko

Kinachonichekesha ni excuse mnayotumia mashabiki wa Arsenal ku justify kufanya kwenu vibaya. Mara kocha, Mara sijui Guendouzi....... Hahahaa, kuhusu Guendouzi wote mlikuwa hamtaki kumuona akianza lakini Unai akaendelea kumuamini na sasa naona wote mnamuamini

Arsenal kamzidi United kwenye ushambuliaji tu, hamna beki pale. Luiz ni Chelsea reject, hao wengine hata Burnley hawapati namba. Arsenal ana moja kati ya record mbovu za ulinzi pale EPL, nakumbuka Liver alimlamba 4 sijui 5.

Kwahiyo United strength yake ni defense na Arsenal ni forward ndio maana United anaweza kufunga goli moja na akashinda mechi, ila Arsenal anaweza kupata goli 3 na bado akapoteza mechi

Pia, usiogope kuhusu United maana January ana room ya kuimarisha timu ikiwemo safu ya ushambuliaji as long as hela ipo (Ndio uzuri wa kushabikia timu zenye hela)

Kutumia nguvu kusema Arsenal atamaliza juu ya United ni kupoteza muda, maana na mimi naweza kutumia nguvu kusema United atamaliza juu ya Arsenal. Nakumbuka uliwatabiria Chelsea vibaya na sasa hivi utabiri wako unaelekea kukugeuka, hivyo hata huu utabiri juu ya United unaweza kukugeuka

Baki na ushauri wangu, muda ndio jibu la nani atakuwa zaidi msimu huu kati ya United na Arsenal
Uyo mahaba yamemzidi anaona arsenal ni bora pengine kuliko hata Man city
 
Unavyoongea utadhani Arsenal ina wachezaji wa maana, utadhani Torreira ni kiungo wa maana, utadhani Mustafi, Holding na Luiz ni mabeki wa maana

Matatizo ya United yatakwisha kabla ya Arsenal, sababu always Tajiri anaweza kumaliza matatizo yake mapema kuliko masikini asiye na resources za kutosha

PALE EMIRATES MAGOLI YANAINGIA, MASHABIKI WANASHANGILIA KWA NGUVU ZOTE, HALAFU KUNA MTU YUPO TANZANIA ANAJIFARIJI NGOJA TUPIGWE ILI KOCHA AFUKUZWE (Njia bora sana ya kujifariji)
Wewe una wachezaji gani wa kuwazid Arsenal?

Unasema matatizo yenu yataisha , kwani mmeanza kuspend hela nyingi msimu huu?

Lakin still mna timu mbovu kuliko Burney

Unasema sisi huku tunataka timu ifungwe ila UK wanataka ishinde ,


Nikisema unatoa maboko huelewi

Wachezaji Wenyewe hawamuelewi kocha


Bellerín: ‘I think we have to keep the ball better. That’s our trademark, we want to play football. Sometimes you make mistakes but doesn’t mean you stop playing that way. We’re Arsenal, we have a style of play, it’s in our DNA and we want to play like that’.

Bodi ya timu haimuelewi


Mashabiki huko huko UK kila siku wanashinikiza Atimuliwe

Mtandao wa Goal.com ulitoa takwimu zaidi ya 70% mashabiki hawamuelewi


Nasubiri hiyo man u itakayotumia hela inyanyuke , kwani sion mchezaji wa maana japokuwa inaonesha ndio mmetumia hela nyingi, labda hujui hilo
 
Hongereni kwa ushindi wa jana.

Mashabiki wa Arsenal duniani hamuelewekagi mnataka nini ndio maana uongozi wa club unacheza na akili zenu.

Mkifungwa kocha out, mkishinda mnasahau matatizo yanayowakabili hayo ndio maisha yenu miaka na miaka.

Kuweni na msimamo kama kocha hamtaki hata ashinde mechi kuzomewa ni pale pale, mabango ni pale pale.

Kama Patel ana mbinu za hovyo hata amrudishe ozil still matokeo yatakuwa moto baridi moto baridi.

Kama kocha ni mbovu mfukuzeni sio kushinikiza apange kikosi mnachotaka.
Umeona wapi Tukishinda wanasema KOCHA abaki?

Timu hata ikishinda emery analaumiwa kwa kucheza ovyo ,


Na uongoz wa klabu upo makini ndio maana amepewa mech na palace kabla hajajadiliwa kutimuliwa .

Hiyo kusema tukishinda tunamsifia kocha naisikia kwako


Hii ni kauli ya bellerin captain, Anasema hata kama wanafanya makosa bado mpira tunaocheza hauridhishi


Bellerín: ‘I think we have to keep the ball better. That’s our trademark, we want to play football. Sometimes you make mistakes but doesn’t mean you stop playing that way. We’re Arsenal, we have a style of play, it’s in our DNA and we want to play like that’.
 
UEFA EUROPA LEAGUE ANALYSIS
.
Arsenal kashinda 3-2 sawa tuseme nini sisi ila bado Unai Emery binafsi simuelewei kabisa kwenye mbinu zake
.
Kwenye 4-2-3-1, holders wa chini apewe nafasi Lucas Torreira na Matheo, they are good ila Unai hawezi watumia
.
Yule Joseph Willock kumweka nje Dani Ceballos, Hell NO! hana uzoefu hana quality, just give time to Dani
.
Hector Bellerin mzuri kwenye kushambulia, sana kuliko kwenye defense, Nicolaus Pepe what a foul kaikunja haswa

Kieran Tierny mech 2 assist 3 ,ni muda muafaka wa kuanza


Timu bado inamuhitaji Ozil


Mwisho Emery hatufai ,
.


.
IMG_20191025_012729.jpeg
 
| #AFC

Arsenal have proposed a deal of €30m to take Dani Ceballos from #RMCF, but that is deemed ‘insufficient’

Pérez wants €35m.

The Madrid president is reluctant to let Ceballos go but, the midfielder knows he has no future under Zinedine Zidane. [@eldesmarque]
 
Unavyoongea utadhani Arsenal ina wachezaji wa maana, utadhani Torreira ni kiungo wa maana, utadhani Mustafi, Holding na Luiz ni mabeki wa maana

Matatizo ya United yatakwisha kabla ya Arsenal, sababu always Tajiri anaweza kumaliza matatizo yake mapema kuliko masikini asiye na resources za kutosha

PALE EMIRATES MAGOLI YANAINGIA, MASHABIKI WANASHANGILIA KWA NGUVU ZOTE, HALAFU KUNA MTU YUPO TANZANIA ANAJIFARIJI NGOJA TUPIGWE ILI KOCHA AFUKUZWE (Njia bora sana ya kujifariji)
we nyang'au madhaifu yenu ni Ed Woodward na usitegemee kufukuzwa wamiliki wanaangalia faida tu.matatizo yenu yatabaki hapo hapo kila msimu..
 
Back
Top Bottom