Kama natoa maoni ni yale ninayokuwa nayajua ,siwez kutoa maon kwa kitu nisichokijua mkuu
Mm nimekushangaa kuongea kitu ambacho hukifahamu na ni Mara ya pili naona unatoa boko kama hilo
Sijajua unaongea kutukejeri au nikutokujua ,
Ndio maana nimekushauri kwanini usiulize ?
Maana matatizo ya Arsenal sio kuanza hao tu ,
Maana hata kuanza bado hawaanzishwi wote au wataanza ila out of position
Huwa nakuelewa sana unapochambua ,ila sijajua kwanini Unatoa boko kwenye swala hilo
Swala la Man kumaliza juu yetu hata nyingi mnajua haliwezekani ,
Tatizo lenu inajulikana hamna forward ,
Mechi mbili za Europa. Dakika 180. Manchester United wamepiga shuti moja tu lililolenga goli. Yes. 'Only one shoot on target'.
Epl game 10 point 10
ohoo Jesus christ

Tuweke Akiba ya maneno tusubiri mbelen