Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe katimu kako ni muunganiko wa wavulana waliovalishwa jezi zilizoandikwa visit Rwanda
Wewe nae ndio walewale,litimu lako ni kundi la masela waliopewa jezi wavae....leo hii unatucheka sisi!!!?????
 
Wewe mambo ya United unayajua mkuu? maana huwa unashinda sana kule na kutoa updates na ushauri na kutuletea updates za Allegri kuja United

Ninachoona huwa ni visingizio tu vimetawala

Ligi itaisha nitakuwa juu yenu
Ngoja ni iweke hii.
 
emery this week:

- 1-0 loss, terrible team/tactics
- says he wanted to sign Fabinho not Torreira
- says he’s improved Arsenal despite having a poorer record than Wenger.
- Says we weren’t competitive enough under Wenger
- argument with Özil
-

Unai OUT
 
Wewe mambo ya United unayajua mkuu? maana huwa unashinda sana kule na kutoa updates na ushauri na kutuletea updates za Allegri kuja United

Ninachoona huwa ni visingizio tu vimetawala

Ligi itaisha nitakuwa juu yenu
Uliona nimemzungumza maswala ya united ? Update ni kutoka source za mpira

Wewe kumaliza JUU ya arsenal huwez hata kama.kocha huyu huyu unai
 
Maisha yanaenda kasi sana,Leo Pepe Kaibeba team
Kwan pepe mchezaji mbaya?

Pepe ni talent

Sema tuna kocha wa ovyo tu ,

Pepe anahitaji timu i possess mpira atumiwe long balls maana ana kasi sana , hata yeye alisema hivo

Au acheze na creative midfielder za kumpitishia mpira


Maana pepe ana uwezo wa kuwapiga chenga hata wachezaji watatu bila tatizo ,
 
Always believed in Pepe from day one. I knew his would come good once he settles. This is why you pay 72m for such a player. Am really happy for him. Quality player. More to come from him.

But UNAI EMERY OUT
 
Nyie asenane kwa mara ya kwanza mmeukonga moyo wangu mmenipa ela tena ndefu ila mngefungwa au draw aise cjui ingekuwaje maskini
 
Mzee unataka niende kuku quote kule uzi unaotoa maoni kuhusu United? Unataka kuniambia wewe huwa una quote tu na hujawaji kuweka chembe ya maoni yako kwenye masuala ya United?

Isionekane kwamba wewe una haki ya kutoa maoni kuhusu timu nyingine lakini wengine hawana haki ya kutoa maoni kuhusu timu yako

Kuhusu nani anamaliza juu ya nani tujipe muda, muda ndio utaongea

Uliona nimemzungumza maswala ya united ? Update ni kutoka source za mpira

Wewe kumaliza JUU ya arsenal huwez hata kama.kocha huyu huyu unai
 
HONGERA PEPE KWA KUANZA KUWAKATA MIDOMO WANAOKUBEZA SINA FURAHA KWA KUSHINDA KWA ARSENAL


HITAJI LETU COACH AONDOKE ILA FURAHA YANGU NI KUKUONA PEPE UME SCORE SIKU YA LEO KWA MAGOLI MAWILI MAZURI KABISA
 
Mzee unataka niende kuku quote kule uzi unaotoa maoni kuhusu United? Unataka kuniambia wewe huwa una quote tu na hujawaji kuweka chembe ya maoni yako kwenye masuala ya United?

Isionekane kwamba wewe una haki ya kutoa maoni kuhusu timu nyingine lakini wengine hawana haki ya kutoa maoni kuhusu timu yako

Kuhusu nani anamaliza juu ya nani tujipe muda, muda ndio utaongea
Kama natoa maoni ni yale ninayokuwa nayajua ,siwez kutoa maon kwa kitu nisichokijua mkuu

Mm nimekushangaa kuongea kitu ambacho hukifahamu na ni Mara ya pili naona unatoa boko kama hilo


Sijajua unaongea kutukejeri au nikutokujua ,

Ndio maana nimekushauri kwanini usiulize ?

Maana matatizo ya Arsenal sio kuanza hao tu ,

Maana hata kuanza bado hawaanzishwi wote au wataanza ila out of position

Huwa nakuelewa sana unapochambua ,ila sijajua kwanini Unatoa boko kwenye swala hilo


Swala la Man kumaliza juu yetu hata nyingi mnajua haliwezekani ,

Tatizo lenu inajulikana hamna forward ,

Mechi mbili za Europa. Dakika 180. Manchester United wamepiga shuti moja tu lililolenga goli. Yes. 'Only one shoot on target'.

Epl game 10 point 10

ohoo Jesus christ

Tuweke Akiba ya maneno tusubiri mbelen
 
Gabriel Dos Santos Martinelli leo kaweka kamba nyengine, huyu dogo namuelewa sana ila leo hatumzungumzii maana tushazowea yeye ni moto.
 
Interestingly, Pépé now has 6 goal contributions (3 goals, 3 assists) in approx 714 mins of football for Arsenal.

That's 'waste of £72m' Pépé giving us 6 contributions in 8 games mostly never playing a full 90.

Get behind him!!
IMG_20191023_212340.jpeg
 
KOCHA HUYU dah

Unai Emery on Mesut Ozil: "This is not the time to talk about this. He's not in the squad and that is the decision." #ARSVSC #EuropaLeague
 
Najua ninachoongea, ila kwa kuwa hakikupendezi unajiaminisha kwamba ni boko

Kinachonichekesha ni excuse mnayotumia mashabiki wa Arsenal ku justify kufanya kwenu vibaya. Mara kocha, Mara sijui Guendouzi....... Hahahaa, kuhusu Guendouzi wote mlikuwa hamtaki kumuona akianza lakini Unai akaendelea kumuamini na sasa naona wote mnamuamini

Arsenal kamzidi United kwenye ushambuliaji tu, hamna beki pale. Luiz ni Chelsea reject, hao wengine hata Burnley hawapati namba. Arsenal ana moja kati ya record mbovu za ulinzi pale EPL, nakumbuka Liver alimlamba 4 sijui 5.

Kwahiyo United strength yake ni defense na Arsenal ni forward ndio maana United anaweza kufunga goli moja na akashinda mechi, ila Arsenal anaweza kupata goli 3 na bado akapoteza mechi

Pia, usiogope kuhusu United maana January ana room ya kuimarisha timu ikiwemo safu ya ushambuliaji as long as hela ipo (Ndio uzuri wa kushabikia timu zenye hela)

Kutumia nguvu kusema Arsenal atamaliza juu ya United ni kupoteza muda, maana na mimi naweza kutumia nguvu kusema United atamaliza juu ya Arsenal. Nakumbuka uliwatabiria Chelsea vibaya na sasa hivi utabiri wako unaelekea kukugeuka, hivyo hata huu utabiri juu ya United unaweza kukugeuka

Baki na ushauri wangu, muda ndio jibu la nani atakuwa zaidi msimu huu kati ya United na Arsenal
Kama natoa maoni ni yale ninayokuwa nayajua ,siwez kutoa maon kwa kitu nisichokijua mkuu

Mm nimekushangaa kuongea kitu ambacho hukifahamu na ni Mara ya pili naona unatoa boko kama hilo


Sijajua unaongea kutukejeri au nikutokujua ,

Ndio maana nimekushauri kwanini usiulize ?

Maana matatizo ya Arsenal sio kuanza hao tu ,

Maana hata kuanza bado hawaanzishwi wote au wataanza ila out of position

Huwa nakuelewa sana unapochambua ,ila sijajua kwanini Unatoa boko kwenye swala hilo


Swala la Man kumaliza juu yetu hata nyingi mnajua haliwezekani ,

Tatizo lenu inajulikana hamna forward ,

Mechi mbili za Europa. Dakika 180. Manchester United wamepiga shuti moja tu lililolenga goli. Yes. 'Only one shoot on target'.

Epl game 10 point 10

ohoo Jesus christ

Tuweke Akiba ya maneno tusubiri mbelen
 
Robin Van Persie on Unai Emery: "I don't think that Emery really connects with his players. Someone sent me a video of him [Emery] last week trying to explain something, and I couldn't figure out if he was saying 'come, come' or 'calm!'." #afc
 
Back
Top Bottom