Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tierny mech ya 2 assist 2

Lakin kwakuwa hawa wachezaji hakuwaleta yeye hawataki

Positives:

- Tierney knows how to cross.
- Martinelli knows how to score goals.


Screenshot_2019-10-24-22-41-35.jpeg
 
Mtindo wa kucheza nyuma na siyo kushambulia kutokea nyuma. Mpira unazurura tu nyuma, mbele hauendi.
 
Wenger alikua bado anahitajika sana

Hivi hili kombe si ndio alichukua na Seville mara 3 mfululizo leo hii yupo nyumbani anacheza pumba


Mpira ni burudani lakini kuna washabiki wenzetu mnateseka sana poleni kwa kweli
 
Njia nzuri ya kujipa moyo, ni kuzuga unataka ufungwe ili kocha atimuliwe kumbe kimoyo moyo karoho kanauma unapofungwa

Siku za nyuma tumekuwa tukiaminishwa kwamba akicheza Laca, Tierney, Bellarin, Torreira lazima ushindi upatikane lakini leo naona ni yale yale
 
unaambiwa bajeti yao haka katimu ni Nusu ya mshahara wa Ozil kwa mwaka


RMC Sport journalist @nicolas_vilas: “Vitoria S.C’s budget is half of Mesut Özil’s annual salary.”
 
Njia nzuri ya kujipa moyo, ni kuzuga unataka ufungwe ili kocha atimuliwe kumbe kimoyo moyo karoho kanauma unapofungwa

Siku za nyuma tumekuwa tukiaminishwa kwamba akicheza Laca, Tierney, Bellarin, Torreira lazima ushindi upatikane lakini leo naona ni yale yale
Wewe nae ndio walewale,litimu lako ni kundi la masela waliopewa jezi wavae....leo hii unatucheka sisi!!!?????
 
Njia nzuri ya kujipa moyo, ni kuzuga unataka ufungwe ili kocha atimuliwe kumbe kimoyo moyo karoho kanauma unapofungwa

Siku za nyuma tumekuwa tukiaminishwa kwamba akicheza Laca, Tierney, Bellarin, Torreira lazima ushindi upatikane lakini leo naona ni yale yale
Kwann usiulize kuwa hao tunaotaka wacheze , ni wacheze kwenye mfumo gan , na wacheze na kina nan?

Haya mambo ya Arsenal huwez kuyajua , mm nakushauri kapambane utoke nafas ya 12

Matatizo ya Arsenal ni zaid ya kupangwa hao,

Ndio maana Dunia nzima Kauli za mashabiki wa Arsenal ni moja kuhusu kocha katika nyanja za Poor team selection ,poor tactic , Team haina creativity, na baadhi ya wachezaji wanaachwa au wanapangwa out of position

Kwahiyo nakushauri matatizo ya Arsenal huyajui ,
 
Wewe nae ndio walewale,litimu lako ni kundi la masela waliopewa jezi wavae....leo hii unatucheka sisi!!!?????
Jamaa anaongea pumba had nimeshangaa , matatizo ya Arsenal anadhan ni kupangwa hao tu, ukiangalia Leo namba 10 willock ,

Bado setup ya timu ni mbovu


Ndio maana Raul kumwambia Emery , msimu huu wamempa Strong squad hivo watamuwajibisha


Hakuna asiyejua Arsenal tuna strong squad

Labda mtu alete ubishi
 
Jamaa anaongea pumba had nimeshangaa , matatizo ya Arsenal anadhan ni kupangwa hao tu, ukiangalia Leo namba 10 willock ,

Bado setup ya timu ni mbovu


Ndio maana Raul kumwambia Emery , msimu huu wamempa Strong squad hivo watamuwajibisha


Hakuna asiyejua Arsenal tuna strong squad

Labda mtu alete ubishi
Mkuu mmekula 5 kweli hahahahahahahahah
 
Back
Top Bottom