Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha kinachomkosti ni ugomvi wake na ozil.

Kama analeta mabifu yake ya kingese atupishe tu
Yani hii ni game ya 5 mfululizo Ozil hawekwi hata bechi na mazoezini yupo

Laca bench atachezea sana kama Emery ataendelea kuwepo

Ceballos bench linamuhusu pia

Lt11 ndio kila day ni bench ,akiingia anapelekwa out of position
 
Yani hii ni game ya 5 mfululizo Ozil hawekwi hata bechi na mazoezini yupo

Laca bench atachezea sana kama Emery ataendelea kuwepo

Ceballos bench linamuhusu pia

Lt11 ndio kila day ni bench ,akiingia anapelekwa out of position
Aaaanina zake unai
 
Ananikera sana anavyo-handle issue ya ozil mkuu. Hapo ndio dunia nzima hata Sisi tunaomtetea atatuona nyoko soon.

You know they were saying, United was wrong kumfukuza Mourinho baada ya issue yake na pogba lakini somet6hawa makocha wanakuwa wapumbavu
Huyu jamaa ukimtetea atakusaliti tu,

Mm mech na Liverpool nilinawa mikono kumtetea

Ozil mech ya 5 anafanya mazoez lkn hata bench hawekwi hadi mech za carabao

Kamdharau sana ozil

Bado kuna wachezaji hawataki kisa wameletwa na bodi na sio yeye ,mfano Lt11 hamtaki kabisa , ceballos pia

Ameambiwa ceballos yupo loan mtumie ipasavyo, huyo mchezaji bado hatujamlipia , ndio kwanza anaanza na kina willock


Utamteteaje mtu kama huyu
 
Imenikera sana hii,maana hii game tungepigwa thenya CP nayo tungepigwa huyu fala angeenda kufundisha crickets huko kwao
 
Dah wakuu nilikua sjui km nyie wnYw hamtak tim yenu ishinde basi sawa kw mbindee kbs mkeka wang umeendlea kuishi bravo Pepe
 
Wewe mambo ya United unayajua mkuu? maana huwa unashinda sana kule na kutoa updates na ushauri na kutuletea updates za Allegri kuja United

Ninachoona huwa ni visingizio tu vimetawala

Ligi itaisha nitakuwa juu yenu
Kwann usiulize kuwa hao tunaotaka wacheze , ni wacheze kwenye mfumo gan , na wacheze na kina nan?

Haya mambo ya Arsenal huwez kuyajua , mm nakushauri kapambane utoke nafas ya 12

Matatizo ya Arsenal ni zaid ya kupangwa hao,

Ndio maana Dunia nzima Kauli za mashabiki wa Arsenal ni moja kuhusu kocha katika nyanja za Poor team selection ,poor tactic , Team haina creativity, na baadhi ya wachezaji wanaachwa au wanapangwa out of position

Kwahiyo nakushauri matatizo ya Arsenal huyajui ,
 
Back
Top Bottom