Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usiwe mbishi kama watoto wadogo. Hivi hii takataka yenu ndo unataka kuilinganisha na hao wacjezaji!? Ndo maana Evra amewatukana
Katika hao uliowataja yupi amewahi kufunga goli tano katika mechi moja
 
Usiwe mbishi kama watoto wadogo. Hivi hii takataka yenu ndo unataka kuilinganisha na hao wacjezaji!? Ndo maana Evra amewatukana
Kwani Evra ndiyo mtoa standards? Huyo si kuku tu kama kuku wengine?

Yaani unakimbilia kuniita mbishi simply kwakua kuna has been kaongea utumbo?
 
Na iwe mwanzo na Mwisho kuleta hizo kwato na kidomodomo chako kule jukwaa la klabu kubwa chelsea . Nyang'au mkubwa wewe . Wewe pamoja na huyo mjinga mwenzio Dully Jr.

Unawashwa?????
 
Aondoke tu yan kila siku timu inazid kupoteana.anavyompenda xhaka wakti ndo kila siku game inamkataa.hiv ozil ni wa kupigwa bench ni willock??
#EMERYout
 
Back
Top Bottom