Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Allegri is available now and is widely regarded as one of the best managers in the world, with Darren Bent urging Arsenal to pounce before another big club gets him.

Bent also says he is an Arsenal fan
IMG_20191023_160718.jpeg
 
HAPPYBIRTH DATE ARSENE WENGER

The Emirates Stadium before and after construction

The man responsible for it's construction..

Arsène Wenger.
FB_IMG_1571836197846.jpeg
IMG_20191023_101707.jpeg
IMG_20191022_130027.jpeg
FB_IMG_1571744814553.jpeg
 
Mtu akitaka kubet kuipa ushindi Arsenal. Aipe ushindi kwenye Europa au Carabao. Hii ni kwa sababu kwenye Europa na Carabao yale maandazi ya ligi hua hayapangwi.
 
Kukosa anakosa kila MTU huyu kwenye picha ni Eden Hazard jana akikosa goli.

Dunia inamtambua ubora wake ,

.
Kuna watu wanalalamika Pepe kukosa ile chance,

Kwanza mpira ulikuwa na kasi pili, pepe anatumia Left foot ,

timu inatengeneza chance ngapi had mtu ulalamike na pepe kukosa hilo goli?

Ndio maana makocha kama Wenger ,pep , klopp , wanafundisha mpira wakutengeneza chance nyingi, maana kuna kukosa na kupata , sasa pepe kapata chance ngapi had mtu ulie na hiyo 1 n?

Na wengi wasichojua aliyecheza vzr kwa uwezo binafs hiyo mechi ni pepe, akitoka na Rating ya 7.

Utakuta mshabiki wa Arsenal Pepe Tumepgwa ,

Ndio ubaya wa kuwa na matarajio makubwa kuliko uhalisia,

Mbappe under Unai Emery alikuwa wakawaida huku akimaliza na goli 13 tu,

mbappe Under Thomas Tuchel panachimbika huko jana kaweka 3 peke yake .

Mpira sio rede kila chance goli , ndio maana watu wanamuhitaj ozil ili chance created ziwe nying

Cha ajabu sasa toka ozil aache kucheza bado wachezaj wote ambao Unai anatuaminisha ni bora na hardworker kuliko Ozil hawajatengeneza nafasi kumzidi .


hapo ndipo utajua kwanini Huwa nasema kila siku HATUNA KOCHA .

Nicolas Pepe v Sheffield United (A):

72 touches
31 accurate passes
1 key pass
12 crosses
3 shots
5 successful dribbles
16 ground duels won
5 tackles

View attachment 1241599

Achana nao hao mkuu,unapoteza muda kwa haters?????!!!!
 
Breaking News

: Sources have informed @TheArsenalTime1 that if #Emery loses his next game against @CPFC in a similar fashion to the previous defeat to @SheffieldUnited his job will be in serious jeopardy. The Board aren’t happy and will not hesitate to push the button.
IMG_20191023_122639.jpeg
 
LS |

Arsenal in negotations with Real Madrid to sign Dani Ceballos permanently. The Spanish Club want €40m, #AFC's first offer is €30m.
 
JE KWA HALI HII TUTAFIKA AU NI SAFARI YA MATUMAIN KUZUNGUKA ROUND ABOUT

Niliwahi kuandika nafikiri nirudie tena unaweza kushinda kwa mpra mbovu ila huwezi kushinda mara zote .

Ushindi unajengwa na uhakika na sio kusubiri dodo chini ya mpapai

Binafsi wachezaji sio tatizo 100% kwa sasa tuna kikosi cha kutupa matokeo tena sio matokeo tu bali big results

Sasa tunakwama wapi buld up play yetu ni mbovu wachezaji wanatumia extra effort wengine kucheza nafasi sio zao kabisa

Kama sera kweli ni wafanyao vizuri mazoezini tu kama Emery anavyodai hii nayo ni tatizo sababu hao wafanyao vizuri mazoezini sio strong enough uwanjani kwa misingi hii.

Lazima tubadilike set up yetu kimchezo mpira wa piga nikupige hauna tofauti na ruggby ni nguvu zako na mbio tu

Once gunner forever gunner
IMG_20191022_094609.jpeg
 
Kaka mkubwa,unajua mtu unavyokuja ndio unavyopokewa......

Haiwezekani umekuja mchafu sisi tukukumbatie,tutakuonesha panapostahili ukae

In gunners we trust

UNAI OUT
Huo ni mwanzo tu . Hiyo nafasi mliopo sasa hivi sio yenu . Mtanyolewa bila maji msimu huu . We ngoja game zinazofuata mtaona moto .Nyie timu ya wafu na mnanitesa United mnashuka daraja mtake msitake . Top four sahauni
 
Nenda kaangalie why hakufunga

Na mpira ulikuwa kwenye kasi gani


All in all

Pepe ndiye mchezaji aliyecheza vzr sana hiyo game


Kocha bado ameishindwa timu , timu haitengenezi nafas za kutosha

Nashangaa mnaotumia hiyo nafas kumlaumu pepe , je akipata nafas nyingine?

Nicolas Pepe v Sheffield United (A):

72 touches
31 accurate passes
1 key pass
12 crosses
3 shots
5 successful dribbles
16 ground duels won
5 tackles

A silver lining on a dark cloud of a perfomance.View attachment 1241592
Hata Jina lenyewe la kifuala . Wha the *** is pepe ? .Kipepe au ?
 
LS |

Arsenal in negotations with Real Madrid to sign Dani Ceballos permanently. The Spanish Club want €40m, #AFC's first offer is €30m.
Ona mapopoma mnayosajili . Halafu bado mnawaza kutwaa epl na uefa . Never under this Godamn planet , even God knows that
 
Robert Pires is reunited with Freddie Ljungberg at London Colney. The Frenchman was sharing advice with Matteo Guendouzi as they made their way out onto the pitch.

Unai Emery now holding a lengthy huddle with his squad after a gulruelling presser.

Edu was also watching on at training today. 3/4s of a pretty decent midfield with him, Ljungberg and Pires.
IMG_20191023_211302.jpeg
 
Back
Top Bottom