Sheffield United 1 Arsenal 0
Yaliyojiri
Kwanza Tuachane na Yote Hivi Ushawah Kukaa Ukajiuliza Hawa Wachezaji Wanaendaga Mazoezi Kufanya nin??
Ushakaa Ukajiuliza Huyu Kocha Kila Siku Anaendaga Mazoezini Kufundisha nin Ambacho Wachezaji Wanashindwa Kukiletq Uwanjan Msimu Wa Pili Sasa??
Vile Viwanja Vya Ndani Ambavyo Hutumika Kwa Ajili Ya Mbinu na Siri Zote Ambapo Hata Waandishi Wa Habari Hawaruhusiwi Kule Huwa Tunafanyaga Nin Ambacho Tukija Uwanjan Wachezaji Wote Zaidi Ya 20 Wanashindwa Kukileta??
Hivi Mpinzan Wako ni Sheffield Na Unajua Mida Mwingi Atashambulia Mashambulizi Ya Kushtukiza Vp Unaingia na Viungo Ambao Hawana Ubunifu na Wenye Ubunifu Zaidi yao Kinq Ceballos na Ozil Hawaanzi na Mwingine Hata Hajasafir na Team??
Unai Unatufanya Sisi Tumchukie Willock Wakat Hajatukoseq Lolote Unataka Lawama Tumpe Yeye Kashindwa Kucheza Wakat Wachezaji Matured Zaidi Yake Unao??
Janq Tokea Mpira Unaanza Mpaka Anatolewa Yule Nicolaus Pepe alikuwa Best Player Uwanjan Kwa Kila Kitu Achana na Nafasi Ya Wazi Aliyokosa
Jamaa anarud Hadi Chini Anakokota Anasogeza Team Sehem ya Kuwachukua Anawachukuq Sehem ya Kupenyeza Anapenyeza inafika Mahali Anakosa Goli Mtu Anatumia Mwanya Huo Kuaminisha Watu Kuwa Katunyima Ushindi
Tumecheza Dakika Tisini Tumetengeneza Nafasi Moja Afu Team Tuliyocheza Nayo Ni Sheffield Muda Utatuambia ila Tuna Game za Away Nying Sana Ambazo Unai Anaenda Kutuaibisha Kwa Style Hii
Sasa Hivi Hatuna Muda Wa Kuongea Sana Juu ya Ubovu wa Kocha Tuliyenaye Acha Mpira Uongee Hadharani Maana Uzuri Wa Soka Linachezwq Hadharani...
Katika Sehemu Ambayo Arsenal Wamekuwa Wabovu Kuliko Zote Ni Idara Ya Kiungo
Kwanin Nasema Kiungo?? Hii ndo Sehemu Ambayo Hutumika Kuficha Madhaifu ya Backline Mara Zote Kama Viungo Wenyewe Mpira Hawaitak Ni Guendoz Tuu kwanin Tuswe Open Kwenye Defence
Toka Naijua Arsenal Miaka Yote Haijawah Kuwa Dhaifu Sehem Ya Kiungo ndo Nashuhudia Sasa..
Unai Out...
View attachment 1240944