Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

fukuzaaaaaaaaaaaaaa
Niliwaambia ni swala la muda tu


Shukrani ziende kwa Edu Jana amebaki na MASHABIKI baada ya mechi kwa dk 15


Hawez kufika x mass huyu kocha


Jana hiyo hiyo aliwekwa kikao na Kina Raul & Edu

Kiukweli hakuna anayependezwa na anavyoiendesha timu

Ameivuruga kuanzia kwenye Dressing room had kwenye pitch


Poor team selection


Poor tactic


Hana first eleven had sasa


Kila mechi amegeuza ya majaribio
IMG-20191022-WA0006.jpeg
 
Niliwaambia ni swala la muda tu


Shukrani ziende kwa Edu Jana amebaki na MASHABIKI baada ya mechi kwa dk 15


Hawez kufika x mass huyu kocha


Jana hiyo hiyo aliwekwa kikao na Kina Raul & Edu

Kiukweli hakuna anayependezwa na anavyoiendesha timu

Ameivuruga kuanzia kwenye Dressing room had kwenye pitch


Poor team selection


Poor tactic


Hana first eleven had sasa


Kila mechi amegeuza ya majaribio View attachment 1240949
Pukujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....goooooooooooo
 
Uruguayans are not happy with the way Emery is using Torreira...

If Unai Emery isn't gone before January, Lucas Torreira should leave in the upcoming transfer window. He is basically wasting important years of his career at Arsenal now.

Torreira arrived as one of the most promising No6's in Europe, but has since been misused by Emery.
IMG_20191013_175105.jpeg
 
Niliwaambia ni swala la muda tu


Shukrani ziende kwa Edu Jana amebaki na MASHABIKI baada ya mechi kwa dk 15


Hawez kufika x mass huyu kocha


Jana hiyo hiyo aliwekwa kikao na Kina Raul & Edu

Kiukweli hakuna anayependezwa na anavyoiendesha timu

Ameivuruga kuanzia kwenye Dressing room had kwenye pitch


Poor team selection


Poor tactic


Hana first eleven had sasa


Kila mechi amegeuza ya majaribio View attachment 1240949
Kinachonikera ni kuona wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana na kucheza mchezo wa kujituma kwenye pitch lakini kwakuwa formation ni mbovu mwishowe tunaambulia patupu...
 
Ww wapi na wapi mshabiki wa Arsenal, washabiki wa Manyumbu utawajua tu
Wewe na PATEL nani anajua mpira?

Ulishawahi kuwa hata kocha wa UMITASHUMTA?

KLop alipewa muda na PATEL apewe muda ajenge timu ya hataree.

Tupo nyuma ya Emery tunaamini misimu 5 ijayo timu itakuwa fire
 
Sheffield United 1 Arsenal 0

Yaliyojiri

Kwanza Tuachane na Yote Hivi Ushawah Kukaa Ukajiuliza Hawa Wachezaji Wanaendaga Mazoezi Kufanya nin??

Ushakaa Ukajiuliza Huyu Kocha Kila Siku Anaendaga Mazoezini Kufundisha nin Ambacho Wachezaji Wanashindwa Kukiletq Uwanjan Msimu Wa Pili Sasa??

Vile Viwanja Vya Ndani Ambavyo Hutumika Kwa Ajili Ya Mbinu na Siri Zote Ambapo Hata Waandishi Wa Habari Hawaruhusiwi Kule Huwa Tunafanyaga Nin Ambacho Tukija Uwanjan Wachezaji Wote Zaidi Ya 20 Wanashindwa Kukileta??

Hivi Mpinzan Wako ni Sheffield Na Unajua Mida Mwingi Atashambulia Mashambulizi Ya Kushtukiza Vp Unaingia na Viungo Ambao Hawana Ubunifu na Wenye Ubunifu Zaidi yao Kinq Ceballos na Ozil Hawaanzi na Mwingine Hata Hajasafir na Team??

Unai Unatufanya Sisi Tumchukie Willock Wakat Hajatukoseq Lolote Unataka Lawama Tumpe Yeye Kashindwa Kucheza Wakat Wachezaji Matured Zaidi Yake Unao??

Janq Tokea Mpira Unaanza Mpaka Anatolewa Yule Nicolaus Pepe alikuwa Best Player Uwanjan Kwa Kila Kitu Achana na Nafasi Ya Wazi Aliyokosa

Jamaa anarud Hadi Chini Anakokota Anasogeza Team Sehem ya Kuwachukua Anawachukuq Sehem ya Kupenyeza Anapenyeza inafika Mahali Anakosa Goli Mtu Anatumia Mwanya Huo Kuaminisha Watu Kuwa Katunyima Ushindi

Tumecheza Dakika Tisini Tumetengeneza Nafasi Moja Afu Team Tuliyocheza Nayo Ni Sheffield Muda Utatuambia ila Tuna Game za Away Nying Sana Ambazo Unai Anaenda Kutuaibisha Kwa Style Hii

Sasa Hivi Hatuna Muda Wa Kuongea Sana Juu ya Ubovu wa Kocha Tuliyenaye Acha Mpira Uongee Hadharani Maana Uzuri Wa Soka Linachezwq Hadharani...

Katika Sehemu Ambayo Arsenal Wamekuwa Wabovu Kuliko Zote Ni Idara Ya Kiungo
Kwanin Nasema Kiungo?? Hii ndo Sehemu Ambayo Hutumika Kuficha Madhaifu ya Backline Mara Zote Kama Viungo Wenyewe Mpira Hawaitak Ni Guendoz Tuu kwanin Tuswe Open Kwenye Defence

Toka Naijua Arsenal Miaka Yote Haijawah Kuwa Dhaifu Sehem Ya Kiungo ndo Nashuhudia Sasa..

Unai Out...View attachment 1240944
Tunafungwa na vibonde....yaana afadhali AW.
 
Uruguayans are not happy with the way Emery is using Torreira...

If Unai Emery isn't gone before January, Lucas Torreira should leave in the upcoming transfer window. He is basically wasting important years of his career at Arsenal now.

Torreira arrived as one of the most promising No6's in Europe, but has since been misused by Emery.View attachment 1240984
Kocha shoga huyu.
 
Katika hao uliowataja yupi amewahi kufunga goli tano katika mechi moja
Kweli hii itakuwa adhabu kubwa maana anaenda kumkuta Odoi, Willian, Pedro, Mason Mount, Pulisic. Hapo lazima awe muokota mipira
 
We ni kilaza kushabikia timu ya wafu asenane
Sheffield United 1 Arsenal 0

Yaliyojiri

Kwanza Tuachane na Yote Hivi Ushawah Kukaa Ukajiuliza Hawa Wachezaji Wanaendaga Mazoezi Kufanya nin??

Ushakaa Ukajiuliza Huyu Kocha Kila Siku Anaendaga Mazoezini Kufundisha nin Ambacho Wachezaji Wanashindwa Kukiletq Uwanjan Msimu Wa Pili Sasa??

Vile Viwanja Vya Ndani Ambavyo Hutumika Kwa Ajili Ya Mbinu na Siri Zote Ambapo Hata Waandishi Wa Habari Hawaruhusiwi Kule Huwa Tunafanyaga Nin Ambacho Tukija Uwanjan Wachezaji Wote Zaidi Ya 20 Wanashindwa Kukileta??

Hivi Mpinzan Wako ni Sheffield Na Unajua Mida Mwingi Atashambulia Mashambulizi Ya Kushtukiza Vp Unaingia na Viungo Ambao Hawana Ubunifu na Wenye Ubunifu Zaidi yao Kinq Ceballos na Ozil Hawaanzi na Mwingine Hata Hajasafir na Team??

Unai Unatufanya Sisi Tumchukie Willock Wakat Hajatukoseq Lolote Unataka Lawama Tumpe Yeye Kashindwa Kucheza Wakat Wachezaji Matured Zaidi Yake Unao??

Janq Tokea Mpira Unaanza Mpaka Anatolewa Yule Nicolaus Pepe alikuwa Best Player Uwanjan Kwa Kila Kitu Achana na Nafasi Ya Wazi Aliyokosa

Jamaa anarud Hadi Chini Anakokota Anasogeza Team Sehem ya Kuwachukua Anawachukuq Sehem ya Kupenyeza Anapenyeza inafika Mahali Anakosa Goli Mtu Anatumia Mwanya Huo Kuaminisha Watu Kuwa Katunyima Ushindi

Tumecheza Dakika Tisini Tumetengeneza Nafasi Moja Afu Team Tuliyocheza Nayo Ni Sheffield Muda Utatuambia ila Tuna Game za Away Nying Sana Ambazo Unai Anaenda Kutuaibisha Kwa Style Hii

Sasa Hivi Hatuna Muda Wa Kuongea Sana Juu ya Ubovu wa Kocha Tuliyenaye Acha Mpira Uongee Hadharani Maana Uzuri Wa Soka Linachezwq Hadharani...

Katika Sehemu Ambayo Arsenal Wamekuwa Wabovu Kuliko Zote Ni Idara Ya Kiungo
Kwanin Nasema Kiungo?? Hii ndo Sehemu Ambayo Hutumika Kuficha Madhaifu ya Backline Mara Zote Kama Viungo Wenyewe Mpira Hawaitak Ni Guendoz Tuu kwanin Tuswe Open Kwenye Defence

Toka Naijua Arsenal Miaka Yote Haijawah Kuwa Dhaifu Sehem Ya Kiungo ndo Nashuhudia Sasa..

Unai Out...View attachment 1240944
 
Pigaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasassssssa
 
Na iwe mwanzo na Mwisho kuleta hizo kwato na kidomodomo chako kule jukwaa la klabu kubwa chelsea . Nyang'au mkubwa wewe . Wewe pamoja na huyo mjinga mwenzio Dully Jr.
Niliwaambia ni swala la muda tu


Shukrani ziende kwa Edu Jana amebaki na MASHABIKI baada ya mechi kwa dk 15


Hawez kufika x mass huyu kocha


Jana hiyo hiyo aliwekwa kikao na Kina Raul & Edu

Kiukweli hakuna anayependezwa na anavyoiendesha timu

Ameivuruga kuanzia kwenye Dressing room had kwenye pitch


Poor team selection


Poor tactic


Hana first eleven had sasa


Kila mechi amegeuza ya majaribio View attachment 1240949
 
Mbona ufaransa uko pepe akiwa lile alikuwa anakiwasha sana migoli yakutosha sasa tatzo nn saiz apo asenane
 
Huwezi comment bila kuweka matusi?
Na iwe mwanzo na Mwisho kuleta hizo kwato na kidomodomo chako kule jukwaa la klabu kubwa chelsea . Nyang'au mkubwa wewe . Wewe pamoja na huyo mjinga mwenzio Dully Jr.
 
Back
Top Bottom