Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ceballos says he doesn’t feel sorry for not being at Madrid now. He didn’t play or enjoy football there .
IMG_20191007_002022.jpeg
 
Kolasinac kacheza mechi zote msimu huu as a left back na Alonso katika nafasi hiyo hiyo. Bellerin anacheza kulia as right back sometimes as a wing back na msimu huu hajacheza mechi yoyote EPL. Azpillicueta ndo mtu sahihi kumlinganisha na Bellerin na nitakapofika hapa nitatumia takwimu za msimu uliopita maana msimu huu Bellerin sijamuona akicheza, sana sana namuona Chambers
Alonso hata sub hakai , kwa Kikosi cha Arsenal.

Naona hujui kuwa Kolasinac ni Sub ya Kieran tierny ,

Ndio maana nimekushauri nenda kadanganyane na wenzako kule jukwaa lenu

Usichojua Mabeki wa Arsenal ni hawa

Bellerin -holding-luiz-KT

Baada ya Break Back line itakuwa hiyo ,
 
Unaumwa wewe alonso haingii kwa tierney hata robo
Alafu usiwe mpumbavu. Huyo Tierney angekuwa wa maana si mngemchezesha angalau mechi 1 ya EPL? Inakuwaje kila mechi EPL anacheza Kolasinac badala yake? Tierney hajawahi kufanya chochote EPL and is nothing ukimlinganisha na Alonso. Tierney amecheza kamechi kamoja EUROPA! Hiki ni kichekesho cha siku
 
Alafu usiwe mpumbavu. Huyo Tierney angekuwa wa maana si mngemchezesha angalau mechi 1 ya EPL? Inakuwaje kila mechi EPL anacheza Kolasinac badala yake? Tierney hajawahi kufanya chochote EPL and is nothing ukimlinganisha na Alonso. Tierney amecheza kamechi kamoja EUROPA! Hiki ni kichekesho cha siku
Wewe hujui vitu vingi ,ni bora ukae kimya kabisa

Ndio maana mm huwa siwajibu kabisa
 
Vieira:


"Arsene changed the game in England since he joined in 96. I was really pleased & happy to be part of the Arsene revolution. I never had the chance to say thank you to the boss for his belief, patience & good advice he gave me. So Arsene, boss, thank you very much"
 
Usiwe mjinga Tierney na Bellerin hawajacheza msimu huu mzima. Na isitoshe Bellerin ni beki wa upande wa kulia. EPL Tierney hana stats yoyote labda Kolasinac ndo amecheza mechi zote EPL. Inashangaza hata huelewi mambo ya msingi kuhusu timu yako
Kwani wanaelewaga hao
 
4 KEY PLAYERS MISSING! @bhavss14 believes Arsenal cannot play their best football without players like Holding, Tierney, Bellerin & Lacazette! @Lumos7 believes Unai Emery needs to balance the midfield more!
#Lacazette #Emery #AFC #AFTV

Full Video


 
Usiwe mjinga Tierney na Bellerin hawajacheza msimu huu mzima. Na isitoshe Bellerin ni beki wa upande wa kulia. EPL Tierney hana stats yoyote labda Kolasinac ndo amecheza mechi zote EPL. Inashangaza hata huelewi mambo ya msingi kuhusu timu yako
Mkuu wewe huelewi chochote ,kaa kimya ficha upumbavu ,

Sasa kama hawajacheza ,na hao ndio first eleven ,unachopiga kelele hapa ni nini?
 
Henry on Wenger:

"The game misses you, the Premier League misses you. Hopefully we can see you around again one more time on the bench. What you've done for me, done for #Arsenal Football Club & the Premier League is second to none. Love you as always"
 
hawa viumbe hawataki kumskia kabisa UNAI emery

Thiago silva beki bora ninaye mkubali duniani hata akija Arsenal na miaka 35 atacheza Full package sema ni very underrated duniani.


Javier pastore

Kipaji kilichopotezwa na Unai Emery


Marco verratti muitaliano ambaye hataki kumsikia Unai Emery katika maisha yake ya soka , eti Nkunku ndio sub yake , Ni sawa kinachotokea Leo Willock anaanza badala ya Ozil


Blaise matuidi ,

Lo celso kijana akamuondoa Matuid

Mechi na Madrid DM anacheza Le Celso , marco verratti mbele na Rabiot huku di maria anasota kwenye mbao na Tiago Silva na Maxwell, PSG anakufa 3-1 ndani ya Parc de prince


Unai emery anamwondoa Beki wa kibrazili Fundi kutoka barca na kumpanga Yuri berchiche huku kurzawa akila mbao .

Ben Arfa kina nkunku lo celso wanapata nafasi yeye hata kufikiriwa hakuna


Linalomkuta leo Lucas Torreira ndilo lilotokea kwa verratti .

Linalomkuta xhaka kucheza DM ndlo lilotokea PSG Lo celso kucheza DM kama DLP

Ndo maana Lo celso alivyoenda kucheza Real betis kawaka sana maana alicheza namba yake halisi kiungo mshambuliaji


Hivyo bas unai emery Ni mzee wa nongwa Tu


Apendi mtu kuwa popular kuliko yeye
Kocha mwenye nongwa na kiburi

Lucas Moura: I Had the 'Worst 7 Months of My Life' Under Unai Emery at PSG


Tottenham Hotspur winger Lucas Moura has described his time under Arsenal boss Unai Emery at Paris Saint-Germain as the worst period of his life.

Moura Lucas AKIWA KATOKA KUFUNGA GOLI 19 NA ASSIST 10 ,


Unai Emery Emery wanamwambia

"No space for Lucas Moura at PSG"
 
Msimu wa mabifu na wachezaji Unai Emery anafanikiwa kuwaondoa Matuidi na maxwell


Msimu huu hakubeba ubingwa wa LE CHAMPIONEE(LIGUE ONE) , alibeba makombe ya Micky mouse tu,huku LE CHAMPIONEE akibeba Monaco


Msmu uliofata akaletewa wakina neymar ,mbappe ndipo akawa bingwa Baada ya Monaco kubomolewa kwa Nguvu ya pesa.

akabeba Le champipnee na domestic cups nyingine,

bifu ndizo zilizopelekea yeye kutolewa na Madrid katika UCL

Marco verratti mechi ya pili ambapo walihitajika kushinda 2 wafuzu Tu

Wakaishia kufungwa 2-1 verratti aliitafuta Red card akapumzka na bifu likakolea vizuri kabisa .


Ikabidi PSG kuokoa jahazi , Emery afukuzwe

Marco verratti alitaka kuondoka kwenda barcelona .

Unai Emery Bado ni kocha mweupe mno ambaye ni mvurugaji wa Team anatafuta attention kwa kuwapa vijana nafasi ili kujitangaza .


Kitu ambcho sevilla hakufanya hivyo monchi ndiye alikuwa anamletea silaha

Hata Arsenal Tushukuru usajili hakusimamia yeye

Sasa hivi tungekuwa na nzonzi berchiche Vazquez Banega ,nkuku ,


Tusngempata ceballos wala pépé


Na mstegemee pepe kufikisha magoli 15 kwa namna Tunavyocheza




Mstegmee Team chini ya Unai Emery kiungo mshambuliaji kucheza na kufikisha goli 7 na assist

Tutegemee auba kufunga magoli mengi au Lacazette kama msmu ulioisha.

HUYO NDIYE EMERY KOCHA MWENYE NONGWA NA WACHEZAJI
 
SVEN MISLITANT ANAONDOKA ARSENAL KISA EMERY

SVEN ANAMLETEA LUCAS TOREIRA , EMERY ANAWATAKA KINA NZONZI NA BANEGA


JANUARY , EMERY ANALAZIMISHA ALETWE DENIS SUAREZ , SVEN ANAMKATALIA ,EMERY ANASIKILIZWA ANALETEWA DENIS SUAREZ , MWISHO WA SIKU DENIS SUAREZ ANAFELI......NA SVEN DIAMOND EYE ANAONDOKA ARSENAL KISA EMERY....


Arsenal’s former head of recruitment Sven Mislintat was ‘dismayed’ by Unai Emery’s decision to sign Denis Suarez shortly before he left the club, according to reports.

Mislintat spent just 14 months at Arsenal and oversaw several key transfers during his time at the club, most notably the arrivals of Pierre-Emerick Aubameyang, Bernd Leno, Lucas Torreira and Matteo Guendouzi.
 
Back
Top Bottom