Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The Standard say Reiss Nelson will be out of action until next month with his knee injury. #Arsenal
 
Leo Luiz ameweka wazi kwamba bado anaipenda Chelsea ila ilimbidi kuondoka kwa sababu Lampard alimwambia kuwa nafasi kubwa ya kucheza itakuwa kwa Tomori na si Luiz. Ndipo Luiz akaamua kwamba anaondoka. Hapo hapo ndipo Arsenal wakaona dodo limeanguka na kuliwahi.

Kiukweli kilichomuondoa Luiz Chelsea ni game time. Kwa hiyo Arsenal inapaswa kujua kuwa mchezaji ambaye amekosa namba kwenye kikosi cha wachezaji 11 Wa Chelsea Arsenal atapata namba first team akienda Arsenal. Kante, Joginho, Mount, Tammy, Willian, Odoi, Azpillicueta, Alonso, Tomori ni aina ya wachezaji ambao wakija Arsenal hawakosi namba.

Kwa mtu yeyote mwenye kufuata Logic na hana miemuko ya kishabiki atanielewa nilichosema.

 
English media za kipumbavu sana


Pierre-Emerick Aubameyang has won Arsenal 8/15 points this season with his goals. He’s managed 3 G/A vs the top six. He’s been named as our vice-captain. Only three players in Europe have scored more goals this season. Nominated for the PL POTM award.

Screenshot_2019-10-08-16-18-48.jpeg
 
Sasa kwani na wewe umekatazwa kusema kepa ni bora kuliko LENO mikono mia?

Mbona unalialia?kulia sio suluhisho la tatizo linalokukabili.....pole mkuu na mimi nakazia kuwa HAPO CHELSEA UKIMTOA NGOLO KANTE HAKUNA ANAYEWEZA KUPATA NAMBA ARSENAL KUANZIA KIPA MPAKA MSHAMBULIAJI

FACT
Hahahaha sasa apo arsenal ukimtoa Auba mchezaji gani anaeza pata namba kwenye kikosi cha Chelsea? Hahahaha embu acha vituko mkuu...
 
Kuna ubishi mwingi kati ya wachezaji wa Chelsea na Arsenal ni wapi wachezaji bora?

Nitawaletea takwimu kwa kila nafasi alafu tutaona wenyewe ni nani bora katika kila nafasi.
 
Dani Ceballos

: "I don't feel sorry for not being there [Madrid]. In my head was to play and enjoy [football]. I am very happy in Arsenal, I played 10 games where I showed my best level. Now I am where I want to be."
 
Emi Martínez talking to the Argentinian press about his time at Arsenal. Thread:

“I know that I’m doing things right at the club. I’m very close to becoming Arsenal’s No. 1. My idea was always come back to Arsenal and fight for the starting spot...
 
Aubameyang deserved to win it obviously, but Guendouzi has had a fantastic September. Inspired our comeback Vs Spurs and Villa.
Screenshot_2019-10-08-17-40-16.jpeg
 
MIMI NI NANI NIMBISHIE CAMPOS

Luis Campos on Pepe :

"In my opinion one of the characteristics of a top, top player is that they like football. I remember working with Cristiano Ronaldo and Kylian Mbappe. They know everything about football. Mbappe knew all the results of the second division in France.

"Nicolas Pepe is like that. Heʼs another example of the importance of a player liking football. After a game he watches the whole game again two times, to make himself more perfect."


IMG_20191008_174108.jpeg
IMG_20191008_174106.jpeg
 
Ozil - Ceballos - torreira at the middle Haitokuja kutokea, labda viungo wote wapate injury except hao watatu na ikitokea hii nitamsupport Muhindi maisha yake yote hapo Arsenal.
 
Marcos Alonso vs Sead Kolasinac katika ligi kuu Uingereza(EPL)

Alonso amecheza mechi 5; 3 akianza, 2 akitokea benchi, na jumla ya dk alizocheza ni 347.

Kolasinac amecheza mechi 5; 4 akianza, 1 akitokea benchi, na jumla ya dk alizocheza ni 469 yaani dk 122 zaidi ya dk alizocheza Alonso EPL.

Alonso ana assists 2;
Kolasinac ana assists 1;

Shots per game:
Alonso 0.6
Kolasinac 0.2

Pass success percentage per game:
Alonso 82.3%
Kolasinac 86.8%

Aerials won per game:
Alonso 3.2
Kolasinac 0.8

Tackles per game:
Alonso 2
Kolasinac 1.5

Interceptions per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.7

Clearance per game:
Alonso 2.2
Kolasinac 1.5

Key passes per game:
Alonso 1.4
Kolasinac 0.8

Passes per game:
Alonso 43
Kolasinac 36.5

Dribles per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.5

Crosses per game:
Alonso 1
Kolasinac 0.3

Long balls per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.7


Hapo wadau takwimu zinajieleza yupi bora kati ya Kolasinac na Alonso. Next ni Luiz vs Tomori
 
Ceballos

Going to Arsenal has been a very important step in my career,

I don’t feel sorry for not being in Madrid. Right now I am where I want to be and I am very happy. My idea was to go out, play and enjoy football. In the previous two years I had not done so.
IMG_20191007_002022.jpeg
 
Marcos Alonso vs Sead Kolasinac katika ligi kuu Uingereza(EPL)

Alonso amecheza mechi 5; 3 akianza, 2 akitokea benchi, na jumla ya dk alizocheza ni 347.

Kolasinac amecheza mechi 5; 4 akianza, 1 akitokea benchi, na jumla ya dk alizocheza ni 469 yaani dk 122 zaidi ya dk alizocheza Alonso EPL.

Alonso ana assists 2;
Kolasinac ana assists 1;

Shots per game:
Alonso 0.6
Kolasinac 0.2

Pass success percentage per game:
Alonso 82.3%
Kolasinac 86.8%

Aerials won per game:
Alonso 3.2
Kolasinac 0.8

Tackles per game:
Alonso 2
Kolasinac 1.5

Interceptions per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.7

Clearance per game:
Alonso 2.2
Kolasinac 1.5

Key passes per game:
Alonso 1.4
Kolasinac 0.8

Passes per game:
Alonso 43
Kolasinac 36.5

Dribles per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.5

Crosses per game:
Alonso 1
Kolasinac 0.3

Long balls per game:
Alonso 1.2
Kolasinac 0.7


Hapo wadau takwimu zinajieleza yupi bora kati ya Kolasinac na Alonso. Next ni Luiz vs Tomori
Usitujazie ujinga humu, nenda kule jukwaa lenu
 
Mtu mwenye ufahamu mzuri anasimamia pointi zake kwa kujenga hoja. Nitaweka hapa takwimu za kila mchezaji wa Arsenal vs wa Chelsea. Maana kuna ubishani mwingi unafanyika ni wa kitoto. Mwisho wa siku tutajua nani ni nani
Usitujazie ujinga humu, nenda kule jukwaa lenu
 
Things we need to see post the international break:

-Sokratis dropped
-Ceballos NOT AT #10
-Torreira at #6
-Ozil starting against certain opposition
-Look to be 'protagonists' against most teams.

No excuses once Tierney and Bellerin are back.
IMG-20191008-WA0007.jpeg
 
Back
Top Bottom