Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

| #AFC

Emiliano Martinez really wants that number one spot it seems

“But after a lot of work and some loans, today I’m going toe-to-toe [with Leno]. I’m cutting my teeth in European competitions, and that has a lot of value since not every club does that.” [@clarincom]
 
hawa viumbe hawataki kumskia kabisa UNAI emery

Thiago silva beki bora ninaye mkubali duniani hata akija Arsenal na miaka 35 atacheza Full package sema ni very underrated duniani.


Javier pastore

Kipaji kilichopotezwa na Unai Emery


Marco verratti muitaliano ambaye hataki kumsikia Unai Emery katika maisha yake ya soka , eti Nkunku ndio sub yake , Ni sawa kinachotokea Leo Willock anaanza badala ya Ozil


Blaise matuidi ,

Lo celso kijana akamuondoa Matuid

Mechi na Madrid DM anacheza Le Celso , marco verratti mbele na Rabiot huku di maria anasota kwenye mbao na Tiago Silva na Maxwell, PSG anakufa 3-1 ndani ya Parc de prince


Unai emery anamwondoa Beki wa kibrazili Fundi kutoka barca na kumpanga Yuri berchiche huku kurzawa akila mbao .

Ben Arfa kina nkunku lo celso wanapata nafasi yeye hata kufikiriwa hakuna


Linalomkuta leo Lucas Torreira ndilo lilotokea kwa verratti .

Linalomkuta xhaka kucheza DM ndlo lilotokea PSG Lo celso kucheza DM kama DLP

Ndo maana Lo celso alivyoenda kucheza Real betis kawaka sana maana alicheza namba yake halisi kiungo mshambuliaji


Hivyo bas unai emery Ni mzee wa nongwa Tu


Apendi mtu kuwa popular kuliko yeye
Kocha mwenye nongwa na kiburi

Lucas Moura: I Had the 'Worst 7 Months of My Life' Under Unai Emery at PSG


Tottenham Hotspur winger Lucas Moura has described his time under Arsenal boss Unai Emery at Paris Saint-Germain as the worst period of his life.

Moura Lucas AKIWA KATOKA KUFUNGA GOLI 19 NA ASSIST 10 ,


Unai Emery Emery wanamwambia

"No space for Lucas Moura at PSG"
So sad kuwa na kocha mbovu kama huyu, hawa wanaosema Unai ni mzuri wanaona kitu gani sisi wengine tusichokiona?
 
Alafu usiwe mpumbavu. Huyo Tierney angekuwa wa maana si mngemchezesha angalau mechi 1 ya EPL? Inakuwaje kila mechi EPL anacheza Kolasinac badala yake? Tierney hajawahi kufanya chochote EPL and is nothing ukimlinganisha na Alonso. Tierney amecheza kamechi kamoja EUROPA! Hiki ni kichekesho cha siku
Acha ufalas wewe na hivyo vichezaji vyako vya kuokotaokota unataka kulinganisha na wachezaji wa timu kubwa london,nyambaf chelsea hawana tofauti na aston villa ni kitimu flan hivi cha middle table
 
Usiwe mjinga Tierney na Bellerin hawajacheza msimu huu mzima. Na isitoshe Bellerin ni beki wa upande wa kulia. EPL Tierney hana stats yoyote labda Kolasinac ndo amecheza mechi zote EPL. Inashangaza hata huelewi mambo ya msingi kuhusu timu yako
Wewe ni mpumbavu wa asili kabisa,maana sisi ndio tunakwambia KT,ROB,LUIZ,HECTOR ndio mabeki wa kikosi cha kwanza sasa wewe unajipitisha na khanga moko unakataa hilo kwahiyo wewe unaijua sana arsenal kuliko sisi?????

Kwahiyo bodi itoe mamilioni ya shilingi kwa ajili ya mtu wa benchi....
 
Henry on Wenger:

"The game misses you, the Premier League misses you. Hopefully we can see you around again one more time on the bench. What you've done for me, done for #Arsenal Football Club & the Premier League is second to none. Love you as always"
VAVAVUM
 
Acha ufalas wewe na hivyo vichezaji vyako vya kuokotaokota unataka kulinganisha na wachezaji wa timu kubwa london,nyambaf chelsea hawana tofauti na aston villa ni kitimu flan hivi cha middle table
Sija haja ya kubishana na wewe. Kwanza huna malezi ya kwenye familia na hata kichwa mwako ni bure kabisa. Mwisho wa siku watu watashindwa kutofautisha kati yangu na wewe.
 
Wewe ni mpumbavu wa asili kabisa,maana sisi ndio tunakwambia KT,ROB,LUIZ,HECTOR ndio mabeki wa kikosi cha kwanza sasa wewe unajipitisha na khanga moko unakataa hilo kwahiyo wewe unaijua sana arsenal kuliko sisi?????

Kwahiyo bodi itoe mamilioni ya shilingi kwa ajili ya mtu wa benchi....
Hoja ni kwamba msimu huu Kolasinac ndiye amecheza as a LB, period. Sasa kama unaanza kukana wachezaji wako wanaocheza first team sina jinsi ya kukusaidia
 
Kwani Chelsea hakuna majeruhi? Emerson katika nafasi ya LB ana majeraha na ndo yuko katika first eleven.
Sasa wewe hujui kama tierney,hector,dino,ni majeruhi sasa ulitaka wacheze hivyo hivyo
 
Sija haja ya kubishana na wewe. Kwanza huna malezi ya kwenye familia na hata kichwa mwako ni bure kabisa. Mwisho wa siku watu watashindwa kutofautisha kati yangu na wewe.
Mkuu acha matusi na lugha mbaya

Nakushauri nenda kwenye jukwaa lenu

Msitafutiane Ban
 
Arsenal finally haven't conceded the most shots in the Premier League so far this season. They have allowed 99 to date, but Norwich have overtaken them with 101.
 
Zinedine Zidane still wants Real Madrid to spend big to sign Paul Pogba & Christian Eriksen next summer. #Arsenal want to exploit the opportunity & sign Dani Ceballos on a permanent deal & will try to offer the Spanish giants a bid to sign Isco also, according to Spanish reports.
 
#AFC want to sign Dani Ceballos on a permanent deal and will offer a bid to Real Madrid for his teammate Alcaron Isco. Manager Zinedine Zidane is considering both offers as he plans to sign both Paul Pogba & Christian Eriksen next summer. Chelsea's N'Golo Kante is also a target.
IMG_20191007_002022.jpeg
 
@DaniCeballos46:

"I have 8 months left at #Arsenal, I can only thank them for the confidence that the coach and fans have placed in me, who have already made me a song.

I am very happy there and I hope to continue for a long time"
IMG_20191009_104158.jpeg
 
Arsenal ready to pay around £50m to sign Ceballos permanently & will offer Isco a big contract & use Dani to convince him to join the Gunners. #AFC will offer Real Madrid big money as talks started from now to finalize both deals at the begining of next summer. (@ALHTAFC)

Real Madrid manager Zinedine Zidane is considering both offers from Arsenal as he plans to sign both Paul Pogba & Christian Eriksen next summer. Chelsea's N'Golo Kante is also a target. (@ALHTAFC)
IMG_20191009_104158.jpeg
 
Arsenal will listen to offers for Mesut Özil & Shkodran Mustafi this January and will sell Henrikh Mkhitaryan to Roma & Mohamed Elneny to Besiktas. Granit Xhaka is a big target for Inter & AC Milan. #afc

If we get £15m-£20m for 31-year old Özil, £20m for Mustafi, £30m for both Mkhi & Elneny, it would be the greatest business .
 
Italy are hopeful Gabriel Martinelli can play for them ahead of Brazil. Player eligible to represent Italy because of his father. [Various]
FB_IMG_1570350145055.jpeg
 
October-November fixtures :

Sheffield United (A)
Crystal Palace (H)
Wolves (H)
Leicester (H)
Southampton (H)

Fairly decent fixtures and we sit in 3rd currently. I can see another unbeaten run take place as our fullback returns after int break. Title race is on

IMG-20191007-WA0006.jpeg
 
Yaan kipindi cha Wenger xhaka alikuwa anaongoza EPL nzima kwa kupiga pass


Leo hii arsenal nzima inakaribiwa kuzidiwa pass na Rodrigo na jorginho


Tunamtaka Wenger wetu
IMG_20190917_120543.jpeg
 
Back
Top Bottom