Luheshi
Senior Member
- Jul 31, 2019
- 131
- 153
Leo Luiz ameweka wazi kwamba bado anaipenda Chelsea ila ilimbidi kuondoka kwa sababu Lampard alimwambia kuwa nafasi kubwa ya kucheza itakuwa kwa Tomori na si Luiz. Ndipo Luiz akaamua kwamba anaondoka. Hapo hapo ndipo Arsenal wakaona dodo limeanguka na kuliwahi.
Kiukweli kilichomuondoa Luiz Chelsea ni game time. Kwa hiyo Arsenal inapaswa kujua kuwa mchezaji ambaye amekosa namba kwenye kikosi cha wachezaji 11 Wa Chelsea Arsenal atapata namba first team akienda Arsenal. Kante, Joginho, Mount, Tammy, Willian, Odoi, Azpillicueta, Alonso, Tomori ni aina ya wachezaji ambao wakija Arsenal hawakosi namba.
Kwa mtu yeyote mwenye kufuata Logic na hana miemuko ya kishabiki atanielewa nilichosema.
![]()
"What I had there was true" - Arsenal player speaks of love for Chelsea
David Luiz left Chelsea this summer to join their London rivals Arsenal on transfer deadline day, and he has been revealing in more detail what actually happened and why.www.chelsea-news.co
Wewe kaa na litimu lako bovu tuachie arsenal yetu.
#afc
