k.shuku kibosho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 278
- 269
dahHaya kila siku tutasema Xhaka akiwa ndani huwa hamna la maana haya hakuna creativity kabisa haya timu Mbovu inatufunga
dahHaya kila siku tutasema Xhaka akiwa ndani huwa hamna la maana haya hakuna creativity kabisa haya timu Mbovu inatufunga
Mzee wa kuletaga misimamo alafu unaishiaga kutoweka after 90 minutes.![]()
![]()
Xhaka anakaa sana kati na haoverlap sababu hiyo ndiyo majukumu ya Holding MidfieldMbona sielewi tunachokicheza, ni kwamba tumekuja kuendeleza record ya kutokushinda old traford kwa kipindi kirefu au tumekuja kujaribu bahati?
M.Guendez anaenda sana mbele na Xhaka anakaa sana katikati anashindwa kutanua uwanja, mipira mingi ya maadui inapitia pembeni.
Ana muiga Lampard..Unai bwana
Unampiga chini Ozil kwa ajili ya Bukayo Saka na kina Reiss madogo freshers from Academy?!!
Mkuu umemsikia alichoongea Van Persie kwenye uchambuzi half time? Au na wewe ni wa vibanda umiza..Angalia hiiKikosi cha kisengee manina wap laca,wp ozil wap torreira aise mbona mnampa umaarufu nyumbu na yule mmasai wake?
Mbona sielewi tunachokicheza, ni kwamba tumekuja kuendeleza record ya kutokushinda old traford kwa kipindi kirefu au tumekuja kujaribu bahati?
M.Guendez anaenda sana mbele na Xhaka anakaa sana katikati anashindwa kutanua uwanja, mipira mingi ya maadui inapitia pembeni.
Hakuna combination yeyote ya maana kwa Guendouz, Xhaka na Lt11..Hatujafanya any necessary or threatening attempt. Kati na mbele ushirikiano haupo.
Let's hope kadi zao za njano zitamtoa mmoja wao nje.
Duh mzee naona sasa watafuta wa kumwangushia ZIGO. Leo Leno hafai tena.Martinez would have saved that goal, Leno is not our best keeper