Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi pepe mmemuona anavyocheza jamani? Ligi ya epl imekuwa kubwa kwake nashauri mtoeni kwa mkopo alipotoka
Acha ushabiki pepe anacheza vzr tu,

Ni kocha anazuia , hamuwekei mazingira ya KUCHEZA,

Pepe ana mbio sana ,swala la kufunga litakuja tu,

U dhaifu wa emery hajui kusuka defence toka yupo Valencia , sevilla , PSG , alishawahi kupigwa 4-2 na wachezaji 9
IMG-20190916-WA0030.jpeg
IMG_20190916_121716.jpeg
 
Ata Luis atufai, lete coeman, Simeon au yule wa ajax, ata allegri sio mbaya ingawa si mkubali sana. Ila tungempata klopp daah maisha yangekua matamu sana hv hakuna namna ya kuwafanyia figisu liver watupe mashine hyo
Cha kwanza tupate kocha mwenye Falsafa

Emery hana falsafa yoyote ile

Anasomeka kirahis sana

Msimu uliopita kashindwa kuchukua point 4 ndan ya mech 8 za mwisho ,kila mech anakuja na mfumo mpya ,tactic mpya

Mpaka sasa hajui wachezaji wana fiti wapi awatumie wampe product
 
Kocha ndo chizi kwa kushindwa kupanga kikosi makin, luiz ameshaonyesha madhaifu mengi bado una mn'gang'ania unatufuta nn na chambers yuko benchi, unacheza mechi bila DM na dm unae bench unataka n?
Wenger angepewa hii timu sasa hivi tungekuwa tunapambana na Liverpool na city

Wenger hakupewa sapoti ya kifedha na bodi ,

Huu uongoz mpya ,Wenger angeaumbua sana

Wakati anaondoka alisema Arsenal INA tatizo la DM , akaletwa lt11 ili xhaka akacheze 8.

cha ajabu emery anamchezesha Xhaka DM ,na lt11 hamtaki hata kumsikia ,

Lt11 anachezeshwa Box to box MD tena akitokea sub.

Yote ili gunduz acheze

Mechi 5 kashatumia mifumo mitano hadi sasa

Wachezaji hawaelewi wacheze vipi

Hana wachezaji wa kuanzisha mipira nyuma , anawalazimisha waanzishie nyuma .
 
Kocha anaiamimisha Dunia kwamba Granit Xhaka ni better defensive midfielder than Lucas Torreira pamoja na errors zote anazozisababisha Xhaka akicheza pale chini halafu bado kuna watu wanamtetea .

nimeamini kweli "AKILI NI NYWELE KILA MMOJA ANA ZAKE" yaani Lucas Torreira ambaye dunia nzima inajua ni defensive midfielder mzuri sana yaani kwa pale Arsenal saivi hakuna defensive midfielder kama Lucas Torreira ambaye hata national team Uruguay ndio nafasi anayocheza mbele ya kina GIMENEZ na GODIN chini ya kocha wao OSCAR TABAREZ .

UNAI NI WAKUFUKUZWA
 
Ukitaka kujua kwamba kocha wa Arsenal hana mipango thabiti chukulia mfano huyu kocha wa Liverpool mjerumani Jurgen Klopp alifosi sana kumchezesha HENDERSON pale kiungo cha chini timu ilikua inaruhusu sana magoli baadaye akaja kumpata EMRE CAN na sasa hivi yupo FABINHO tayari yaani amestick kwenye huyu huyu FABINHO.

Sasa Emery yeye msimu uliopita Arsenal mechi mbili za mwanzo alifungwa zote dhidi ya Man City na dhidi ya Chelsea ikaja kugundulika tatizo ni kumuweka TORREIRA benchi na kuwaamini sana GUENDOUZI na XHAKA mechi ya tatu dhidi ya WEST HAM akamuweka benchi GIENDOUZI wakaanza XHAKA na TORREIRA ile double pivot ya pale kiungo cha chini na timu ikashinda bao 3 ,huku LT11 akibeba MOT za kutosha,na timu ikacheza michezo 22 bila kupoteza baadaye mechi na SOUTHAMPTON ambayo ilikua mechi ya 23 akabadilisha kikosi akawapanga GUENDOUZI na ELNENY timu ikafungwa 3 kwa 2 St.Marys pale kocha basi hata labda angejishtukia kwamba kilichopelekea kufungwa ni kudisturb first eleven hata akili yake ikawa haiwazi hivyo mara IWOBI akawa anapangwa Central Attacking Midfielder halafu OZIL benchi mara Granit Xhaka akawa anapangwa left back timu haipati matokeo halafu kocha hajishtukii tu.

Sasa saivi watu wanaangalia errors za DAVID LUIZ za kusababisha penalty wanashindwa kuona kwamba LUIZ anapangiwa juu yake GRANIT XHAKA hivyo anafanya kazi nyingi kwa wakati mmoja LUIZ huyo watu wameangalia mabaya yake tu ila anayoyafanya mazuri hawayaoni

NDIO MAANA NINASEMA MIMI NITAKUWA MTU WA MWISHO KUWALAUMU WACHEZAJI ,
 
Unajua nyie tumeshawazoea unazi mmetanguliza mbele, hata kama msingekuwa na kante mngekuja na ngonjera kwamba mlikuwa na Hazard hivyo ilimfanya Luiz acheze kiurahisi.

Hamnaga fact mnayoongea zaidi ya kuona kila mchezaji mzuri ni wa chelsea, Nina uhakika Tammy akifunga next match mtasema ni bora kuliko Salah, Auba na Aguero. Haahaha!

Tunawajua vizuri.
Manazi ni nyie Arsenal, timu mbovu maneno mengi hatulali mtaani. Je timu yenu ingekuwa bora kama Liverpool au Man city si mngetunyonga kabisa

Nyie pambaneni na bomu la Luiz tulilowafungia - MBUZI kwenye GUNIA, sisi mil 8 tumeshaweka kibindoni na hakukuwa na buying back clause kwenye mkataba wa mauzo
Safi sana Marina
 
Yan wachezaj wenyewe wamesema hawamuelewi huyu kocha kila siku Mambo mapya na hayana maana,

ukwel utabaki palepale Emery sio kocha ,

kwa sasa wachezaj wamesha mkunjia nafsi na hata hao madogo walioingia game ya Watford wamesha kuwa nauwoga kabisa na kingine timu pinzan zisha msoma unai Emery namna ya kumpiga ,na wachezaj wa arsenal nao tayali wamekuwa kama hawana furaha na unai Emery wanacheza ili mradi tu.



Unaona kama auba ameamua kupga vinywaj Waz kabisa BAADA ya matokeo yale ya 2_2 unazan nini kimempelekea yeye kuamua hivo .

IMG-20190917-WA0007.jpeg
 
Mou anavizia kibarua arsenal muda mrefu tu ,ni swala LA muda

Ni kuongeza presha tu ,emery afukuzwe kabla msimu haujaisha ,maana Mkataba wake unaisha mwez wa 6.
MOU ni mzuri wa kusuka timu hasa defense ila hakawii kugombana na mastaa kama akina Ozil, Auba na Pepe
 
Kinachofurahisha mashabiki wa Chelsea ndio wanamtetea UNAI EMERY na kumuona ni Bonge la Manager kuliko wenye timu wenyewe.
 
PETIT ALISEMA HUYU JAMAA HANA ANACHOKIJUA

Emery is trying different tactical systems all the time, moving players around different positions. I can see the sense in this, but only a small percentage of footballers are intelligent enough to be comfortable in different positions and tactical set-ups,’ he said.

‘I worked on the Liverpool game and I thought to myself, if I was Emery, I would play 4-3-3 – with Alex Lacazette, Pierre-Emerick Aubameyang and Nicolas Pepe in the forward line. As soon as he did this, with 20 minutes to go, the game changed. It was frustrating.

‘I try to support Emery because people have been killing him in the Press since he was in Paris.

GettyImages-1130773863.jpeg
 
Former Arsenal striker Alan Smith claims he has ‘heard whispers’ that several Arsenal players have been left confused by Unai Emery’s tactics.

The Spaniard’s reign has so far been characterised by constant tinkering, both in terms of formations and personnel.

Arsenal began last season with a flat back four but Emery soon reverted to a five-man defence in an attempt to optimise the attacking qualities of Hector Bellerin and Sead Kolasinac.

Although injuries and new signings have been partly responsible, Emery has failed to name the same starting XI consecutively this season and his game plan for the recent defeat at Liverpool drew criticism after he afforded rampaging full-backs Trent Alexander-Arnold and Any Robertson the freedom of Anfield.
 
Ukitaka kujua kwamba kocha wa Arsenal hana mipango thabiti chukulia mfano huyu kocha wa Liverpool mjerumani Jurgen Klopp alifosi sana kumchezesha HENDERSON pale kiungo cha chini timu ilikua inaruhusu sana magoli baadaye akaja kumpata EMRE CAN na sasa hivi yupo FABINHO tayari yaani amestick kwenye huyu huyu FABINHO.

Sasa Emery yeye msimu uliopita Arsenal mechi mbili za mwanzo alifungwa zote dhidi ya Man City na dhidi ya Chelsea ikaja kugundulika tatizo ni kumuweka TORREIRA benchi na kuwaamini sana GUENDOUZI na XHAKA mechi ya tatu dhidi ya WEST HAM akamuweka benchi GIENDOUZI wakaanza XHAKA na TORREIRA ile double pivot ya pale kiungo cha chini na timu ikashinda bao 3 ,huku LT11 akibeba MOT za kutosha,na timu ikacheza michezo 22 bila kupoteza baadaye mechi na SOUTHAMPTON ambayo ilikua mechi ya 23 akabadilisha kikosi akawapanga GUENDOUZI na ELNENY timu ikafungwa 3 kwa 2 St.Marys pale kocha basi hata labda angejishtukia kwamba kilichopelekea kufungwa ni kudisturb first eleven hata akili yake ikawa haiwazi hivyo mara IWOBI akawa anapangwa Central Attacking Midfielder halafu OZIL benchi mara Granit Xhaka akawa anapangwa left back timu haipati matokeo halafu kocha hajishtukii tu.

Sasa saivi watu wanaangalia errors za DAVID LUIZ za kusababisha penalty wanashindwa kuona kwamba LUIZ anapangiwa juu yake GRANIT XHAKA hivyo anafanya kazi nyingi kwa wakati mmoja LUIZ huyo watu wameangalia mabaya yake tu ila anayoyafanya mazuri hawayaoni

NDIO MAANA NINASEMA MIMI NITAKUWA MTU WA MWISHO KUWALAUMU WACHEZAJI ,
@AARON unanifurahisha sana, mimi mwenyewe namchukia Unai toka tushindwe kufuzu Uefa kizembe last season na final ya BAKU.
 
Manazi ni nyie Arsenal, timu mbovu maneno mengi hatulali mtaani. Je timu yenu ingekuwa bora kama Liverpool au Man city si mngetunyonga kabisa

Nyie pambaneni na bomu la Luiz tulilowafungia - MBUZI kwenye GUNIA, sisi mil 8 tumeshaweka kibindoni na hakukuwa na buying back clause kwenye mkataba wa mauzo
Safi sana Marina
Saikolojikali unaumia luiz kwenda Arsenal sema tu ukweli, hata sisi ilituuma Sanchez kwenda MUN hata kama aliflop lakini hamna namna.
 
Historia ya huyu kocha mnaijua lakini?
Kwa umri wa miaka 47 ana makombe 9
  1. PSG 6
  2. Sevilla 3 - Europa League
Style yake au falsafa yake kama ya Lampard ni kushambulia kwa hiyo kuimarisha frontline ni sehemu ya falsafa yake
Hao akina Pepe na Auba wanatakiwa kufunga magoli mengi yanayozidi mtakayofungwa kitu ambacho sidhani kama Auba mwenyewe ataweza, Pepe kwa EPL hamna kitu pale. alikuwa anafanya vizuri kwenye ile ligi ya wakulima wa tumbaku.

Hao wachezaji walizoea kubambwa bambwa na Wenga hata akija Alegri au Luis Enrique bado watakosana naye kwa sababu hatakuwepo kocha wa kubembeleza kama Wenga au sio mumrudishe Wenga bado hana timu
Wenger ndo mtu sahihi kwa Arsenal sababu timu haina wachezaji wa maana.
 
Pia Lampard anawakuza vijana wadogo. Au uongo mkuu?
Kocha ni mbovu acha ubishi, tunaona makocha wangapi wanawakuza wachezaji wa kawaida wanakuwa wazuri, unafikiri kila mchezaji anayecheza l'pool ni world class? lakini mbona wanapata matokea safi tu whatever it takes.
 
NAWAOMBA ARSENAL FANS MTULIE ,

Lisemwalo lipo na kama halipo laja....unai ana siku kadhaaa...wale kina Raul hawavumiliii ujinga ndo maana wakamuwekea kipengele cha kukatisha mkataba.

ALIPEWA MKATABA WA MIAKA MIWILI AMBAO UNAISHA MWISHON MWA MSIMU HUU

kwa upumbavu anaoufanya , Ndio maana hamsikii hata fununu za kuongezewa Wiki 1 kwenye mkataba wake.

KWENYE MKATABA WAKE ALIWEKEWA KIPENGERE CHA KUVUNJIWA MKATABA MUDA WOWOTE

ANA MKATABA WA £6m kwa mwaka ,

Hivo akifukuzwa Fidia yake ni ndogo
IMG-20190917-WA0009.jpeg
 
"I feel like we are literally giving goals to the opposition" Aubameyang
 
Ata Luis atufai, lete coeman, Simeon au yule wa ajax, ata allegri sio mbaya ingawa si mkubali sana. Ila tungempata klopp daah maisha yangekua matamu sana hv hakuna namna ya kuwafanyia figisu liver watupe mashine hyo
Hata Klopp kawanunua Alison, VVD, Salah, Mane na Fabinho. Hivi Arsenal ina wachezaji wenye viwango hata nusu ya hao niliotaja hapo Arsenal?
 
Back
Top Bottom