Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Chaplin tuliaJamani naombeni mumuone huruma huyu ndugu yetu AROON. anatusaidia sana kutupa updates za timu zetu sasa mkimpa za USO hivi Leo atajipiga ban wiki nzima na habari tutapata wapi sisi wa free basic hahahaha
Ila ukweli tumepigwa kwa Pepe, Unai na yule Luiz ni kachero mbobezi kutoka Chelsea kaja kuwachoma Arsenal.
Hahaha this is EPL kila wiki na maajabu yake.
Arsenal tunaijua vzr haiwez kuharibiwa na mpuuzi mmoja
Kila siku nasema pale hakuna kocha
Soon tunamuondoa ,wachezaji ni wazuri ,
Tunamleta Alegri au Lucho

