Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh kabao kamoja tu.
Ni mmoja wa wa shabiki wa washika bunduki . Kipa wa Westham ana mchango wake kwa haya matokeo nadhani zingekuwa kama goli kama 4.
 
Duh kabao kamoja tu.
Ni mmoja wa wa shabiki wa washika bunduki . Kipa wa Westham ana mchango wake kwa haya matokeo nadhani zingekuwa kama goli kama 4.
Mkuu kwa tactics za W/ham leo ilikuwa ni vigumu sana kuwafunga, walikuja kudifendi tu, mwisho wa siku ushindi ni ushindi, pointi 3 zilikuwa muhimu ili kupunguza gap na kotomuachia mbali Chelski
 
Hivi washabiki wenzangu wa the gunners Why do u like or support Asernal ?
 
Washalala Man City...ngoja tumsubilie mzee Man U

Wenger alishasema money can buy good players not a good team. Nimesoma kwenye mtandao jamaa waliochukua liverpool wanataka kocha anadevelop model walioita ya Wenger
 
Hivi washabiki wenzangu wa the gunners Why do u like or support Asernal ?
Football is about quality and entertainment, kuna survey ilitokea kwa wapenzi wa vilabu vyote kwenye EPL na matokeo ni kwamba wapenzi wengi hata wale wa timu pinzani wako radhi kutoa pauni zao kuangalia Arsenal ikicheza kuliko timu nyengine yoyote ile Uingereza. Mechi zote Emirates ni full house, waiting list kwenye season ticket ni miaka 5 na kuendelea. There go your answer.
 
Hivi washabiki wenzangu wa the gunners Why do u like or support Asernal ?

Nimecheka swali hili....mkuu Arsenal ni timu inayocheza mpira wa akili, mpira unapouangalia unajisikia raha sana. umecheki kama leo, ilikuwa ni heeee heeeee heeeee heeeee heeeee heeeeee heeeeee heeeee...............Umenipata hapo! Ina vijana, na inakuza sana vipaji, asilimia kubwa asernal ina kuza vipaji, achilia mbali akina Arshiv, chamak,,,,,,wengine wengi wamekuzwa.......
Na wewe tuambie basi, why Arsenal and not team X?
 
at least we can sit back and relax

ila binafsi ningependa chamakh awe relegated to the bench na bendtner aanze
 
at least we can sit back and relax

ila binafsi ningependa chamakh awe relegated to the bench na bendtner aanze
Mkuu Chamak anajituma sana na anasaidia timu, ingawa leo alikuwa kimya mno sababu service kwenye box ilikuwa hakuna, Bendtner ni good finisher ila ni mvivu kidogo na hajitumi sana.
 
Football is about quality and entertainment, kuna survey ilitokea kwa wapenzi wa vilabu vyote kwenye EPL na matokeo ni kwamba wapenzi wengi hata wale wa timu pinzani wako radhi kutoa pauni zao kuangalia Arsenal ikicheza kuliko timu nyengine yoyote ile Uingereza. Mechi zote Emirates ni full house, waiting list kwenye season ticket ni miaka 5 na kuendelea. There go your answer.

Nakubaliana na wewe mkuu 100% mpira ni sanaaa. na timu lazima iwe na identity
 
Nimecheka swali hili....mkuu Arsenal ni timu inayocheza mpira wa akili, mpira unapouangalia unajisikia raha sana. umecheki kama leo, ilikuwa ni heeee heeeee heeeee heeeee heeeee heeeeee heeeeee heeeee...............Umenipata hapo! Ina vijana, na inakuza sana vipaji, asilimia kubwa asernal ina kuza vipaji, achilia mbali akina Arshiv, chamak,,,,,,wengine wengi wamekuzwa.......
Na wewe tuambie basi, why Arsenal and not team X?

Naipenda aseno kwa sabu kama ulizotaja ni kama nyumba uliyjongea tangia msingi sio nyumba ya kununua. Kwa sura ile ya kununua inaweza kuwa nzuri machni kwa watu lakini ile aliyosimamia ujenzi wake toka msingi mpaka kuezeka kwangu ina value kubwa. thas why i Like Aseno na Asen Wenger. From Aseno U see a team not players . From asenal u see entertertaiment. ngoja niiishie hapa kwa leo
 
Ngoja ni google, nikishindwa nakuuliza maana ndiyo naisikia leo, au kweli anaifahamu!!
Hata mimi ndio naelimika leo,nimewahi kusikia hii term ila nilikuwa sijui maana yake , Kilatino hakipandi ila naelewa neno bonita/bonito lina maanisha beautiful tokea enzi zile nimesikia nyimbo ya Maddona "La isla Bonita" = Beatiful Island.
 
Back
Top Bottom