Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu anatuharibia timu tuu!.. Mjataba wake ukiisha aende zake!.. Kochà wa kutupa mafanikio ni Maxmillano Allegri na hana timu kwa sasa..
Nilieleza humu toka mech na Liverpool hapa hakuna kocha ,kuna MTU alinipinga vikali

Hii arsenal tunaijua toka tupo darasa la kwanza

KOCHA hana mfumo

Kila mech anakuja na jipya

Hajui awatumie VIP wachezaji

Hajui kusoma mchezo

Hana falsafa

Hajui kufanya sub

Hana first eleven


OZIL ALISEMA HUYU SIO KOCHA , AKAANZA KUMPIGA BENCH
 
BODI HAIWEZI KUVUMILIA UJINGA , TUMEMPA KILA KITU HUYU MBWA UNAI....

*Luis Enrique* looks to join the race and might be the actual replacement for Emery via@skysports.
 
Aaron anakwambia "Muhuni Emery", Haahahaha!

Mimi mwenyewe nimeona huyu ni muhuni kama wahuni wengine.
 
NARUDIA HATUWEZI KUHARIBIWA TEAM NA MUHUNI MMOJA , SOON TUNAMUONDOA

Arsene Wenger established a style of play at Arsenal over 22 years, the team committed to playing a type of football that was both entertaining and successful. But for all the lovely passing play, by the end of his tenure rival managers had sussed Arsenal out and left them trailing.
sasa ivi kuna wahuni kwenye timu yako?
 
UNAI EMERY UVUMILIVU UNA MWISHO IMANI INAKIKOMO CHAKE

Binafsi ni mtu ambae niliamini asilimia kubwa huyu ni kocha pengine zile changamoto za first season ni kwamba alikuwa akitafuta ni aina gani ya soka acheze na mahitaji yapi ya wachezaji anayohitaji

Nilimpa mda kwa kuzingatia hayo lakini mpaka kufika sasa sijajua tunacheza nini ni msimu wa pili huu team ikienda away basi mpinzani anakuwa barcelona au man city na sisi tunakuwa girona au fc colgne so sad

display mbovu kuwahi kushuhudia ni jana watford wanapiga shots 31 jiulize walikuwa wanapita wapi kiungo ilipotea kabisa

Sababu hata tulichokuwa tunacheza akijulikani mfumo wa kuanzisha mashambulizi toka kwa keeper lazima uwe na watu wenye confidense na accurate ya pass zao

Jana ukiacha sokratis ata guendiuz alitoa boko maeneo hayo hatari kocha ni lazima ujulikane unacheza kwa falsafa gani unatumia mfumo gani

Kila siku mfumo mpya match moja mifumo kama minne au mitano kabisa game imekuwa tafu inahitaji watu wazoefu unawatoa unaingiza unaowaita fresh players wanaingia kupotea jumla bora walio toka

So sad
Ninyi ni wepesi sana kufura mambo yanapoenda mrama. Binafsi sishangai matokeo mliyopata jana kwa sababu mlikutana na timu yenye viungo wazuri waliosumbua hata msimu uliopita. Kwa Arsenal yako ulistahili kabisa matokeo yale.

Kwanza usajili mnaofanya hata haueleweki hasa wa viungo. Mtu kama Ozil anahitaji watu wa maana ili uione sanaa ya mpita. Sasa ukimuwekea Guendouzi sijui kina Xhska hawafanyi supply kwa hiyo huwezi kuona cha maana lakini Ozil uyo mpeleke Man City akutane na kina Gundogan, Feenandinho au Silva utaona moto wake. Kwa jinsi Watford wanacheza mlihitaji mkabaji kama Kante ili kuharibu mipango kwa bahati mbaya hakukua na mtu kama huyo na ndio maana tunashuhudia yanapigwa mashuti 31 yanapatikana magoli mawili 2, nadhani bahati haikua kwao.

Nahitimisha tatizo lenu ni kiungo mkabaji na beki wa kati.
 
Ninyi ni wepesi sana kufura mambo yanapoenda mrama. Binafsi sishangai matokeo mliyopata jana kwa sababu mlikutana na timu yenye viungo wazuri waliosumbua hata msimu uliopita. Kwa Arsenal yako ulistahili kabisa matokeo yale.

Kwanza usajili mnaofanya hata haueleweki hasa wa viungo. Mtu kama Ozil anahitaji watu wa maana ili uione sanaa ya mpita. Sasa ukimuwekea Guendouzi sijui kina Xhska hawafanyi supply kwa hiyo huwezi kuona cha maana lakini Ozil uyo mpeleke Man City akutane na kina Gundogan, Feenandinho au Silva utaona moto wake. Kwa jinsi Watford wanacheza mlihitaji mkabaji kama Kante ili kuharibu mipango kwa bahati mbaya hakukua na mtu kama huyo na ndio maana tunashuhudia yanapigwa mashuti 31 yanapatikana magoli mawili 2, nadhani bahati haikua kwao.

Nahitimisha tatizo lenu ni kiungo mkabaji na beki wa kati.
Niongezee kitu hapa,Ukitazama mechi zote za Arsenal alizocheza mpaka sasa,Arsenal wakishambuliwa tu mashambulizi yote huwa wanayaokolea ndani ya 18 kwa nini usiruhusu magoli.
 
Ninyi ni wepesi sana kufura mambo yanapoenda mrama. Binafsi sishangai matokeo mliyopata jana kwa sababu mlikutana na timu yenye viungo wazuri waliosumbua hata msimu uliopita. Kwa Arsenal yako ulistahili kabisa matokeo yale.

Kwanza usajili mnaofanya hata haueleweki hasa wa viungo. Mtu kama Ozil anahitaji watu wa maana ili uione sanaa ya mpita. Sasa ukimuwekea Guendouzi sijui kina Xhska hawafanyi supply kwa hiyo huwezi kuona cha maana lakini Ozil uyo mpeleke Man City akutane na kina Gundogan, Feenandinho au Silva utaona moto wake. Kwa jinsi Watford wanacheza mlihitaji mkabaji kama Kante ili kuharibu mipango kwa bahati mbaya hakukua na mtu kama huyo na ndio maana tunashuhudia yanapigwa mashuti 31 yanapatikana magoli mawili 2, nadhani bahati haikua kwao.

Nahitimisha tatizo lenu ni kiungo mkabaji na beki wa kati.
Usajiri ni mzuri ila mwalimu kiburi ,kila namba kaletewa watu , ila hawatumii anakazana na vitoto
 
Hauna kikosi cha maana wewe. Una washambuliaji tu
Ngoja tulete kocha maana hujui unachoongea , kocha ameletewa DM , hamtumii anakomaa na xhaka kama DM wakati sio namba yake , hampend LT11 Na baadhi ya wachezaji

Kila mechi anakuja na mfumo mpya hadi wachezaji wamechukia

Kwahiyo kwa uongoz wa Arsenal Hana maisha marefu

Sisi wahafidhina tunaomba apoteze mech ijayo Joto lipande atimuliwe

IMG-20190916-WA0022.jpeg
 
*Luis Enrique* looks to join the race and might be the actual replacement for Emery via@skysports.


“Unai Emery’s contract at Arsenal contains a break clause that can be triggered after two seasons, enabling the club to dismiss him one year early.

“The Times has learnt that the club can invoke the clause without paying up the full value of his contract.”
 
Jeremie Aliadiere on Instagram: “Great to see my old team mate Edu Gaspar yesterday but very disappointed with the result. #coyg #invincibles @arsenal”. [IG: jjaliadiere] #afc ht
IMG_20190916_234904.jpeg
 
Jeremie Aliadiere on Instagram: “Great to see my old team mate Edu Gaspar yesterday but very disappointed with the result. #coyg #invincibles @arsenal”. [IG: jjaliadiere] #afc htView attachment 1209405
Mtimueni mapema huyo Tapeli wa Yombo Buza ,Unai ni muhuni tu kama wale wahuni wa Ubungo Terminal.
 
Back
Top Bottom