In honer of Detective IKO Chelsea agent David Luiz


Daah watu mnamamboUnai Emery ni Zahera Mkimya
Aliposema anaenda kuwin more cups with Arsenal wengi hawakumwelewa
Asee mbna kama Luiz kabadilika sana? Hapo arsenal hana furaha itakuwa..
Uyo kwa sasa ni katuni wenu ..sio katuni wetu tena..Ila huyu luiz nilimzungumza sana humu jaman yule jamaa hatufai, cjui kwann wanazengo hamniamn maana naona fan wote humu kila atakae taja kikosi chake lazma amuweke luiz cjui huu upupu wake hamuon, chambers ndo angekua chaguo sahihii kwetu sio huyu katuni wa chelsea sema yote kwa yote bora holding kapona naamn atanitolea huyu upupu kwenye 11 yetu
Akirudi atakuambia alikuwa na majukumuMkuu AROON, AARON, AARON uwe na akina ya maneno kwa sababu timu huna pale ,Unaropoka sana tulia mkuu ona sasa umejipiga BAN mwenyewe.





Mwaka jana baada ya ban ya muda mrefu alikuja na sababu alikuwa field mara ripoti ++++Akirudi atakuambia alikuwa na majukumu
Apo anavizia tupigwe au tu draw na Valencia ..utamuona...
Akirudi atakuambia alikuwa na majukumu
Apo anavizia tupigwe au tu draw na Valencia ..utamuona...
Hahaaaaa achana nao hawa ,Kutesa kwa zamu! Iko siku atakuibukia wewe na utajipiga Ban
Mkuu mbona mbio mbio hivo,Mkuu AROON, AARON, AARON uwe na akina ya maneno kwa sababu timu huna pale ,Unaropoka sana tulia mkuu ona sasa umejipiga BAN mwenyewe.