Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahaha naona timu yake inamgeuka sasa ....huyu tumemzoea hata msimu uliopita zilibaki gemu kama sita ivi msimu uishe ..uku yeye akiwa na wolves, Everton, na nyingine kdhaa ...yani alipiga esabu zake akaona Chelsea tuna gemu ngumu akachukulia maisha yatakuwa mepesi kwake lakini aliambulia draw tena kwa awa awa Watford ..zingine alipigwa...

AROON anaongeaga lakini anaujua ukweli kuhusu timu yake ...

Uku Luiz tumepigwa, Pepe tumepigwa, Unai Naye tumepigwa
Hii comment niliikuta Jukwaa na Man Utd nikasema ngoja niitunze. Na ninazo nyingi za huyu ndugu. Kutwa kuzunguka majukwaa ya wanaume kupiga umbea unashindwa kukomaa na kwako. Buzitata weweView attachment 1208571
 
Tutaweza tu.

Haya makosa ni ya kuyarekebisha.

Ni suala la kuhimili "Pressure", wakiweza hilo Arsenal wana nafasi nzuri mwaka huu.
Sawa lakini kiongozi uyu Unai mbona kama ligi itamshinda mapema tu?? Wee unaonaje ...tumpe timu Mourihno au tumrudishe Wenger..
 
Hahahahaha naona timu yake inamgeuka sasa ....huyu tumemzoea hata msimu uliopita zilibaki gemu kama sita ivi msimu uishe ..uku yeye akiwa na wolves, Everton, na nyingine kdhaa ...yani alipiga esabu zake akaona Chelsea tuna gemu ngumu akachukulia maisha yatakuwa mepesi kwake lakini aliambulia draw tena kwa awa awa Watford ..zingine alipigwa...

AROON anaongeaga lakini anaujua ukweli kuhusu timu yake ...

Uku Luiz tumepigwa, Pepe tumepigwa, Unai Naye tumepigwa
Eti alipiga hesabu zake akaona Chelsea tuna mechi ngumu hahahahahahahahah
 
Sawa lakini kiongozi uyu Unai mbona kama ligi itamshinda mapema tu?? Wee unaonaje ...tumpe timu Mourihno au tumrudishe Wenger..

Wewe ni mtu wa pili unamtaja Mourinho maana kuna rafiki yangu mwingine amemtaja huyo mazee kama mbadala.

Timu mara nyingi huangaliwa baada ya mechi 10 za mwanzo.

Yaani katika mechi 10 mmepata points ngapi.

Alhamisi tutakuwa Ujerumani kucheza na Eintracht Frankfurt kwenye Europa Cup na baada ya hapo jumapili ijayo uwanjani Emirates kuna points 3 guarantee za Aston Villa.
 
Hahahahaha naona timu yake inamgeuka sasa ....huyu tumemzoea hata msimu uliopita zilibaki gemu kama sita ivi msimu uishe ..uku yeye akiwa na wolves, Everton, na nyingine kdhaa ...yani alipiga esabu zake akaona Chelsea tuna gemu ngumu akachukulia maisha yatakuwa mepesi kwake lakini aliambulia draw tena kwa awa awa Watford ..zingine alipigwa...

AROON anaongeaga lakini anaujua ukweli kuhusu timu yake ...

Uku Luiz tumepigwa, Pepe tumepigwa, Unai Naye tumepigwa
Akili fupi huyu.
 
Kauli mbiu ya JIMMY KINDOKI ya UTATOA HUTOI leo imetumiwa na Watford
 
Wewe ni mtu wa pili unamtaja Mourinho maana kuna rafiki yangu mwingine amemtaja huyo mazee kama mbadala.

Timu mara nyingi huangaliwa baada ya mechi 10 za mwanzo.

Yaani katika mechi 10 mmepata points ngapi.

Alhamisi tutakuwa Ujerumani kucheza na Eintracht Frankfurt kwenye Europa Cup na baada ya hapo jumapili ijayo uwanjani Emirates kuna points 3 guarantee za Aston Villa.

Kama kawaida matokeo mnao mdomoni pia mpira unachezwa mdomoni🤪🤪🤪

Hongereni kw kutoa draw
 
Jamani naombeni mumuone huruma huyu ndugu yetu AROON. anatusaidia sana kutupa updates za timu zetu sasa mkimpa za USO hivi Leo atajipiga ban wiki nzima na habari tutapata wapi sisi wa free basic hahahaha

Ila ukweli tumepigwa kwa Pepe, Unai na yule Luiz ni kachero mbobezi kutoka Chelsea kaja kuwachoma Arsenal.
Hahaha this is EPL kila wiki na maajabu yake.
 
Yaaan arsenal ni wabovu kwenye back line Yao halaf yamekazana kununua washambuliaj na beki wa milion 8 ambayé hata lampard amemkataa.
Nilikuwa nawaangalia kabla hamjacheza na Liverpool mnavyojitapa nikawa najiuliza ni kikos gan hicho wanachokiongelea hawa watu. Mkapigwa na Liverpool mkasingizia kikoc kibaya vp Leo hão watford Imekuwaje tena
 
Wewe ni mtu wa pili unamtaja Mourinho maana kuna rafiki yangu mwingine amemtaja huyo mazee kama mbadala.

Timu mara nyingi huangaliwa baada ya mechi 10 za mwanzo.

Yaani katika mechi 10 mmepata points ngapi.

Alhamisi tutakuwa Ujerumani kucheza na Eintracht Frankfurt kwenye Europa Cup na baada ya hapo jumapili ijayo uwanjani Emirates kuna points 3 guarantee za Aston Villa.
Duh! Point guaranteed?
 
Hii arsenal yetu ni bora ipigwe mnada tu mashabik tugaiwe chetu tuelendelee na mambo mengine ...stress tupate kati kati ya wiki bado hii timu itupe stress weekend aaahg bora iuzwe hata kama mia tano tano tutapata furesh tu ...kuna timu za kushato za kushabikia sio hii Pasua kichwa arsenal ...uwezo wa kushinda hatuna na bado tunapigiwa mwingi..
 
Kwa mfano leo Pepe kaharibu, angetolewa Pepe ulitaka aingie nani? Ni tofauti na timu kama Chelsea Anatoka Pulisic anaingia Willian, Pedro anaingia Odoi. Kante hayupo Kovacic anaperform at a good level, Mount anatoka Barkley anaingia. Tammy anatoka anaingia Batshuay.

Unataja majina tu
 
IMG_6271.JPG
 
Back
Top Bottom