Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maiti inayonuka vs maiti yenye auheni
Nipende kutoa lawama kwa Watford wametuangusha hii gemu wangeimaliza kabisa, tuna subiri mauchambuzi ya Aaron Kwanini Watford anataka kufufukia kwetu
 
Kwa mfano leo Pepe kaharibu, angetolewa Pepe ulitaka aingie nani? Ni tofauti na timu kama Chelsea Anatoka Pulisic anaingia Willian, Pedro anaingia Odoi. Kante hayupo Kovacic anaperform at a good level, Mount anatoka Barkley anaingia. Tammy anatoka anaingia Batshuay.
Akitoka Pepe Si anaingia Unai mkuu

Halafu wanasema Micky alikuwa ni garasa...
 
Aroon kwa sasa anavyoliangalia jukwaa la Arsenal JF.
tapatalk_1558931057641.jpeg
 
Tatizo la Arsenal haipo kwenye shape katika safu la ulinzi.

Ni hadi hapo vijana Kieran Tierney, Rob Holding na Hector Bellerin watakaporudi na kushika nafasi zao za kudumu.

Sokratis na luiz bado hawajaelewena.

Maitland -Niles ni kiungo ambae alibadilishwa acheze nafasi ya pembeni.

Safu ya Arsenal itakamilika soon.

Matokeo si mabaya kwani hatujafungwa na wala hatujaachwa mbali sana na hao walio juu yetu.
Muda unakwenda bro, kama Watford anakutoa jasho hivi ukikutana na Norwich tena kwake itakuwaje....
 
Back
Top Bottom