OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hahahaha hii sio point kabisa ..sasa apo ujacheza na Norwich, bado Leicester..Lakini tukumbuke Watford wanashika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Hivyo kila mechi kwao kwa sasa ni kama fainali.
Hahahaha hii sio point kabisa ..sasa apo ujacheza na Norwich, bado Leicester..Lakini tukumbuke Watford wanashika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Hivyo kila mechi kwao kwa sasa ni kama fainali.
Anaandaa nondo za kumtupia lawama Unai. Ngoja.Mkuu mmeshinda ngapi?
Hamna kocha pale Kaishindwa psg yenye mastar ataiweza arsenalunai out
serious, he isn't enough to arsenal
Hahahaha hii sio point kabisa ..sasa apo ujacheza na Norwich, bado Leicester..Lakini tukumbuke Watford wanashika mkia kwenye msimamo wa ligi.
Hivyo kila mechi kwao kwa sasa ni kama fainali.
Ongeza volume mzeeeMPira hautaki maneno.....
Yule luiz n mustafi aliyechangamka....🙂
Uyu pepe tumepigwa mkuupepe anacheza kama kuku amekatwa kichwa




Hahahaha sisi arsenal Siku iz hatuupigi mwingi mkuu.. sisi tunataka draw tu ...
Hahahaha hii sio point kabisa ..sasa apo ujacheza na Norwich, bado Leicester..
HahahahahahahahahUyu pepe tumepigwa mkuu
Halafu cash ndo bado tunalipa kwa mafungu mafungu hahahaha
Mzee anajuta kwanini amekosa point tatu za wazi..



Aroon atapinga kwa nguvu zoteTunawachezaji Wakawaidaa sana
Yani hwana maajabu kabisa...
pole sana mkuukaharibu salisafa za arsenal, kajaa kuaribu tu
kwani Auba ni TammyWakuu niliacha mnaongoza mbili bila. Kwani mpira umeishaje? Auba naye kaondoka na mpira




Hahahaha wanalipa kwa mafunguHamkumaliza kulipa deni la pepe. Bado mnadaiwa £ 50 Million.
Hapa pressure zitawaua. Sisi ambao tumeizoea EPL huwa hatusemi sana mpaka zichezwe mechi angalau 10


