Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kieran Tierney’s message after the NLD. 
️

️

️
Mkuu taratibu , inaonekana hufatilii klabu inaendaje kwa sasa,au hupati habari vzr,Unai Emery ni mpumbavu mwenye kibri na jeuri. Atawauzaje na kutoa wachezaji wote hao kwa mkopo?
Kama mnakumbuka last session tumeshindwa kuingia top four kwa sababu ya Squad Depth iliyopelekea kukosa mbadala pale mchezaji alipoumia refer Holding, Bellerin, Mavropanos na wengine pia kukosa rotation ya squad. Sasa this session amezidi kupunguza kikosi, refer maingizo na matoleo.
Tuna kazi ya ziada.
Pitia upya ufahamu nimemaanisha nini. Sizungumzi wage bill hapa..Mkuu taratibu , inaonekana hufatilii klabu inaendaje kwa sasa,au hupati habari vzr,
Kwanza emery haondoi wachezaji , kina Raul na bodi nzima ndio wanawaondoa ,
Msimu uliopita aliyeshindwa kutupeleka top 4 ni Emery mwenyewe , katika mech 8 alihitaji point 4 tu alishindwa kuzipata kwa tactic zake mbovu
Upana wa kikosi ni kuwa na quality players sio rundo la wachezaji wengi.
Upande wa fullnack left kuna kolasinac ,tierny anarejea baada. .ya wik mbili, right belle anarejea pia , CB wapo luiz, sokratis , chamber ,holding, mavporonous
Midfield wapo xhaka ceballos toreira gunduz willock ,
Attacking kuna pepe laca auba nelson, ozil , martinel, saka
Kikosi hiki kinatutosha kabisa kuliko kubaki na deadwoods kina iwobi na. Welbek
Lengo la kuwaondoa hao wote ni kuingiza wachezaji wapya ,January na summers
Pia kupunguza wages bills mpaka sasa imepunguzwa £50m kwa mwaka
Hivo ni rahis kuleta Top players na kuwalipa vzr ,
Ile ilikua mizigo, ata ukiwa nao hawabadilishi matokeoUnai Emery ni mpumbavu mwenye kibri na jeuri. Atawauzaje na kutoa wachezaji wote hao kwa mkopo?
Kama mnakumbuka last session tumeshindwa kuingia top four kwa sababu ya Squad Depth iliyopelekea kukosa mbadala pale mchezaji alipoumia refer Holding, Bellerin, Mavropanos na wengine pia kukosa rotation ya squad. Sasa this session amezidi kupunguza kikosi, refer maingizo na matoleo.
Tuna kazi ya ziada.
Sijui hofu yako iko wapi, Kama hawa kina auba ,laca ,pepe tarajia kuwaona huko Europa kwa pamoja kuanzia robo fainal au zile mech za Emirates , hizi mech za awali makundi watacheza kina nelson, martinel, willock na hawa ambao hawajacheza sasa hivi, na kina belle ,tierny wataanzia hizo mechi.Pitia upya ufahamu nimemaanisha nini. Sizungumzi wage bill hapa..
Ukicheza Sunday, Thursday na Sunday/Saturday utapanga vipi hao wakina Aubameyang?
Uelewe depth squad umuhimu wake. Hawa wachazeji injuries na fatigue zitawapata.
Kabisa mkuu, kuna wachezaji wakiondoka wananiuma japo wakiwepo nawachukia mfano IWOBI naona inaniumiza flani nkimuona everton.Me sijamuelewa kocha alivomtoa nacho wakat kwenye ile nafasi bado sijaona mtu wa kuimudi vizur kama nacho halafu bado mky ni wa muhimu sana japo haonekani kubadilika
Xhaka alipewa red kivipi tena, mbona sikuiona hiyo?Xhaka kula umeme nimependa nadhani gemu zijazo atamtumia lt11 kama dm huku cebalos na matteo wakiwa kama CM.. xhaka ana matatizo saana akicheza midfielder ya chini hasa akiwa pekee na wapinzani wakiwa na presha ya hali ya juu.. amtumie lt11 nadhani alitaleta matokeo chanya.
Jana tumefungwa magoli fulani ambayo kiuhalisia hatukupaswa kufungwa ni uzembe mkubwa... Na makosa km haya ndio yanatunyima points daima, tunafunga ila tunaruhusu magoli, leno alifanya saves nyingi nzuri, na pia sie tukakosa nafasi kadhaa za wazi.. ni kuongeza umakini katika umaliziaji na kuongeza umakini katika uzuiaji.

#AFC #COYG

Firmino ni false 9, lacazzete pale ni CF kuna utofauti kidogo, lakini naona wanacheza vizuri, ndio kwanza game 1 na utatu wetu wakizoeana italeta matokeo chanya zaidiMOURINHO KUHUSU ARSENAL DHID YA SPURZ
Arsenal kuanzia katikati wapo vizur na wana options nyingi
jukum la kocha tu kumaliza palipobakia kwenye kupanga timu
Auba anacheza pembeni ila muda mwingine anajisahau anahis kama yupo kat kat kulingana na uchezaji wa Arsenal
Pia anasema Auba angekuwa pale Liver angefunga sana magol mengi hata kama angecheza pembeni kwasababu Firminho anashuka chini zaidi na kuwaacha Mane na Salah wakifanya wanavyotaka kitu ambacho Lacazette kwa upande wa Arsenal hafanyi.
Nilivurugwa mpaka nikahisi kapigwa njano ya pili.Xhaka alipewa red kivipi tena, mbona sikuiona hiyo?
Nilivurugika mkuu, mpaka game imesiha mie najua ana umeme.Umeme UPI??
Hapana ndugu! Hebu niambie position gani ina upungufu??Unai Emery ni mpumbavu mwenye kibri na jeuri. Atawauzaje na kutoa wachezaji wote hao kwa mkopo?
Kama mnakumbuka last session tumeshindwa kuingia top four kwa sababu ya Squad Depth iliyopelekea kukosa mbadala pale mchezaji alipoumia refer Holding, Bellerin, Mavropanos na wengine pia kukosa rotation ya squad. Sasa this session amezidi kupunguza kikosi, refer maingizo na matoleo.
Tuna kazi ya ziada.