Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Not really. This is not a good news for arsenal and it should not be a discussion at all for now!Mkuu is this a good news for guys?
Let us assess Unai end of season, period!
Not really. This is not a good news for arsenal and it should not be a discussion at all for now!Mkuu is this a good news for guys?
Hapana we dont need him.Ni habari nzuri ,mou cha muhimu atimiziwe mahitaji yake
Mou ni mshindi , nadhani hata sasa mahitaji yake ndio yanashughulikiwa man u,
Mwisho wa siku Mou anabak ni kocha bora. Sema hatupendezwi na mpira wakeHapana we dont need him.
Jose ananunua mafanikio (sio makocha wote wenye uwezo wa ku spend na kupata mafanikio)Ni habari nzuri ,mou cha muhimu atimiziwe mahitaji yake
Mou ni mshindi , nadhani hata sasa mahitaji yake ndio yanashughulikiwa man u,
Hapa nimekuelewa vzr,Jose ananunua mafanikio (sio makocha wote wenye uwezo wa ku spend na kupata mafanikio)
Kwa hiyo hiki kinachofanyika sasa hivi United, asingekiweza kwa kuwa United wana rebuild, na ni long term plan (msamiati ambao Jose haupo akilini mwake) . Hata ukiangalia umri wa wachezaji anaotaka Jose ni wa kuleta mafanikio ya papo kwa papo (experienced players)
Swali linakuja, Arsenal wanaweza/wapo tayari kutoa £200 million kwa ajili ya kutimiza adhma ya Jose
Kiukweli sina matatizo sana na Jose (kwenye uwezo wa kuleta mafanikio ya timu) lakini kwenye aina ya mpira anacheza mara nyingi si ule ambao watu wengi wanaupenda. Kubwa zaidi, ni kocha Misimu miwili au mitatu anaondoka sababu ya poor man managent
#AFC #Arsenal #ASRoma #transfers
Huyu maamuzi yake ya kijinga sana. Ile rafu ya jana iliyotoa penati ingeweza kuwa red card kwa refa mwingineHuyu na yeye Safari inamuhusu
Xhaka for Arsenal:
Penalties conceded - 5
Total errors leading to a goal - 11